MTU kama umeisha ishi Kigoma huwezi ukawa na wasiwasi Wa MTU kuwa na sura ya kitutsi kuwa so mtanzania
Wa sura hiyo wapo wengi. Ndio nyie ambao mlidoubt uraia Wa naibu gavana benki kuwa no mrundi
. Lakini ninachompendea rais Wa sasa anajua ukanda Wa Kigoma Karagwe n a Ngara wenye sura hizo wapo na anawatambua kama Watanzania Wa kawaida . Kesi ya Jackyline ilibuka alipoibuka miss Tanzania, watu wabaguzi walipinga eti no mrundi. . iliundwa tume ikaenda hadi Kalinzi kuthibitisha wakawakuta ndugu za baba Wa Ntuyabliwe wakaeleza ukweli wote Jacky akapewa taji. Kwa hiyo Leo tens mnaibua uraia Wa Jacky sijui no kwa hoja ya mgawo Wa marehemu mume wake ? Uraia Wa Jacky ongeleeni jingine. Wachangiaji Wa hii hoja ni wahutu na wajinga hawajatembea Tanzania hasa kanda ya magharibi. Nasikia hata JK alichukia watutsi kwa kuwa aligombea umakamu DARUSO na MTU mwenye sura hiyo miaka ya sabini na alitumia kete hiyo kushawishi wanachuo kuwa yule no mnyarwanda. Ubaguzi hautatuacha salama, ukichanganya na umaskini wetu ulikithiri ni hatari. Obama anagekuwa Tz asingeota kuwa rsis lakini wastaana rwa Rwandabu Marekani walimpa licha ya kuwa baba yake alikuwa mkenya. Wale wana Taasisi imara na MTU akiwa na sifa anapewa. Sisi tun adhani ubantu ndio utanzania na uhamitic no ubuurundi au unyarwana wakati hata huko Hamitic hawazidi 15% Burundi na Rwanda