Ukweli kuhusu Bernard Morrison ni upi?

Ukweli kuhusu Bernard Morrison ni upi?

Sitaki kuamini kuwa Simba hii ninayoijua kuwa eti wamempa Morisson dola elfu kumi kama kishika uchumba wagawane yeye na wakala wake. Kama ni kweli walifanya hivyo basi hicho ni kituko cha mwaka kwa klabu ambayo inajigamba kila siku kuwa inaendeshwa kisasa na inafuata taratibu na sheria zote za FIFA, CAF, CECAFA na za nchi.
 
Sitaki kuamini kuwa Simba hii ninayoijua kuwa eti wamempa Morisson dola elfu kumi kama kishika uchumba wagawane yeye na wakala wake. Kama ni kweli walifanya hivyo basi hicho ni kituko cha mwaka kwa klabu ambayo inajigamba kila siku kuwa inaendeshwa kisasa na inafuata taratibu na sheria zote za FIFA, CAF, CECAFA na za nchi.
Huyo Morisson Kama anasema kweli basi hiyo game itakuwa imechezwa na yanga yenyewe tu.
 
Kumekuwa na sintofahamu nyingi kuhusiana na mchezaji kipenzi cha wana yanga Bernard Morrison.

Ikumbukwe kuwa, week iliyopita yanga walisafiri kuelekea mkoani Shinyanga kucheza mchezo wao wa ligi dhidi ya Mwadui fc. Lakini mchezaji huyo hakusafiri na timu kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe.

Kumekuwa na taarifa nyingi mitandaoni kuwa, mchezaji huyo ameshasaini mkataba wa awali na Simba sc.

Taarifa zingine zinadai kuwa mchezaji huyo anamkataba halali wa miaka miwili na Yanga sc.

Maswali ya kujiuliza, kwanini mpaka sasa mchezaji huyo ajajiunga na timu ili hali hana matatizo yeyote ya kiafya? Ni kweli amesaini Simba? Au amegoma makusudi kushinikiza madai yake dhidi ya timu hiyo?

Tusubiri sisi kama wadau michezo muda si mrefu tutajua, mbivu ni zipi,na mbichi ni zipi.

View attachment 1480196
Jinsi alivyoondoka Yanga ndio hivyo hivyo anavuoondoka Simba
 
Back
Top Bottom