Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
Si mara moja jeshi la polisi limetangaza kumtaka juyu msumbufu.
 
Kigogo anajitapa huko rais kawaambia wafute...
 
Kwahiyo jamaa akaunda akaunti ya Tanzania Government na akatoa kila uthibitisho mpaka akaunti ikawa verified with a blue tick? Kwamba hii akaunti inawakilisha Serikali ya Tanzania.

Hivi unaona matundu ya logic yako? Kwa logic yako hiyo inamaanisha jamaa ana credentials necessary za serikali ya Tanzania na anaweza kuzitumia kupata verification katika social networks.

Na kisha serikali haijaukana huo ukurasa kwamba siyo wao na wala haijaukubali ila ukurasa umefutwa tu.
Ndio ushangae akili za mataga 😆😆
 
Mimi binafsi sikuamini kama serikali inaweza kuweka tangazo wazi vile tena unprofessional, Lakini maswali yakuja kuwa nani ali verify ile account kule facebook, Verification ni Process tena kwa page kama ile ya government of Tanzania inafikirisha sana ni kama kipindi kile tunaelekea uchaguzi mkuu, Page za activists wengi zilikuwa verified kwa kupewa blue tick kule twitwani
Kuna mchezo umefanyika pale ndio maana fasta Facebook wakaifunga hiyo account.
 
Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
kwa uelewa wako Polisi haijawhi kutngaza officially au?
 
Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
Ndio maana Mkapa aliwatukana kwa kuwaita malofa. Watanzania wengi wajinga sana, huyo Kigogo mwenyewe ni mpiga ramli tu sio kila taarifa anayotoa ni ya kweli
 
Hongera usie penda udaku ila una comment kwenye udaku,

Account ya serikali ambayo ni verified na fb, harafu unasema tunapenda udaku, ila Mataga dah bado safari ndefu
Una uhakika ni ya serikali? Ulishaingia kwa hiyo account kabla au baada ya hiyo post??
 
Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
Ile siyo account ya serikali. Kwanza kwa jinsi tangazo lilivyotolewa ingekuwa vichekesho sana serikali ku-post tangazo la kijinga namna hiyo. (japo iliyokuwa ya Magufuli kufanya kitu kama hiyo siyo ajabu sana) Ni mhuni mmoja tu ameamua kufungua account na anaweza asiwe huyo Kigogo. Watanzania wengi hawajui kuangalia na kutofautisha genuine na fake kwenye internet hivyo wengi wanatumia huu udhaifu kuwachezea. Kuna sababu mbili zinafanya watu wawe mbumbumbu hivyo 1. Elimu yetu haiandai wahitimu kutafakari bali kumeza kila kilicho mbele yao + ugeni wa watanzana wengi kwenye mtandao 2. Watanzania wa kada ya chini wasio na elimu eg house girls, bar maids, bodabodas wana access na internet na ilivyo ni kuwa hili kundi uelewa wao wa mambo uko chini.
 
Andika logic acha assumptions za sijui akili imetekwa au kupenda udaku.

Nikiandika assumptions kama wewe kwa unachoking'ang'ania ninaona kwamba haujui kua Tanzania isingekua nchi ya kwanza kua na ukurasa mtandaoni.

Haujui kwanini account verification inafanywa.

Haujui blue tick ni ya kazi gani.

Hauna uelewa juu ya social networks.
Sasa wewe umeandika logic gani hapa zaidi ya mahaba ndio yanakuendesha?

Unataka nikupe facts? haya hizi hapa

Angalia email iliyotumika kufungulia hii account, je ni email address ya ikulu? Lakini ikawa verified

IMG_20210328_100523.jpg
IMG_20210328_100523.jpg

Kabla ya kuifunga hii account Facebook waliondoa blue tick, umejiuliza why? jamani punguzeni mahaba au chuki mpaka mnagoma kuupokea ukweli.
IMG_20210328_100349.jpg
 
Ile siyo account ya serikali. Kwanza kwa jinsi tangazo lilivyotolewa ingekuwa vichekesho sana serikali ku-post tangazo la kijinga namna hiyo. (japo iliyokuwa ya Magufuli kufanya kitu kama hiyo siyo ajabu sana) Ni mhuni mmoja tu ameamua kufungua account na anaweza asiwe huyo Kigogo. Watanzania wengi hawajui kuangalia na kutofautisha genuine na fake kwenye internet hivyo wengi wanatumia huu udhaifu kuwachezea. Kuna sababu mbili zinafanya watu wawe mbumbumbu hivyo 1. Elimu yetu haiandai wahitimu kutafakari bali kumeza kila kilicho mbele yao + ugeni wa watanzana wengi kwenye mtandao 2. Watanzania wa kada ya chini wasio na elimu eg house girls, bar maids, bodabodas wana access na internet na ilivyo ni kuwa hili kundi uelewa wao wa mambo uko chini.
Mkuu badala ya kutuona sisi watanzania ni mambumbu mimi naoana ungejikita kutupa elimu ya kutofautisha Fake account na Genuine acc kwenye mitandao, Tutashukuru mkuu
 
Back
Top Bottom