King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Paka terrasit utasahau tabu zote
Hardware yako ipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paka terrasit utasahau tabu zote
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji817][emoji736]Then hiyo sio tiba maana tatizo liko palepale, tiba ni kutindua na kuondoa hizo bomba au kufix hilo sinki
Kuna nyumba nzuri nimeona hilo tatizo, ukuta unalika vibaya mno, bomba(piping system) zinavujia ndani kwa ndani, bili ya maji Tsh 25,000 kwa mwezi ila around 19,000 unalipia Leakage
Kibanda changu bomba zinapita nje, kuchimbia bomba za maji inacost sana baadae
SawaSikuiona hiyo picha kabla....
Matibabu gharama kidogo.
Kwanza kwangua hiyo sehemu yote alafu uskim smooth thin layer kwa ultra flex 2 (ipo liquid na powder yake unazichanganya pamoja).
Ikisha kauka skim tena na white cement ili iwe rahisi kupiga msasa then paka rangi zako
View attachment 1802665
Yaah nadhani uko sahihi, hayo ni maji toka ardhini yanapanda na kuharibu hiyo rangi au lipu na kama ni hapa Dar basi chumvi chumvi iliyoko kwenye maji yetu ndiyo inafanya uharibifu huo. Suluhisho sahihi ni kuweka plastiki chini ya huo ukuta, yaani unakatwa kwa chini na kuzungushia hiyo plastiki ili kuzuia hayo maji kupanda juu. Baada ya TIBA hiyo, then hayo mengine yanafuata na utakuwa umemaliza tatizo hilo.Kutibu bila kujua kinachosababisha ni kazi bure. KusKim na White cement Haiwezi kuzuia ascending water au rain splash. Utaalamu zaidi unahitajika
Duh bomba zinapita nje! Itakuwa nyumba ya ajabu.Then hiyo sio tiba maana tatizo liko palepale, tiba ni kutindua na kuondoa hizo bomba au kufix hilo sinki
Kuna nyumba nzuri nimeona hilo tatizo, ukuta unalika vibaya mno, bomba(piping system) zinavujia ndani kwa ndani, bili ya maji Tsh 25,000 kwa mwezi ila around 19,000 unalipia Leakage
Kibanda changu bomba zinapita nje, kuchimbia bomba za maji inacost sana baadae
yeah, but na-save expenses za leakageDuh bomba zinapita nje! Itakuwa nyumba ya ajabu.
Well said mkuu.Hapo tatizo ni kuta zinanyonya maji, sasa chanzo ni nini inaweza kuwa eneo hilo eidha
1. water table ipo juu, au
2. Eneo ni damp (linatuamisha maji) kama maeneo ya mabonde
Au pia
3. Inaweza kuwa ni mifumo ya maji ya nyumba (kama tatizo linatokea upande wenye vyoo pekee)
Kama ishu ni tatizo namba 1 au mbili basi kulikua na umuhimu wa kuweka dpc (damp proof coarse) na dpm (damp proof membrane) baada ya msingi wakati wa ujenzi na matumizi ya white cement wakati wa skimming
na kama tatizo ni namba mbili basi kuna umuhimu wa kucheki mifumo ya maji au kutumia white cement na rangi zenye uwezo wa kuhimili maji kama alivyoeleza mdau mwingine hapo