Kwenye uzi kama huu ndiyo utaona natural clours za watanzania majungu, inda wivu na kebehi, uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo hamna, huyu dada wanamchukia basi kaolewa na tajiriTuchape kazi. Majungu si mtaji
Watanzania tuache wivu usio na maana.Kwenye uzi kama huu ndiyo utaona natural clours za watanzania majungu, inda wivu na kebehi, uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo hamna, huyu dada wanamchukia basi kaolewa na tajiri
Kumbe Ntuyabaliwe wa home kabisa! Pole potiNamfahamu baba yake Jacqeuline Ntuyabaliwe Mengi miaka mingi sana. Mimi na Dr. Ntyuabaliwe tulizaliwa kijiji kimoja cha Kalinzi, Kigoma na tulianza shule pamoja enzi hizo. Dada yake Dr. Ntuyabaliwe anaitwa Regina na anaishi pale Kalinzi hadi leo.
Habari Dokta Nshemetse.... Ulitusaidia sana enzi hizo KalyaNamfahamu baba yake Jacqeuline Ntuyabaliwe Mengi miaka mingi sana. Mimi na Dr. Ntyuabaliwe tulizaliwa kijiji kimoja cha Kalinzi, Kigoma na tulianza shule pamoja enzi hizo. Dada yake Dr. Ntuyabaliwe anaitwa Regina na anaishi pale Kalinzi hadi leo.
Ana Muarabu wake tayari Hussein Escape Fanya kazi upate bundle ya kumuangalia instaSamahanini sana ndugu zangu.
Kuna mganga yoyote anipe dawa niwe mrithi wa mzee machache??
Eeh mnyaaaazi umfanye k Lynn machache anipende! pesa ilaaniwe
Wana-Kigoma tumsindikize mkwe tumeandaa basi maalumu Adventure 8 na Saratoga 5 mchango 80,000/=. Umoja wetu nguvu yetuHabari Dokta Nshemetse.... Ulitusaidia sana enzi hizo Kalya
Nipo zanzibar.... Kila la kheri.Wana-Kigoma tumsindikize mkwe tumeandaa basi maalumu Adventure 8 na Saratoga 5 mchango 80,000/=. Umoja wetu nguvu yetu
Kumekuwepo na sintofahamu za hivi karibuni ya kwamba Mama Wawili si mtanzania
Kuna mdau yeyote anayejua ukweli wa sakata hili?
Acha majungu wewe mtoto wa kiume!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh jaman. Nani kufukua huu uzi tena?
Mbona kaleta noma?!
Ona sasa waha wanajiskia vibaya uraia wao kuhojiwa.
Ndiyo halafu hapana!Unailaan sabuni ya Roho afu unaitaka. Are u serious guy?
wahamiaji haramu wengi wanapendaga kujisingizia kwamba kwao ni kigoma, wengi wao ni wazushi na waongo huko kigoma ulifuatilia kwa umakini utakuta wengi ni wacongomani na warundi
Vipi unajiita muyovosi ile kambi ya wakimbizi wa Kirundi ama vipi? Unaemsifia anaezielewa kands za Kagera, Kigoma kuhusiana na swala la sura zao yeye mwenyewe maneno ya chini chini yanasema sio wa hukuMTU kama umeisha ishi Kigoma huwezi ukawa na wasiwasi Wa MTU kuwa na sura ya kitutsi kuwa so mtanzania
Wa sura hiyo wapo wengi. Ndio nyie ambao mlidoubt uraia Wa naibu gavana benki kuwa no mrundi
. Lakini ninachompendea rais Wa sasa anajua ukanda Wa Kigoma Karagwe n a Ngara wenye sura hizo wapo na anawatambua kama Watanzania Wa kawaida . Kesi ya Jackyline ilibuka alipoibuka miss Tanzania, watu wabaguzi walipinga eti no mrundi. . iliundwa tume ikaenda hadi Kalinzi kuthibitisha wakawakuta ndugu za baba Wa Ntuyabliwe wakaeleza ukweli wote Jacky akapewa taji. Kwa hiyo Leo tens mnaibua uraia Wa Jacky sijui no kwa hoja ya mgawo Wa marehemu mume wake ? Uraia Wa Jacky ongeleeni jingine. Wachangiaji Wa hii hoja ni wahutu na wajinga hawajatembea Tanzania hasa kanda ya magharibi. Nasikia hata JK alichukia watutsi kwa kuwa aligombea umakamu DARUSO na MTU mwenye sura hiyo miaka ya sabini na alitumia kete hiyo kushawishi wanachuo kuwa yule no mnyarwanda. Ubaguzi hautatuacha salama, ukichanganya na umaskini wetu ulikithiri ni hatari. Obama anagekuwa Tz asingeota kuwa rsis lakini wastaana rwa Rwandabu Marekani walimpa licha ya kuwa baba yake alikuwa mkenya. Wale wana Taasisi imara na MTU akiwa na sifa anapewa. Sisi tun adhani ubantu ndio utanzania na uhamitic no ubuurundi au unyarwana wakati hata huko Hamitic hawazidi 15% Burundi na Rwanda
😂🤣🤣🤣🤣🤣Vipi unajiita muyovosi ile kambi ya wakimbizi wa Kirundi ama vipi? Unaemsifia anaezielewa kands za Kagera, Kigoma kuhusiana na swala la sura zao yeye mwenyewe maneno ya chini chini yanasema sio wa huku
MTU kama umeisha ishi Kigoma huwezi ukawa na wasiwasi Wa MTU kuwa na sura ya kitutsi kuwa so mtanzania
Wa sura hiyo wapo wengi. Ndio nyie ambao mlidoubt uraia Wa naibu gavana benki kuwa no mrundi
. Lakini ninachompendea rais Wa sasa anajua ukanda Wa Kigoma Karagwe n a Ngara wenye sura hizo wapo na anawatambua kama Watanzania Wa kawaida . Kesi ya Jackyline ilibuka alipoibuka miss Tanzania, watu wabaguzi walipinga eti no mrundi. . iliundwa tume ikaenda hadi Kalinzi kuthibitisha wakawakuta ndugu za baba Wa Ntuyabliwe wakaeleza ukweli wote Jacky akapewa taji. Kwa hiyo Leo tens mnaibua uraia Wa Jacky sijui no kwa hoja ya mgawo Wa marehemu mume wake ? Uraia Wa Jacky ongeleeni jingine. Wachangiaji Wa hii hoja ni wahutu na wajinga hawajatembea Tanzania hasa kanda ya magharibi. Nasikia hata JK alichukia watutsi kwa kuwa aligombea umakamu DARUSO na MTU mwenye sura hiyo miaka ya sabini na alitumia kete hiyo kushawishi wanachuo kuwa yule no mnyarwanda. Ubaguzi hautatuacha salama, ukichanganya na umaskini wetu ulikithiri ni hatari. Obama anagekuwa Tz asingeota kuwa rsis lakini wastaana rwa Rwandabu Marekani walimpa licha ya kuwa baba yake alikuwa mkenya. Wale wana Taasisi imara na MTU akiwa na sifa anapewa. Sisi tun adhani ubantu ndio utanzania na uhamitic no ubuurundi au unyarwana wakati hata huko Hamitic hawazidi 15% Burundi na Rwanda