Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Vile aondoe kama kuna mti jirani unaosababisha eneo hilo lisipata mwanga wa juaMwambie afanye Skiming na white cement then apake Silk vinyl kuta za ndani na Weather guard kuta za nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vile aondoe kama kuna mti jirani unaosababisha eneo hilo lisipata mwanga wa juaMwambie afanye Skiming na white cement then apake Silk vinyl kuta za ndani na Weather guard kuta za nje
1 Maandalizi mabovu kabla ya rangiHuu ni ugonjwa gani wa kuta za nyumba na unatibiwaje?
Naomba msaada tafadhali!
Naomba unielimishe hapo kwenye skimming! Upande wa tofali ni za kuchoma1 maandalizi mabovu kabla ya rangi
2. Tofauli ulizojengea nazo zaweza kuwa sababu
4. Ame skim ukuta kwa kutumia nini na layer kubwa kiasi gani
Kweli mimi wangu unapandisha maji juu baada ya kujenga tatizo niniMwambie afanye Skiming na white cement then apake Silk vinyl kuta za ndani na Weather guard kuta za nje
Upo sawa mimi wangu unatoa maji nadhani kwasababu umepakana ni chemba ila sina uakika coz nashindwa kuelewa chanzo cha hayo maji yanatoka wapiMaji yanavujia au kunyonywa kwa ndani.. Tiba yake kuna cement plasta maalum kwa maeneo hayo maranyingi huwa chumba kinachopakana na choo au sink la maji linalovujisha maji
Then hiyo sio tiba maana tatizo liko palepale, tiba ni kutindua na kuondoa hizo bomba au kufix hilo sinkiMaji yanavujia au kunyonywa kwa ndani.. Tiba yake kuna cement plasta maalum kwa maeneo hayo maranyingi huwa chumba kinachopakana na choo au sink la maji linalovujisha maji
Kabisa Mkuu, Watu wengi wameshatumia gharama kwa ushauri wa Fundi rangi lakini baada ya muda ishu inarudi palepale.Kutibu bila kujua kinachosababisha ni kazi bure. KusKim na White cement Haiwezi kuzuia ascending water au rain splash. Utaalamu zaidi unahitajika
Tumia hiyo njia ya kutibu kwa Ultra flex 2 niliyotoa post ya nyuma ndio solution ya uhakika nimefanya kazi hiyo huko huko Tabora.Hili janga lipo sana tabora maeneo ya kanyeye nyumba zinachakazwa sana na chumvi naweza kujifunza kitu hapa
Huu ni ugonjwa gani wa kuta za nyumba na unatibiwaje?
Naomba msaada tafadhali!
lipaswa baada ya fundi kuona Hali ya ardhi ya hapo kuwa kuna chumvi nyingi na maji mengi eneo hilo,angekushauri kununua DAMP PROOF MEMBRANE (DPM) Ikatandikwa Kisha BAADA ya jamvi ndo ukaweka DAMP PROOF COURSE (DPC).huo unyevu na chumvi visinge panda ukuta asilani!Yeah nilikuwa natafuta hili jina la white cement.. Hiyo ndio tiba yake
Mkuu hata apake Nini kwa nje ya tofali hata ona tatizo ila ndani tofali itaendelea kufyonza hiyo chumviPaka terrasit utasahau tabu zote