Ukurasa wa Hayati Magufuli umefungwa kama zilivyofungwa za wengine

Tena wako wengi sana
 
Mkuu na mkapa pia alikua raisi , pia nae hatunae tena
 
Mitano tena kwa mama akimaliza mitano tunamuongeza mitano tena.
Bei ya korosho itakuwa nzuri Sana mwaka huu Manji amerudi karubuni kusini kuchelee,muwahi kuweka booking za guest zitajaa nawashauri tu
 
Ukishaondoka duniani na historia yako imefungwa.
Nchi sio mtu bali watu.Na Hakuna gari inayoweza paki kwa kukosa dereva
 
Tuendelee na kazi huyo kashafutika ktk uso wa dunia. Ukilalamika ukilia hakubadilishi chocjote
 
Mm ndio naufungua rasmi sasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…