Ukweli: Kidunda atapigwa tena na Katompa

Ukweli: Kidunda atapigwa tena na Katompa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya muonekano wa game ya kwanza , huyo bondia mwanajeshi wa Tanzania aitwaye Kidunda hana uwezo wa kumpiga Bondia Mkongo Katompa , hata afanye mazoezi gani .

Mbinu pekee ya ushindi ni ile ile ya siku zote ambayo ni Mbeleko ya Majaji akina Antony Ruta na wengine.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na subira kidoogo mzee, siwezi tia neno sababu sikufanikiwwa kuona lile lililovunjika.

Kwani lile la kwanza alipigwa?
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya muonekano wa game ya kwanza...
Huyu jamaa nilikuwa namfuatilia sana kwenye mashindano ya Olympic na yale ya jumuia za madola alivyokuwa anacheza ngumi za ridhaa, kila mechi alikuwa ana DUNDWA tuu
 
Kwa ile mechi iliyopta labda kidunda angebebwa tu kwa mbeleko halafu hawa majaji watapoteza ladha ya huu mchezo kwa kubeba beba watu au ndyo mcheza kwa hutunzwa.

Kina ibrah classic walienda kwa watu huko russia wakarud kimya kimya walikutana na ngumu nzto na hawa wengne wastegemee kubebwa wafanye mazoez kwel ipo sku wataenda kwa watu huko warudi maiti
 
Huyu ndo kiboko yao
FB_IMG_1657969734565.jpg
 
Kuwa na subira kidoogo mzee, siwezi tia neno sababu sikufanikiwwa kuona lile lililovunjika.

Kwani lile la kwanza alipigwa?
Ndyo alipigwa kwa technical draw. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya muonekano wa game ya kwanza , huyo bondia mwanajeshi wa Tanzania aitwaye Kidunda hana uwezo wa kumpiga Bondia Mkongo Katompa , hata afanye mazoezi gani .

Mbinu pekee ya ushindi ni ile ile ya siku zote ambayo ni Mbeleko ya Majaji akina Antony Ruta na wengine .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Katompa ana ngumi nzito aisee!
 
Huyu jamaa nilikuwa namfuatilia sana kwenye mashindano ya Olympic na yale ya jumuia za madola alivyokuwa anacheza ngumi za ridhaa, kila mechi alikuwa ana DUNDWA tuu
Uyo ndie bondia aliye fanya vizuri katika ngumu za ridhaa Kwa miaka 10 iliyopita. Ndiye aliyekua aki ibeba Tanzania katika ngumi za ridhaa ana medali za kutosha na alikua captain wa timu.
 
Uyo ndie bondia aliye fanya vizuri katika ngumu za ridhaa Kwa miaka 10 iliyopita. Ndiye aliyekua aki ibeba Tanzania katika ngumi za ridhaa ana medali za kutosha na alikua captain wa timu.
Medali ipi mechi zote za Olympic alikuwa anapogwa K.O? kuwa captain sio issue hata Taifa stars ina captain lakini wana kombe gani? Nipe mfano tu wa mwaka alipofika angalau robo fainali ya Olympic au commonwealth
 
Medali ipi mechi zote za Olympic alikuwa anapogwa K.O? kuwa captain sio issue hata Taifa stars ina captain lakini wana kombe gani? Nipe mfano tu wa mwaka alipofika angalau robo fainali ya Olympic au commonwealth
Mwaka sikumbuki ila ndie bondia aliyekua tegemeo wa Tanzania katika amateur.
Tangu ameanza kucheza professional hajapoteza pambano.
 
Back
Top Bottom