Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

mi nimechaguliwa kozi ya informatics vp inaajira? naona ni non priority, nweza nkapata mkopo? na cjui badae ntakua nan mana cijui vizur hi koz!

Karibu sana Mazimbu na kiukweli Informatics ni kozi nzuri na inaajira sana kwa watu wanaotoka SUA, ila jiandae kusolve hesabu kwa mwaka wa kwanza..... Ni course inayohitaji msuli wa ukweli............... Karibu sana na usihofu
 
hapana dada.... kuhusu kupanga ni wewe tyu... na maamuzi yako... ila kwa kuwa ww ni first year ingekuwa vyema kama ungekaa new hostelll... ila ukitaka kupanga nje unaeza ni pm kwa maelezo zaidi

the duduz usisahau kuwambia sua ku disco nikama kumsukuma mlev na kusap ni kawaida!#njoo sua sasa utadhan chuo kimefunguliwa kumbe watu wanasapua
 
Watu wengi wamekuwa wakipenda sana kuwatisha waliochaguliwa hasa first year kwamba SUA chungu

Si kweli kwamba SUA ni chungu but ni kweli kwamba SUA pana ugumu wake, Kudisco SUA ni kazi na pia ni rahisi

NI RAHISI kwasababu SUA ili ufaulu kwenda mwaka unaofuata according to sheri 13.2 na 13.3 ni lazima uwe na credit hours 16 na kuendelea na GPA ya 2 na kupanda, hivyo unakuta wengi wanashindwa kufikisha credit hours 16 na kudisco na kwa mwaka huu wengi wamedisco wamedisco unakuta wana credit hours 15.5.

NI KAZI KUDISCO SUA kwasababu SUA huwezi kudisco semister ya kwanza mpaka usome zote mbili, na kwa mwaka huu ulioisha kimasomo imeonekana mwaka wa kwanza wengi semister ya kwanza waliharibu but semister ya pili walijitahidi na kujiokoa.

Ki ujumla SUA ni kazi kudisco kama ukifuata sheria zake na kuhudhuria vipindi, sema ni ngumu maana vipindi huwa ni masaa karibia matatu na muda mwingi mnajikuta mpo mnasoma lakini ukiweza kujipanga SUA utaiona rahisi na utakula bata kama kawa. Hivyo first year naomba msiogope na karibuni sana SUA na kwa wale wa MAZIMBU CAMPUS karibuni sana na mtaenjoy sana kuja SUA kama mtakuwa committed, ila naomba ujue kama unapenda mzaha basi SUA sio mahala pake maana hapa sheria inafuatwa hivyo utajikuta umedisco kwa kosa la kijinga sana.

KARIBUNI SANA HOME OF AGRICULTURE
 
the duduz usisahau kuwambia sua ku disco nikama kumsukuma mlev na kusap ni kawaida!#njoo sua sasa utadhan chuo kimefunguliwa kumbe watu wanasapua

kweli mkuu... hasahasa wale wenzangu wa BVM ..... mje mkiwa mmeaga vizuriiii.... maana kuna biochem ... grossy anatomy pamoja na developmental anatomy... bila kusahau histology... zinasumbua sana kwa 1st year
 
Wakuu mbona hajakusia starehe mbalimbali wazee was kujirusha tunataka kujua
 
Wazee wa kujirusha mnaeza enda maisha club,kington,kingstone,tushikamane,kaumba,na samaki samaki,hizo chimbo ndio habari ya mujini bt muwe makini.
 
Nimepiga bvm hapo sua kazeni first year kuna kitu kinaitwa anatomy lazma mlie
 
Credit hour n nn?

Yani unakuta kwa semister una masomo tisa na kila somo lina credit hour 2 na kati ya ayo masomo kuna mengine ni elective kwaajili yakukuongezea max let say core subject 6 na elective yanakua 3 ....yani apo unatakiwa ujitahid atleast kwa semister moja upate credit hour 8 ili na semister ya pili upate credit hour 8 ziwe 16......
Ukipata chini ya apoo ndio una disco
 
Kwanza niwapongeze wale wote waliochagulia hapa chuoni kwetu (SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE ) kwa sababu mmepata bahati sana na pia hamtojutia kupata nafasi katika chuo chetu hiki kikongwe kilichobobea katika kilimo Tanzania na duniani kote.....

Haya sasa kama wewe ni first year na unaetegemea kujiunga na chuo chetu karibu sana kwa maswaliiii na utajibiwa bila tatizo lolote...... all in all karibu katika HOME OF EXCELLENCE

samahan lakini..hivi Bsc. of ANIMAL science imekaaje hii...ugumu wake...ajira zake zipo vipi...and ningetaka kujua ipo main campus au ?
 
Credit hours n kama maks ktk kla somo?.mana m nlzan Masaa ya kukaa darasan?
 
Yani unakuta kwa semister una masomo tisa na kila somo lina credit hour 2 na kati ya ayo masomo kuna mengine ni elective kwaajili yakukuongezea max let say core subject 6 na elective yanakua 3 ....yani apo unatakiwa ujitahid atleast kwa semister moja upate credit hour 8 ili na semister ya pili upate credit hour 8 ziwe 16......
Ukipata chini ya apoo ndio una disco

Umemwelewesha vizuri cha msingi hawahi orientation course na pia atembelee website ya www.suanet.ac.tz atakuta prospecutor itakayomweleza kila kitu
 
Wakuu haina noma sema ufafanuzi ndo mpango kwan usilolijua usiku wa kiza
 
Umemwelewesha vizuri cha msingi hawahi orientation course na pia atembelee website ya www.suanet.ac.tz atakuta prospecutor itakayomweleza kila kitu

Afu mkuu kuna kitu kingine wajue hawa watu........ukichelewa kulipa ada wakifunga system yao huoni matokeo yako na mwaka huu wengi walipuuzia lakin ina wa cost .......utakuta mtu kalipa ada kabakisha letsay 100000 system ikafungwa ukishindwa kuona matokeo ndio basi wanachokifanya ukianza muhura mpya unailipa ile ada theni unarudiaa masomo ya semister nzimaa......na hapo wanamaanishaa kurudia mwakaa..........asantee mkuu kwa kuwajuza ndugu zetu ...........mungu akubark
 
Afu mkuu kuna kitu kingine wajue hawa watu........ukichelewa kulipa ada wakifunga system yao huoni matokeo yako na mwaka huu wengi walipuuzia lakin ina wa cost .......utakuta mtu kalipa ada kabakisha letsay 100000 system ikafungwa ukishindwa kuona matokeo ndio basi wanachokifanya ukianza muhura mpya unailipa ile ada theni unarudiaa masomo ya semister nzimaa......na hapo wanamaanishaa kurudia mwakaa..........asantee mkuu kwa kuwajuza ndugu zetu ...........mungu akubark

Ni kweli but kuna baadhi ya department kama engineering wameweka pote pote yaani wamebandika na kutupia SUASIS ,ila hii system n mbaya coz mtu analipiwa na bodi let say 1,000,000 na yy analipa iliyobaki kama 200000 so kumfungia system sio nzuri yaani huyu deputy academic prof gilla n mpuuzi sana
 
Back
Top Bottom