ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Wadau
Naomba kujua ukweli kuhusu biashara ya Vanilla ambayo inatangazwa sana na jamaa wa Vanilla International wa Vanilla Village wa kule Njombe.
Kwa mahesabu ambayo wamenipa naona faida yake ni mamilioni ya shilingi kwa mfanio ukiwekeza 10m faida yake kwa mwaka huo uikshavuna na kuuza iliyochakatwa ni kama 720m
Sasa hapa nataka kujua kwa nia nzuri tuu kama humu jamvini kuna mtu alishawahi kuwekeza kwenye mradi huu na matokeo yake yakawaje?
Seriously , nataka kujua kabla sijaimimina hela yangu humo!
Pia ukweli wa soko lake la dunia likoje?
Natanguliza shukrani ,karibuni.
Naomba kujua ukweli kuhusu biashara ya Vanilla ambayo inatangazwa sana na jamaa wa Vanilla International wa Vanilla Village wa kule Njombe.
Kwa mahesabu ambayo wamenipa naona faida yake ni mamilioni ya shilingi kwa mfanio ukiwekeza 10m faida yake kwa mwaka huo uikshavuna na kuuza iliyochakatwa ni kama 720m
Sasa hapa nataka kujua kwa nia nzuri tuu kama humu jamvini kuna mtu alishawahi kuwekeza kwenye mradi huu na matokeo yake yakawaje?
Seriously , nataka kujua kabla sijaimimina hela yangu humo!
Pia ukweli wa soko lake la dunia likoje?
Natanguliza shukrani ,karibuni.