Ukwel kuhusu biashara na bidhaa za forever living

Ukwel kuhusu biashara na bidhaa za forever living

Ushauri unaopewa hapa juu utakuchanganya. Nakushauri tafuta watu wanayoifanya ambao unawaamini na kuwaheshimu wakushauri vizuri.pia soma vitabu, na ingia kwa interntet (mitandao) duniani utapata ukweli pia. Wataalamu wakubwa dunia wanasema kuwa watu wengi huwa hawafanikiwi kwa vile wanasilikiza opionion (mawazo) ya watu wengine na sio facts(kweli kuhusu jambo Fulani). Na ukweli ni kwamba ukitaka kufanikiwa lazima ufanye vitu au mambo tofauti na watu wengine. ukifanya sawa sawa na wengine huwezi fanikiwa kwa vile utakuwa huna jipya. kudhihilisha hilo ebu jiulize watu wengi wanasomea mambo gani?, wanafanya biashara za aina gani? wanaisho maeneo gani? nk. Fanya utafiti wako mwenyewe na chukua maamuzi mwenyewe na sio kwa kufuata wanayosema wengi hapa. Kwa hakika wengi wanaokushauri hapa hawajui na pengine hawaja wahi kufanya biashara hiyo na wengine walifanya na wameferi. swali ungependa kupata ushauri kwa asiyefanya biashara hiyo au aliyeferi biashara hiyo? mimi nashauri pia tafuta waliyo fanikiwa na watakueleza walifanikiwaje. Watalamu pia wanashauri acha kuandamana na 'negative people'maana wao kila kitu kwao hakiwezekani.Pia usiogope kukosea kwani kukosea ni dalili kuwa una jalibu na ukikosea jifunze kutoka na makosa! tafiti zinaonyesha pia kuwa watu wote waliofanikiwa walikosea mara nyingi sana na wakajifunza mengi sana. kuna usemi huu 'You don't need to be perfect to start, but you need to start to be perfect' sijui unauchukulia.

mkuu imeningia akilini ... shukrañ
 
Mi nahitaji tu hzobidhaa zenu. Nipo shy ntazipataje hasa za ngoz yaan lotion
 
Siwezi kusema kama ni biashara nzuri au la sababu kuna watu wanazifanya na maisha yankwenda mbele

My take
Kama unataka kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa mwenye malengo makubwa basi biashara hii haikufai sababu utatumia nguvu nyingi sana kufaidisha wengine kuliko wewe ila pesa ya kula na kununua tecno huwezi kosa kama unabidii sana ya kupiga longolongo
Tatizo la biashara hii ipo limited sana sio kama kufungua duka lako au kunzisha biashara yako binafsi unaweza kuwa flexible kuliko hawa jamaa

Ila kama unataka kutafuta uzoefu na chaneli basi ingia kwa malengo then baada ya muda unaitema

Kiujumla ni biashara moja ya kishenzi ila ukiipatia inakuweka mjini kimtindo
Biashara yoyote nzuri huitaji kupewa semina na watu wanaojifanya wmefanikiwa nayo kukuconvice uifanye, biashara nzuri hujitangaza yenyewe, watu wanatumia maneno mazito kukushawishi ooh uoga wako sijiu nini mara wanaofanikiwa blah blah..... Asili ya biashara ni kutokuwa na washindani inanoga sasa hii wuzaji wanauza na kusaka wauzaji kwa udi na uvumba

Ushenzi wa hii makitu ni mfumo unaitwa pyramid scheme ingiza wengi kwenye network yako ili upate zaidi, hapo unaweza kuta unatumia muda mwingi kushawishi watu waingie kwenye chaneli yako kuliko kuuza bidhaa, na moja ya sifa ya pyramid scheme lazima itafika sehemu ita corrupt
Bila kujali bidhaa zinauzika au la lakini mkiletena wenyewe basi wale jamaa wanauhakika wa kuuza sh laki saba ndio maana wanakushawishi uingize watu zaidi kuliko hata kuuza bidhaa zao , so mleta mada najua jamaa watakua wamekufata na pm za kutosha na ukienda tu jamaa wameingiza laki saba zao na interest inagawiwa kwenye chaneli uliyoingilia

Utashangaa unakutana na mtu badala ya kukuuzia anakushawishi na wewe uwe muuzaji..... Hushangai? Anakujali sana au?
Nenda sasa kwenye semina zao kuna washenzi wanatoa ushuhuda wa kitoto utacheka, wengine wanakuja theory hata billy gate mtoto nafuu hata ya semina za Shigongo
Angalia post ya Mr II hayo ndio maneno yao matamu na yakutia moyo lakini ukweli hizo ni theory tu

Naamini biashara zipo nyingi sana mkuu kuna kichwa utatoka tu ukiwa hata na milioni moja, nakuhakikishia kama unatafuta biashara serious kwa maisha yako don't go there

mr. II ni kweli ameongea nashukuru kwamchango kabambe nisije potea ndugu yenu ndio maana nataka nione maoni maana ndio wanunuz wenyewe nyinyi
 
Last edited by a moderator:
kunahuyo dada toka aanze kuniambia nami kuwamfwatiliaj amekua zaid yandugu sijui kila saa sms kupiga yaani yote kunishawishi niingie channel yake ....bado nazidi fanya uchunguzi nisije kulia bure
 
Mi nahitaji tu hzobidhaa zenu. Nipo shy ntazipataje hasa za ngoz yaan lotion

mikoa walioitaja siku ya semina yao sikumbuk vzuri kama shinyanga imo... ila naona mikoa kama iyo ndo mizir ukiwa kama mwanzilishi
 
kunahuyo dada toka aanze kuniambia nami kuwamfwatiliaj amekua zaid yandugu sijui kila saa sms kupiga yaani yote kunishawishi niingie channel yake ....bado nazidi fanya uchunguzi nisije kulia bure

Jiulize sasa je anakupenda na kukujali sana maisha yako? je anakuuzia bidhaa? maana na yeye anauza.....au anataka ujiunge?
That's pyramid scheme, inayotakiwa ni laki saba yako kwanza then mengine baadae
Na wakikupa bidhaa ushindwe kuuza(which is very possible) utaambiwa sasa kazana kuleta watu ili chaneli yako ikae vizuri
Matokeo yake mnaanza kutafuta wakuingia zaidi badala ya kuuza mabidhaa yasio uzika
 
Jiulize sasa je anakupenda na kukujali sana maisha yako? je anakuuzia bidhaa? maana na yeye anauza.....au anataka ujiunge?
That's pyramid scheme, inayotakiwa ni laki saba yako kwanza then mengine baadae
Na wakikupa bidhaa ushindwe kuuza(which is very possible) utaambiwa sasa kazana kuleta watu ili chaneli yako ikae vizuri
Matokeo yake mnaanza kutafuta wakuingia zaidi badala ya kuuza mabidhaa yasio uzika

apo ananitaka nimwongezee idadi ya wafuasi wake
 
utapeli gani sasa wakati unaambiwa nunua bidhaa ukauze kwa faida?!! kupata kamisheni kubwa ni usuguaji wa soli yako tu, ukishinda unacharanga mitaa maofisini, au unaconvice rafiki zako wa fb kununua bidhaa huenda ukafanikiwa, mimi huwa naona ni upotevu wa muda tu, wanaojua marketing za mifumo ya piramidi wanaelewa kuwa daima wenye kufaidika ni wale wa mwanzo, kadri inavokuwa wale wa juu kazi inazidi kuwa ngumu na wanawafanyia kazi wale wa chini tu, bora hata ushike jembe ukapande mchicha utakulipa haraka!

DECI inahusika hapa
 
Jiulize sasa je anakupenda na kukujali sana maisha yako? je anakuuzia bidhaa? maana na yeye anauza.....au anataka ujiunge?
That's pyramid scheme, inayotakiwa ni laki saba yako kwanza then mengine baadae
Na wakikupa bidhaa ushindwe kuuza(which is very possible) utaambiwa sasa kazana kuleta watu ili chaneli yako ikae vizuri
Matokeo yake mnaanza kutafuta wakuingia zaidi badala ya kuuza mabidhaa yasio uzika

cc komeka..
binafsi baada ya uchunguzi wangu nimebaini ni biashara nzuri. Ingawa inahitaji effort sana.
 
Last edited by a moderator:
Siwezi kusema kama ni biashara nzuri au la sababu kuna watu wanazifanya na maisha yankwenda mbele

My take
Kama unataka kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa mwenye malengo makubwa basi biashara hii haikufai sababu utatumia nguvu nyingi sana kufaidisha wengine kuliko wewe ila pesa ya kula na kununua tecno huwezi kosa kama unabidii sana ya kupiga longolongo
Tatizo la biashara hii ipo limited sana sio kama kufungua duka lako au kunzisha biashara yako binafsi unaweza kuwa flexible kuliko hawa jamaa

Ila kama unataka kutafuta uzoefu na chaneli basi ingia kwa malengo then baada ya muda unaitema

Kiujumla ni biashara moja ya kishenzi ila ukiipatia inakuweka mjini kimtindo
Biashara yoyote nzuri huitaji kupewa semina na watu wanaojifanya wmefanikiwa nayo kukuconvice uifanye, biashara nzuri hujitangaza yenyewe, watu wanatumia maneno mazito kukushawishi ooh uoga wako sijiu nini mara wanaofanikiwa blah blah..... Asili ya biashara ni kutokuwa na washindani inanoga sasa hii wuzaji wanauza na kusaka wauzaji kwa udi na uvumba

Ushenzi wa hii makitu ni mfumo unaitwa pyramid scheme ingiza wengi kwenye network yako ili upate zaidi, hapo unaweza kuta unatumia muda mwingi kushawishi watu waingie kwenye chaneli yako kuliko kuuza bidhaa, na moja ya sifa ya pyramid scheme lazima itafika sehemu ita corrupt
Bila kujali bidhaa zinauzika au la lakini mkiletena wenyewe basi wale jamaa wanauhakika wa kuuza sh laki saba ndio maana wanakushawishi uingize watu zaidi kuliko hata kuuza bidhaa zao , so mleta mada najua jamaa watakua wamekufata na pm za kutosha na ukienda tu jamaa wameingiza laki saba zao na interest inagawiwa kwenye chaneli uliyoingilia

Utashangaa unakutana na mtu badala ya kukuuzia anakushawishi na wewe uwe muuzaji..... Hushangai? Anakujali sana au?
Nenda sasa kwenye semina zao kuna washenzi wanatoa ushuhuda wa kitoto utacheka, wengine wanakuja theory hata billy gate mtoto nafuu hata ya semina za Shigongo
Angalia post ya Mr II hayo ndio maneno yao matamu na yakutia moyo lakini ukweli hizo ni theory tu

Naamini biashara zipo nyingi sana mkuu kuna kichwa utatoka tu ukiwa hata na milioni moja, nakuhakikishia kama unatafuta biashara serious kwa maisha yako don't go there

Nakubaliana na wewe mkuu,,you cn do alot wt laki sabaa na nusu kama kweli unataka kufanya biashara yako na siyo kumfanyia mtu kama hii forever sh.t..!
 
Last edited by a moderator:
nimeangalia watu wanayo ifanya naona wamefanikiwa kweli eti..... wananunua magari seriously

akili zako kama za JK ..kipimo cha maendeleo ni kuona barabara zimejaa magari..kwa hiyo na wewe unaona watu wananunua magari basi unajua wamefanikiwa!!!
 
akili zako kama za JK ..kipimo cha maendeleo ni kuona barabara zimejaa magari..kwa hiyo na wewe unaona watu wananunua magari basi unajua wamefanikiwa!!!

mimi wananisumbua kwenye whatsapp mara waseme wanapiga picha wakiwa ulaya na marekani ili kunitamanisha.
 
akili zako kama za JK ..kipimo cha maendeleo ni kuona barabara zimejaa magari..kwa hiyo na wewe unaona watu wananunua magari basi unajua wamefanikiwa!!!

Kumbe mengine ni ya mkopo
 
kunahuyo dada toka aanze kuniambia nami kuwamfwatiliaj amekua zaid yandugu sijui kila saa sms kupiga yaani yote kunishawishi niingie channel yake ....bado nazidi fanya uchunguzi nisije kulia bure

hahahaaaa chukua mzigo achana na biashara yake Avatar mok
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom