Ukurasa wa Twitter wa Nape Nnauye nani anausimamia?

Ukurasa wa Twitter wa Nape Nnauye nani anausimamia?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Najua wazi viongozi wengi wa kisiasa wana vijembe sana. Wapo niliowahi kukutana nao na kushuhudia mwenyewe majibu yao yasiyo na staha. Lakini linapokuja suala la maadili, ifike mahali tuambiane ukweli.

Kwa majibu haya ya kejeli nina wasiwasi na anayetoa majibu hayo. Ni yeye kweli au kuna mtu anamjibia?
Screenshot_20230412-000313.jpg
Screenshot_20230412-000153.jpg
 
Anapenda kupiga picha akiwa kwenye maakuli jimboni kwake, halafu pia sijawahi kuona anapiga picha akiwa kanisani jimboni kwake!
Hatari sana.
Haya mambo yasipokemewa, yatasababisha chuki kati ya viongozi na wananchi wa hali ya chini.
Kwasasa dunia ni kama kijiji.

Na mbaya zaidi wanasiasa wengi huwa hawajui kuwa maneno yao yanaishi. Wanakuja kujuta baadae
 
Najua wazi viongozi wengi wa kisiasa wana vijembe sana. Wapo niliowahi kukutana nao na kushuhudia mwenyewe majibu yao yasiyo na staha. Lakini linapokuja suala la maadili, ifike mahali tuambiane ukweli.

Kwa majibu haya ya kejeli nina wasiwasi na anayetoa majibu hayo. Ni yeye kweli au kuna mtu anamjibia?View attachment 2584893View attachment 2584894
huyu sio kiongozi
huyu ni muhuni tu
 
duh

kiukweli mimi kwa ypande wangu sijawahi kuona kiongozi mjinga na asiyejitambua kama huyu
Sio yeye tu. Wapo wengi. Baadhi ya viongozi wa kisiasa wana majibu ya hovyo, sema huyy kashindwa kujizuia hadi mtandaoni.

Ukiwaona hutaamini kama kweli ni wao. Hata huyo nape, kuna siku nilikutana naye mahali nikamwambia jambo fulani (la kisiasa) jibu alilonipa, aisee, sikutarajia.
Kuna wengine wengi.

Japo wapo wachache ni wastaarabu na waungwana sana akiwemo Jaffo. He is very humble!

Mwenye ukaribu na nape mwambie awe muungwana na mstahimilivu, atafika mbali sana.
 
Tayari ishamuharibia kama anataka kuendelea kujichimbia huko kwenye mzinga wa nyuki, ila na sisi watanzania ni wajinga sana, mtu kama huyu hakutakiwa kupewa kura hata moja kutokana na mdomo wake tu achana mbali na unafiki, ufisadi na wizi
 
Sio yeye tu. Wapo wengi. Baadhi ya viongozi wa kisiasa wana majibu ya hovyo, sema huyy kashindwa kujizuia hadi mtandaoni.

Ukiwaona hutaamini kama kweli ni wao. Hata huyo nape, kuna siku nilikutana naye mahali nikamwambia jambo fulani (la kisiasa) jibu alilonipa, aisee, sikutarajia.
Kuna wengine wengi.

Japo wapo wachache ni wastaarabu na waungwana sana akiwemo Jaffo. He is very humble!

Mwenye ukaribu na nape mwambie awe muungwana na mstahimilivu, atafika mbali sana.
Msiwachokoze ili mpate ya kuwasimwnga.
 
Ndio aina ya viongozi tunao wategemea watufikishe kwenye kilele cha mafanikio kama taifa!
 
Najua wazi viongozi wengi wa kisiasa wana vijembe sana. Wapo niliowahi kukutana nao na kushuhudia mwenyewe majibu yao yasiyo na staha. Lakini linapokuja suala la maadili, ifike mahali tuambiane ukweli.

Kwa majibu haya ya kejeli nina wasiwasi na anayetoa majibu hayo. Ni yeye kweli au kuna mtu anamjibia?View attachment 2584893View attachment 2584894
Hapo Mimi naona vitu vitatu naomba nisimukuliwe vibaya ila namba 1 daah au basi acha nisiseme mdomo koma sina mwanasheria mimi
 
[emoji28] yaani mimi nikiwa kiongoz mnipokonye cm na uhai... Mtu aniandikie upuuzi siwezi kumjibu kama parishworker au muinjilisti... Nakupa majibu makavu... Yaani uwaziri wangu uliotokana na ubunge ndio unifanye niwe mpole..?!

Au una ignore kama most of viongoz wanavyofanya.
 
Back
Top Bottom