Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Waliofariki ni Sita.Rekebisha andiko lako. Idadi ya marais ni 4.
Kama kawekwa Karume basi umewaacha IDRISSA ABDUL WAKIL (Kafariki 2000) , ABOUD JUMBE (Kafariki 2016)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliofariki ni Sita.Rekebisha andiko lako. Idadi ya marais ni 4.
Umemtaja Karume umewaacha, Mahayati Ben Mkapa, IDRISSA ABDUL WAKIL (Kafariki 2000) , ABOUD JUMBE (Kafariki 2016)Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Mbona mnahangaika hivi na mtu aliekwisha tangulia..hahaha..ila JPM was the real deal..kuna mabogus wengi sana tz..na angamalizia ngwee yake..mngenyoroshwaa kwel kwel..wez wa msoga..nyieeeKuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Dah kweli walimu walikuwa na kazi yaani hata sijaelewa kabisa.Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Jamaa ametumia machine language inatakiwa kutafsiriwa na compilerDah kweli walimu walikuwa na kazi yaani hata sijaelewa kabisa.
Bujibuji labda utafsiri kinyakyusa
Kama Ukurasa wa Hayati Magufuli umefungwa na hutaki wengine wachangie, mbona wewe umeufungua?Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Umemsahau Ben MkapaKuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Huyo Rais Ally Juma ni wa wapi?mbona unasisitiza nawewe umewaamini hao watu,ambao hata hawajulikani ni akina nani na ni wapi waliyasema hayo!!!
JPM ni rais wa 5 kufariki sio wa tatu.
karume,nyerere,alli juma,mkapa,jpm.
ni kama wewe ndio unasema hapa,kwamba jpm bado yuko hai.
Kakimbilia kufungua uzi mpaka kasahau kumuweka Mkapa katika idadi ya marais waliokwisha kutangulia mbele za haki.Mbona hueleweki. Nini shida? Nani kasema Magufuli hajafa?
Makamo wa rais awamu ya 3Huyo Rais Ally Juma ni wa wapi?
Kwani Makamo wa Rais anaingia kwenye kundi la maraisMakamo wa rais awamu ya 3
Makamo wa rais ni raia mzee.Kwani Makamo wa Rais anaingia kwenye kundi la marais
Akishakuwa Marehemu, hakuna mjadala tena. Yeye ni Mwendazake. Period.Case closed!
Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Raisi Magufuli yupo hai,tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wa pili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu.
Unataka kutulazimisha tumsahau??Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Nafikiri atakuwa wa nne,, KARUME, NYERERE, MKAPA NA MAGUFULIKuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...