Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba idara ya uhamiaji ifuatilie suala hili
Mmmh we nae, sasa hapa uongo ni upi na huo ukweli wako ni upi
Lakini jamani huyu Jaquline mnayomzungumzia si ndio alisoma Forodhani na kina Lulu Kiluvia, Irene Kiwia na Zainab Kibodya?
Mimi nimekuwa rafiki wa Jaque kwa miaka mingi na ninafahamu alivyokuwa anampenda baba yake. Jamani ni dhambi kumkumbusha maumivu aliyopata wakati baba yake alipofariki.
Hata mimi nifah sio Mtanzania......kazi kwako.
Mi mwenyewe mkimbizi wa kutoka huko Mogadishu .ila nimezaliwa pale agha khan ndani ya ardhi ya Tanzania
Hahahahahahah washaanza kuvimb macho.
Namfahamu baba yake Jacqeuline Ntuyabaliwe Mengi miaka mingi sana. Mimi na Dr. Ntyuabaliwe tulizaliwa kijiji kimoja cha Kalinzi, Kigoma na tulianza shule pamoja enzi hizo. Dada yake Dr. Ntuyabaliwe anaitwa Regina na anaishi pale Kalinzi hadi leo.
Hata mimi nifah sio Mtanzania......kazi kwako.
Huyo ni muha wa kigoma sio mtz kivipi, japo mama ake ndo alikua shombe sijui shombe wa wapi