Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Sasa wewe umeandika logic gani hapa zaidi ya mahaba ndio yanakuendesha?

Unataka nikupe facts? haya hizi hapa

Angalia email iliyotumika kufungulia hii account, je ni email address ya ikulu? Lakini ikawa verified

View attachment 1736426View attachment 1736426
Kabla ya kuifunga hii account Facebook waliondoa blue tick, umejiuliza why? jamani punguzeni mahaba au chuki mpaka mnagoma kuupokea ukweli.
View attachment 1736430
Sasa hivi umeongea vyema.

Haya sasa tuanze.

Page ya kwanza yenye blue tick ina hiyo email ya es@plancom.go.tz

Picha ya page iliyoondolewa blue tick kabla ya kufutwa haina hiyo email, ina website peke yake.

Kwa unavyoamini, mtu anayeweza kufungua hiyo page hawezi google ili kupata email ya ikulu? Aipachike tu hapo ili iwe more convincing?

Serikali ilitakiwa kuikana hii page. Nafikiri hawajaikana mpaka muda huu.
 
Mkuu badala ya kutuona sisi watanzania ni mambumbu mimi naoana ungejikita kutupa elimu ya kutofautisha Fake account na Genuine acc kwenye mitandao, Tutashukuru mkuu
Elimu unajipa mwenyewe. Hakuna mtu atakayekufuata kukupa elimu. Hii hii internet imejaa elimu kibao. Usikimbilie ku-follow mambo ya kijinga kama ya akina Diamond etc. Soma mambo ya maana.
 
Sasa hivi umeongea vyema.

Haya sasa tuanze.

Page ya kwanza yenye blue tick ina hiyo email ya es@plancom.go.tz

Picha ya page iliyoondolewa blue tick kabla ya kufutwa haina hiyo email, ina website peke yake.

Kwa unavyoamini, mtu anayeweza kufungua hiyo page hawezi google ili kupata email ya ikulu? Aipachike tu hapo ili iwe more convincing?

Serikali ilitakiwa kuikana hii page. Nafikiri hawajaikana mpaka muda huu.
wewe ulikuwa unalazimisha hiyo page imefunguliwa na ikulu nimekuwekea email address iliyofungua hiyo account unasema imepachikwa...Sasa unadhani kuna haja ya mimi kuendelea kupoteza muda wangu kwa mtu anaepambania umbeya uwe ukweli? wewe si umesema unaijua mitandao wewe why unauliza vitu ambavyo vipo very clear.

Haya mimi nakuacha na mahaba yako kwa upande wako uliouchagua.
 
Elimu unajipa mwenyewe. Hakuna mtu atakayekufuata kukupa elimu. Hii hii internet imejaa elimu kibao. Usikimbilie ku-follow mambo ya kijinga kama ya akina Diamond etc. Soma mambo ya maana.
Sawa mkuu sasa mbona ule ukurasa ulikuwa na Blue Badge? Je ili tujue ukurasa ni halali si tunangalia Blue badge ilikuwaje ile page ikawa verified?
 
wewe ulikuwa unalazimisha hiyo page imefunguliwa na ikulu nimekuwekea email address iliyofungua hiyo account unasema imepachikwa...Sasa unadhani kuna haja ya mimi kuendelea kupoteza muda wangu kwa mtu anaepambania umbeya uwe ukweli? wewe si umesema unaijua mitandao wewe why unauliza vitu ambavyo vipo very clear.

Haya mimi nakuacha na mahaba yako kwa upande wako uliouchagua.
Duh hatari.

Email inayotumika kufungulia akaunti siyo lazima iwe displayed kwenye profile. Email itakayokua displayed ni ile unayotaka members waione wakitaka kuwasiliana na wewe.

Ni kama humu tu. Tunatumia email kufungua Id lakini sehemu ya contacts tunaweza weka email nyingine ambayo tunataka memba wengine waione.

So hiyo email inaweza kua ilitumika kufungua page ama la ila ni email unayotakiwa tumia kuwasiliana nao.
 
Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
Inaonekana teknolojia ya mawasiliano imekuacha mbali Sana! Lichunguze tangazo lile na utaiona tick ya rangi ya bluu yenye maana ya kuwa account Ile ni ya serikali ya Tanzania na imekuwa verified kwenye mtando husika! Upo bandugu? Next time tambua hadhira unayoiandikia kuwa Ina utaalamu kuliko wako hivyo hawadanganyiki kirahisi!
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
Naunga mkono hoja
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
Mkuu upo sahihi na hiko ndicho mama alichowauliza hao wanao hangaika na kigogo
20210328_114132.jpg
 
Back
Top Bottom