Jiwe kwake ni kwa Kagame. Hilo unakijua?hata nkapa kwake nchumbiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe kwake ni kwa Kagame. Hilo unakijua?hata nkapa kwake nchumbiji
Duh! Kwa jibu Hilo miye kwatuuh!Komaa na maisha yako achana na mambo ya wagu
Nani alikuambia huyo umjuaye ndio babako ?
Kasoma shule ya msingi forodhani na darasa la 7 alimalizia hapoDuh, hatari. Mm hapa natafuta elimu ya huyu mwanadada Genius Jackline, but sijapata
Kumekuwepo na sintofahamu za hivi karibuni ya kwamba Mama Wawili si mtanzania
Kuna mdau yeyote anayejua ukweli wa sakata hili?
Huonekan sana humu siku hizi. Lumumba wamekupangia majukumu mengine nini?Majungu sasa hayo!
Hivi kuuliza asili ya mtu ni dhambi? Dah watu mnakompliketi vitu
Unailaan sabuni ya Roho afu unaitaka. Are u serious guy?Samahanini sana ndugu zangu.
Kuna mganga yoyote anipe dawa niwe mrithi wa mzee machache??
Eeh mnyaaaazi umfanye k Lynn machache anipende! pesa ilaaniwe
Elimu yake ya darasa la saba au ni zaid ya hapo?Kasoma shule ya msingi forodhani na darasa la 7 alimalizia hapo
Ova
Ruksa kutoa Povu bhna, afu Kagame anajitapa sana kua nchi yetu iko uchi sana kwake. Huenda kweli huyo mtu ni Shushu na hatujui, watu waangalie huenda mzee ka invest hko kwa Kagame afu wakaamua wammalze. Kagame ni mmafia kinyama. Hata kifo cha Profesa wa masheria na makanuni ya likitabu la kuongozea nchi wanasema ana mkono kwenye kifo cha huyoaliekua nguli, aliepigwa risas nyumban kwakeTetesi zinasema hata Bwana yule ni Muhutu.
Hii thread ya mwaka gani, hebu acha wengeKwa nini aulizwe leo baada ya kufiwa na mmewe?