Ukuta wangu umepatwa na Ugonjwa huu, naomba msaada

Ukuta wangu umepatwa na Ugonjwa huu, naomba msaada

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Huu ni ugonjwa gani wa kuta za nyumba na unatibiwaje?

Naomba msaada tafadhali!

16223740188805811326148736759251.jpg
 
Mbona hatuuoni.. Enewei nunua rangi mpya paka

KichWa BoX
 
Magadi hayo... Hapo itabidi urudie kupiga plasta yenye cement nyingi ndio pona yake
 
Huu ni ugonjwa gani wa kuta za nyumba na unatibiwaje?

Naomba msaada tafadhali!

View attachment 1802570
Sikuiona hiyo picha kabla....
Matibabu gharama kidogo.
Kwanza kwangua hiyo sehemu yote alafu uskim smooth thin layer kwa ultra flex 2 (ipo liquid na powder yake unazichanganya pamoja).
Ikisha kauka skim tena na white cement ili iwe rahisi kupiga msasa then paka rangi zako

1550918273ultraflex-2k.jpg
 
Back
Top Bottom