Ukweli kuhusu biashara ya Vanilla

Ukweli kuhusu biashara ya Vanilla

Sio rahisi hivyo..ingekua rahisi kila mtu angefanya.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi kwanini waafrika tunapenda sana kukatishana tamaa?

Nilitegemea tu ungetumia lugha ya kumfanya mtu aone inawezekana akiamua kwa sababu wapo wanaofanya. Kigezo cha kusema ingekuwa rahisi angefanya kila mtu siyo sawa. Kwa sababu kila mtu ana malengo yake si lazima kila mtu alime Vanilla.

lugha za kukatishana tamaa si poa ktk harakati za maisha. Ninyi ndo mnawafanya watu wasijiamini

ulitakiwa umweleze changamoto zake aone kama anaweza kuzimudu au lah

kama huzifahamu ungekausha tu.. si lazima kucomment
 
Hivi kwanini waafrika tunapenda sana kukatishana tamaa?

Nilitegemea tu ungetumia lugha ya kumfanya mtu aone inawezekana akiamua kwa sababu wapo wanaofanya. Kigezo cha kusema ingekuwa rahisi angefanya kila mtu siyo sawa. Kwa sababu kila mtu ana malengo yake si lazima kila mtu alime Vanilla.

lugha za kukatishana tamaa si poa ktk harakati za maisha. Ninyi ndo mnawafanya watu wasijiamini

ulitakiwa umweleze changamoto zake aone kama anaweza kuzimudu au lah

kama huzifahamu ungekausha tu.. si lazima kucomment
Absolute right.
Alafu anajibu kirahisi tu. Inakatisha tamaa Sana hii.
Kuna jamaa yangu yupo njombe anaielewa vizur kabisa hii ishu ila watu wanavyoitafsiri ni tofauti kabisa yn
 
Hivi kwanini waafrika tunapenda sana kukatishana tamaa?

Nilitegemea tu ungetumia lugha ya kumfanya mtu aone inawezekana akiamua kwa sababu wapo wanaofanya. Kigezo cha kusema ingekuwa rahisi angefanya kila mtu siyo sawa. Kwa sababu kila mtu ana malengo yake si lazima kila mtu alime Vanilla.

lugha za kukatishana tamaa si poa ktk harakati za maisha. Ninyi ndo mnawafanya watu wasijiamini

ulitakiwa umweleze changamoto zake aone kama anaweza kuzimudu au lah

kama huzifahamu ungekausha tu.. si lazima kucomment
Watu wanajibu hivyo kwa sababu wanajua kinachowangojea wanaoingia kichwa kichwa! Wewe una ufahamu wowote ni hicho kilimo? Ulishafanya au kuona mtu anafanya? Huyo alöiyejibu pengine ana-details za hayo mambo ndiyo maana akafikia hiyo conclusion.
 
Hivi kwanini hawa jamaa wasiende kuomba mkopo benki, kama issue ipo vizuri? Badala wanatafuta kwa watu binafsi? Hii inaonyesha , benki zisingekubali kutoa pesa kwa mradi kama huu... Au benki wanaona kitu ambacho mwananchi wa kawaida hawezi kuona.
 
Hichi kilimo kwani inashindikana nini kukileta Tz.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapa Tanzania, "vanill b a" imekua ikilimwa kwa zaidi ya miaka kumi.
Ukienda kagera watu wamelima na Kuna kipindi ilikosa soko kabisa wakaitelekeza.

Hadi Sasa kg1 mbichi Bei yake haizi 40,000tsh.
 
Kama mtu una hizo hela, Lima mwenyewe vinginevyo itakuwa Kalynda nyingine. Be warned!
 
Kumbe.....
Anyways ujumbe kwa watanzanzania kuwa hakuna online agriculture waingie mashambani wenyewe
 
Matapeli tu hawa ivi wananchi hamchoki kutapeliwa na hizi short cuts. Kama faida kubwa ivo kwanini watafte watu waweke hela si wao na mitaji yao ingetosha
 
Hivi kwanini hawa jamaa wasiende kuomba mkopo benki, kama issue ipo vizuri? Badala wanatafuta kwa watu binafsi? Hii inaonyesha , benki zisingekubali kutoa pesa kwa mradi kama huu... Au benki wanaona kitu ambacho mwananchi wa kawaida hawezi kuona.
Kama hutaki kukisema hicho kitu nikusaidie ni kwamba watu wanapigwa kwa faida hewa. Jamaa wanakula mtaji wa mtu na shamba la kuzuga na pesa haitakaa itoke.
1. Kwanza wanadanganya bei ya vanilla sokoni.
2. Niliwaambia nina kilo 500 wakasema hawanunui lakin bado wanashawishi makolo wawape hela kwa kilimo kipya.
3. Kagera ina vanilla ya kutosha, mbichi sh 30000@kg. Kilo 5 unapata kavu 1.
lakin hakuna soko Hadi waganda wanalangua kienyeji. Je ,hawa wapigaji wana soko ahera?
Nina rafik yangu madagascar walimaji wa vanilla no 1 lakin nao wana tatizo lile lile la soko na ipo nyingi sana.
4. Njombe mkuu wa mkoa alishatoa angalizo sijui makolofasi wanasubiri ya kalynda!
5. Kama umewekeza kwa hawa jamaa jiandae kisaikolojia. Kwa uchunguzi binafs fuatilia soko bei ya soko dunian. Alafu jiulize hata uwape bei ya sh 400000@kg kavu hawakubari na hata hawatak kuskia.
Sema pesa za watu zinawasaidia kuweka mashamba ya kuzugia na kukopea.
Hakuna wa kukulimia wewe bila usimamizi wako binafs ili utusue wewe. Masuala ya kilimo cha hisa yanahitaji ufahamu wa kiudhibiti na uadilifu. Muache kamari.
 
Kama hutaki kukisema hicho kitu nikusaidie ni kwamba watu wanapigwa kwa faida hewa. Jamaa wanakula mtaji wa mtu na shamba la kuzuga na pesa haitakaa itoke.
1. Kwanza wanadanganya bei ya vanilla sokoni.
2. Niliwaambia nina kilo 500 wakasema hawanunui lakin bado wanashawishi makolo wawape hela kwa kilimo kipya.
3. Kagera ina vanilla ya kutosha, mbichi sh 30000@kg. Kilo 5 unapata kavu 1.
lakin hakuna soko Hadi waganda wanalangua kienyeji. Je ,hawa wapigaji wana soko ahera?
Nina rafik yangu madagascar walimaji wa vanilla no 1 lakin nao wana tatizo lile lile la soko na ipo nyingi sana.
4. Njombe mkuu wa mkoa alishatoa angalizo sijui makolofasi wanasubiri ya kalynda!
5. Kama umewekeza kwa hawa jamaa jiandae kisaikolojia. Kwa uchunguzi binafs fuatilia soko bei ya soko dunian. Alafu jiulize hata uwape bei ya sh 400000@kg kavu hawakubari na hata hawatak kuskia.
Sema pesa za watu zinawasaidia kuweka mashamba ya kuzugia na kukopea.
Hakuna wa kukulimia wewe bila usimamizi wako binafs ili utusue wewe. Masuala ya kilimo cha hisa yanahitaji ufahamu wa kiudhibiti na uadilifu. Muache kamari.
Em ngoja kwanza...
Kuna watu wanasema vanilla kilo moja ni million 1

Inakuaje mbona maelezo yanakinzana
 
Back
Top Bottom