Ahahahh usishangae mkuu ni ukweli unaopingika tu lakini watu wanaelewa ukweli...Hiyo hoja na mimi nimeishangaa sana mkuu
yani ni jambo haliwezekani eti ufanye mazoezi kisha mlo wako haujabadili ulaji alafu kitambi kiondoke?????Ahahahh usishangae mkuu ni ukweli unaopingika tu lakini watu wanaelewa ukweli...
ukiwa na kitambi huwezi kupata choo timamu kwa siku kutokana na kinyesi kuganda kwenye utumbo ambao umegandwa na mafuta mabaya kwenye kuta zake...
sasa kinyesi hakiwezi kupita kwa ukamilofu lazima kikwame kwenye yale mafuta na hyo ni process ya kila siku..
na kile kinyesi kikiganda masiku na masiku kwenye yale mafuta nacho kinabaki hapo daima na huku nje watu tunaona jamaa mambo supa kumbe ni mlundikano wa kinyesi kwenye utumbo mpana....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hoja yako ya mrundikano wa kinyesi tumboni ambao tunaweza kuuita Constipation na suluhu yake uliyosema inatatuliwa na ukwaju sijaikataa.Ahahahh usishangae mkuu ni ukweli unaopingika tu lakini watu wanaelewa ukweli...
ukiwa na kitambi huwezi kupata choo timamu kwa siku kutokana na kinyesi kuganda kwenye utumbo ambao umegandwa na mafuta mabaya kwenye kuta zake...
sasa kinyesi hakiwezi kupita kwa ukamilofu lazima kikwame kwenye yale mafuta na hyo ni process ya kila siku..
na kile kinyesi kikiganda masiku na masiku kwenye yale mafuta nacho kinabaki hapo daima na huku nje watu tunaona jamaa mambo supa kumbe ni mlundikano wa kinyesi kwenye utumbo mpana....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Green tea inapatikana wapi?Eeeeh.. unaweza ukaharisha kama siku 3 mfululizo. Ukila kitu tu lazima uende chooni.
mkuu mwifa yani nilichomaanisha ni kwamba.Hoja yako ya mrundikano wa kinyesi tumboni ambao tunaweza kuuita Constipation na suluhu yake uliyosema inatatuliwa na ukwaju sijaikataa.
Mimi nimekataa hoja ya hicho kinyesi kusababisha kitambi, hivyo ndivyo wadau kadhaa wameipinga hii hoja.
Unajua jinsi kitambi kinavyotengenezwa mwilini?
Inabidi kuvaaa pampasi mapema basi!! Dah wachina sio watu wa mchezoWachina wana massage tumbo mpaka mafuta yanayeyuka lakini haja inaweza kuanzia kwenye kitandani cha massage
Dada nakuomba pm maramojaWachina wanakula sana ukwaju na matumbo yao ni flat. Pia wana kunywa green tea baada ya kula.
Kwani ukinywa iyo green tea unaharisha amaNina green tea ina miezi minne kila nikiwaza kuinywa nikiwaza shughuli yake na muda wa kuinywa mpaka vitu vyote viishe nashindwa. Nitajaribu juice ya ukwaju.
Naiandaaje kwanza?
Kingine, wale wanaotumia dawa za kitoa vitambi wakinywa zile dawa wanashauriwa wawe karibu na choo maana ni full kunya miharisho.Ahahahh usishangae mkuu ni ukweli unaopingika tu lakini watu wanaelewa ukweli...
ukiwa na kitambi huwezi kupata choo timamu kwa siku kutokana na kinyesi kuganda kwenye utumbo ambao umegandwa na mafuta mabaya kwenye kuta zake...
sasa kinyesi hakiwezi kupita kwa ukamilofu lazima kikwame kwenye yale mafuta na hyo ni process ya kila siku..
na kile kinyesi kikiganda masiku na masiku kwenye yale mafuta nacho kinabaki hapo daima na huku nje watu tunaona jamaa mambo supa kumbe ni mlundikano wa kinyesi kwenye utumbo mpana....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ushajaribu wewe?
Umepata faida gani so far mkuu?Inakutisha nini sasa, uchungu!? Mi napiga sana hiyo kitu! Unaweza kuchanganya na asali kidogo ili uizoee radha, baadae unaacha kuweka asali kabisa ili iingie vizuri[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Tena sana tuu.Kwani ukinywa iyo green tea unaharisha ama
Daaah we jamaa hivi upo form ngapi kwanza? maana hi biology yako ni ya chini ya mti kabisasawa mkuu lakini mimi nachosema ni kwamba haiwezekani chakula kilichobaki bila matumizi kikahifadhiwe kwenye ubongo wakati pahala pake ni tumboni
kwa hvyo hapo tumboni ndyo benki kuu ya viyu vyote....
nachojaribu kumaanisha ni kwamba kitambi asili mia kubwa ni mlundikano wa mavi na uchafu ungine katika utumbo mpana
utumbo unakuwa umegandwa na mauchafu mengi kwenye zile kuta zake hvyo njia inakuwa ndogo sana ya kupitisha hata kinyesi na kufanya kinyesi kingine kikwame humo na kubaki
na kikikwama nacho kinatengeza makazi kidogo kidogo na kuwa hapo kwa mda mrefu hakibaki kama mavi tena lazima kijibadili tu na kuwa kitu kingine lakini asli yake ni kinyesi
So ukiharisha ndo kitambi kinaisha?Tena sana tuu.
mkuu huwenda wewe ndo huelewi unachosoma...Kitambi=kinyesi kilichoganda tumboni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi huwa mnaelewa mnachokiandika?
Sawa.Uwe na siku njema,Uko sahihi.mkuu huwenda wewe ndo huelewi unachosoma...
Hapana boss kuna kitu unanyonya mafuta balaaa, unaloweka tu miguu then acha mashineifanye kazi yake.Njia za kuondoa kitambi ni mbili, upasuaji na mazoezi, haya mengine ni uongo mwingine huu