Ukweli Kuhusu Dragons

Ukweli Kuhusu Dragons

Uko sahaihi, ni kweli kuwa hawa viumbe wamewahi kuwepo lakini kwa bahati mbaya wakawa extinct kabla ya binadamu wa kizazi chetu hiki cha sasa, kuanza kuishi. Kuna mmoja mifupa yake iliwahi kupatikana huko Tengaduruna Tanzania na watafiti wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Idara ya Jiolojia, na sasa mifupa hiyo iko Ujerumani imehifadhiwa kwenye museum ya Berlin, kama sikosei.

Tukirudi kwenye Maandiko Matakatifu Biblia, ni kwamba Biblia inasema tangu Adam na Eva kuumbwa ni takribani miaka 6000 hadi leo, lakini Biblia hiyo hiyo ndiyo inayokiri kuwa Mungu hakuumba Ulimwengu siku ile ile alipowaumba Adam na Eva bali alikuwa tayari ameshaaumba kipindi kirefu huko nyuma, kama vile udong na miamba, katika muda ambao Biblia haitaji urefu wake. Alichofanya kipindi kile cha siku saba ambamo aliwaumba pia Adam na Eva, ni marekebisho ya kile alichokuwa tayari ameumba huko nyuma kama vile:

1. Kutenganisha maji na nchi kavu (maji na nchi kavu vilikuwepo tayari, hakuviumba siku hiyo

2. Kutenganisha anga na mbingu---hivi navyo vilikuwepo kipindi kirefu nyuma

Kwa hiyo ni sahihi kuwa kuna ulimwengu ulikuwepo kabla ya Adam na Hawa, na wana-Sayansi wanaofanya utafiti na kupata matokeo ya umri wa vitu ambavyo ni zaidi ya miaka 6000 wako sahihi na hawapingani na maandiko matakatifu ya kwenye Biblia

Asante sana mkuu kwa kushare nasi elimu hii, kwa sehemu kubwa umenyoosha vizuri ila naomba uweke sawa kipande kile cha “mabaki ya mifupa kuhifadhiwa Berlin”.

Ninavyofahamu mimi yale ni mabaki ya Dinosaur [mjusi mkubwa], sina nijuacho zaidi hata kuhusu alipatikana wapi... hebu nitoe shaka au rekebisha kumbukumbu zako kama yule ni Dragon au ni Dinosaur.?
 
plan z
Heshima yako mkuu, nimefurahi sana kupitia shule kwenye bandiko lako.... dragons.

Umekataa kuhusianisha nyoka wa bustanini na dragons, hujatoa sababu zako.

Nikapitia maandiko katika kitabu cha UFUNUO 12:9, kwa Kiswahili anatajwa kama ‘nyoka mkubwa’ kwa kunasibishwa na ibilisi shetani.

Katika kitabu hicho hicho, version ya Kingereza inamtaja kabisa kama DRAGON... hebu jiridhishe au nirekebishe pasi na shaka.
 
Hiki kiumbe asili yake ni kwenye mythologies kama viumbe vingine kwenye mythologies mfano kwenye hellenic mythologies tunamuona sphinx, kwenye kwenye egyptian mythologies tunamuona typhon, na phoenix,viumbe hivi vinawakilisha some aspect of reality na si viumbe halisi,soma mythologies kwa kina ndio utaelewa vizuri.Serpent au joka kwenye bible anawakilisha evil personality au evil being na si nyoka kama hawa tunaowajua kwamba ndio alimdanganya eva, ukiichukulia mifano ya biblia kwa ufikiri hafifu unakuwa umeingia chaka
 
Hiki kiumbe asili yake ni kwenye mythologies kama viumbe vingine kwenye mythologies mfano kwenye hellenic mythologies tunamuona sphinx, kwenye kwenye egyptian mythologies tunamuona typhon, na phoenix,viumbe hivi vinawakilisha some aspect of reality na si viumbe halisi,soma mythologies kwa kina ndio utaelewa vizuri.Serpent au joka kwenye bible anawakilisha evil personality au evil being na si nyoka kama hawa tunaowajua kwamba ndio alimdanganya eva, ukiichukulia mifano ya biblia kwa ufikiri hafifu unakuwa umeingia chaka
Vipi kwa huyo Lewiathani mkuu
 
Asante sana mkuu kwa kushare nasi elimu hii, kwa sehemu kubwa umenyoosha vizuri ila naomba uweke sawa kipande kile cha “mabaki ya mifupa kuhifadhiwa Berlin”.

Ninavyofahamu mimi yale ni mabaki ya Dinosaur [mjusi mkubwa], sina nijuacho zaidi hata kuhusu alipatikana wapi... hebu nitoe shaka au rekebisha kumbukumbu zako kama yule ni Dragon au ni Dinosaur.?
Aliyeanzisha uzi alitumia neno dragon ila kwenye picha akawa ameonyesha dinosaur, kwa hiyo na mimi nikawa naendelea kutoa hoja kwa kufuata mlolongo huo wa mawazo ya muanzisha mada. Mujusi huyo alipatikana Tendaguru, Tanzania.
 
Asante sana mkuu kwa kushare nasi elimu hii, kwa sehemu kubwa umenyoosha vizuri ila naomba uweke sawa kipande kile cha “mabaki ya mifupa kuhifadhiwa Berlin”.

Ninavyofahamu mimi yale ni mabaki ya Dinosaur [mjusi mkubwa], sina nijuacho zaidi hata kuhusu alipatikana wapi... hebu nitoe shaka au rekebisha kumbukumbu zako kama yule ni Dragon au ni Dinosaur.?
Yule ni Dinosaur. Dragon sina uhakika sana kama kuna mabaki ya Dragons.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yah ni kweli dragons ukristo unamtaja kama kiwakilishi cha shetani. Lakini kwa sababu hatujawakuta. Hatuna uhakika kama shetani na malaika zake walioasi kule mbinguni pamoja naye walivyotupwa duniani waliushi kama dragons. Ila binadamu wakati tunaumbwa wao hatukuwakuta duniani.
plan z
Heshima yako mkuu, nimefurahi sana kupitia shule kwenye bandiko lako.... dragons.

Umekataa kuhusianisha nyoka wa bustanini na dragons, hujatoa sababu zako.

Nikapitia maandiko katika kitabu cha UFUNUO 12:9, kwa Kiswahili anatajwa kama ‘nyoka mkubwa’ kwa kunasibishwa na ibilisi shetani.

Katika kitabu hicho hicho, version ya Kingereza inamtaja kabisa kama DRAGON... hebu jiridhishe au nirekebishe pasi na shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimejichanganya kama sio kupotea njia wacha nirudi intelligency kwa kina the bold sio huu unzwanzwa
 
Jamaa una mkwara wewe nimecheka hapo ulipo sema

Dragon waliumbwa kabla ya sisi kuja duniani ila wewe unayo Siri kubwa kuhusu dragon nimecheka Sana ha ha ha ha

Ukiwa muongo usiwe msahaurifu
 
Jamaa una mkwara wewe nimecheka hapo ulipo sema

Dragon waliumbwa kabla ya sisi kuja duniani ila wewe unayo Siri kubwa kuhusu dragon nimecheka Sana ha ha ha ha

Ukiwa muongo usiwe msahaurifu
Sijasahau mkuu
 
Kuna siri nyingine, tofauti na hiyo, hiyo kwanza sio siri
Jamaa una mkwara wewe nimecheka hapo ulipo sema

Dragon waliumbwa kabla ya sisi kuja duniani ila wewe unayo Siri kubwa kuhusu dragon nimecheka Sana ha ha ha ha

Ukiwa muongo usiwe msahaurifu
 
Ukimtizama Dragon kwa makini kabisa kisha umtathimini halafu umng'oe mabawa na miguu kwenye ufahamu wako utapata taswira ya kiumbe fulani.

Umegundua nini?

Dragon ni Joka. Isipokuwa joka huyu ana mabawa na miguu na anatema moto.

Tangu mwanadamu wa kwanza kuumbwa hadi sasa ni takribani miaka 6120. Lakini Dragon waliishi kipindi cha nyuma zaidi kabla ya wanadamu na alitoweka kabla ya wanadamu kuletwa duniani. Sasa ndio ujiuluze binadamu kamjuaje Dragon na hajamkuta.

Nyoka aliyemdanganya Hawa pale bustani ya Edeni alikuwa na miguu miwili hadi minne lakini akalaaniwa atatambaa kwa tumbo.

Hebu mvalishe mabawa huyo nyoka halafu ateme moto. Je ndio amekuwa Dragon. Jibu ni Hapana.

Ukristo ulipoingia uliwakataza watu kuamini uwepo huo kwani unamwakilisha shetani.

Kuna siri nzito ninayoifahamu kuhusu Dragons lakini kwa leo sitawaambia kuepusha kutokuelewana. Ila tambua kwamba Dragon walikuwepo.

View attachment:



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulipata kusoma habari za Lewiathani (Leviathan)?
 
Back
Top Bottom