nayo unaenda choo etnh??Na juice ya mabungo vipi nayo ina udambwidambwi?, ...mimi huwa natumia sana ya tende inachanganywa na maziwa....hiyo nyoko aisee... ni mwendo wa kutupia kambani mwanzo mwisho..huku mwili ukiwa zile 3B....
..Ball control
...Ball Balance
...Ball Stamina.
Nashauri wale wazee wa Daly Kimoko...tusikose kuitumia...
I'm blushing mkuuNiwapo hai, niwapo maiti,
Kupendana nawe kamwe
Siachi,
Hari za kifo zikienea,
Sasa nakupenda, kuzidi
Pia.
Acha kujing'ata vidole kwa aibuI'm blushing mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2]Wachina wana massage tumbo mpaka mafuta yanayeyuka lakini haja inaweza kuanzia kwenye kitandani cha massage
Ha ha. hapana mkuu..nayo unaenda choo etnh??
doh uzi wangu umeshaeditiwa ....Ha ha. hapana mkuu..
kitambi kinapunguzwakwa njia nyingi tu.
mwingine anaweza akafanya mazoezi na asipungue kisha akapungua kwa mkopo..
mwingine anapungua kwa maji mengi na wengine wanapungua kwa kwenda chooni sana..
Muhimu kitambi mara nyingi ni kinyesi kilichoganda masiku tele ..
haiwezekani mtu awe na kitambi kisha tuseme sio mabaki ya chakulbali mafuta tu...sasa hayo mafuta yametlkana na nini kama sio chakula ambacho kilibakia bila matumizi ??
ukila ukwaju unaenda kusafisha utumbo mpana na kukwangua mauchafu yote japo sio kwa siku moja au wiki bali tumia mfululizo
sawa mkuu lakini mimi nachosema ni kwamba haiwezekani chakula kilichobaki bila matumizi kikahifadhiwe kwenye ubongo wakati pahala pake ni tumboniHapo nakataa mkuu, hiyo ikitokea inasababisha constipation.
Chakula kikizidi mwilini kinaenda kutunzwa kwenye ngozi jambo ambalo ndio sababu kuu ya kitambi.
Hapa umezungumzia jinsi ukwaju unavyosafisha tumbo kwa kufanya upate haja kubwa vizuri ambapo utaruhusu utendaji kazi vizuri wa tumbo.
Kama tumbo liko poa mmeng'enyo wa chakula utakuwa poa na chakula kitaingia mwilini vizuri na kikizidi kinaenda kutunzwa kwenye ngozi.
Kwa mantinki hiyo mimi nataka nijue kivipi ukwaju utafanya chakula kilichotunzwa mwilini(ngozi) kipungue.
Nalifanyia kazi hili jambo nikipata jibu lake sahihi nitakupa mrejesho.
Poasawa mkuu lakini mimi nachosema ni kwamba haiwezekani chakula kilichobaki bila matumizi kikahifadhiwe kwenye ubongo wakati pahala pake ni tumboni
kwa hvyo hapo tumboni ndyo benki kuu ya viyu vyote....
nachojaribu kumaanisha ni kwamba kitambi asili mia kubwa ni mlundikano wa mavi na uchafu ungine katika utumbo mpana
utumbo unakuwa umegandwa na mauchafu mengi kwenye zile kuta zake hvyo njia inakuwa ndogo sana ya kupitisha hata kinyesi na kufanya kinyesi kingine kikwame humo na kubaki
na kikikwama nacho kinatengeza makazi kidogo kidogo na kuwa hapo kwa mda mrefu hakibaki kama mavi tena lazima kijibadili tu na kuwa kitu kingine lakini asli yake ni kinyesi
duhWachina wana massage tumbo mpaka mafuta yanayeyuka lakini haja inaweza kuanzia kwenye kitandani cha massage
Naomba kujuzwa hiyo green tea ikoje ?Chukua kikombe kikubwa acha iwe ya uvuguvugu unakunywa kama kukata kiu
10 Proven Benefits of Green TeaNaomba kujuzwa hiyo green tea ikoje ?
Hii aliimbiwa Yesu Kristo wewe umegeuza una muimbia sky eclat!Niwapo hai, niwapo maiti,
Kupendana nawe kamwe
Siachi,
Hari za kifo zikienea,
Sasa nakupenda, kuzidi
Pia.
Ndio kwani nimevunja katiba?Hii aliimbiwa Yesu Kristo wewe umegeuza una muimbia sky eclat!
Ndio kwani nimevunja katiba?Hii aliimbiwa Yesu Kristo wewe umegeuza una muimbia sky eclat!
Hapana mkuuNdio kwani nimevunja katiba?
Duu! Hiyo sayansi yako ulisomea wapi mwenzetu? Acha kupotosha watu kama hujui bora ungenyamaza maana ulichokiandika ni mawazo yako na wala hakuna ukweli wowote!sawa mkuu lakini mimi nachosema ni kwamba haiwezekani chakula kilichobaki bila matumizi kikahifadhiwe kwenye ubongo wakati pahala pake ni tumboni
kwa hvyo hapo tumboni ndyo benki kuu ya viyu vyote....
nachojaribu kumaanisha ni kwamba kitambi asili mia kubwa ni mlundikano wa mavi na uchafu ungine katika utumbo mpana
utumbo unakuwa umegandwa na mauchafu mengi kwenye zile kuta zake hvyo njia inakuwa ndogo sana ya kupitisha hata kinyesi na kufanya kinyesi kingine kikwame humo na kubaki
na kikikwama nacho kinatengeza makazi kidogo kidogo na kuwa hapo kwa mda mrefu hakibaki kama mavi tena lazima kijibadili tu na kuwa kitu kingine lakini asli yake ni kinyesi