Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Kwahio na Roma wameona watafute Kiki kupitia uislam yaan na imani inahitaji Kiki duuh...sawa basi hamieni kwenye dini mlio anzisha Sasa si yenu?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Unakataa ila kama kweli vile😊, Roman Catholic tukiachana na imani kuna ma genious na mikakati mikubwa sana ya power and wealth.
 
Dalili za siku za Mwisho
🤣🤣🤣Bibi yako alimwambia hivyo babu yako, mama yako akamwambia hivyo mama baba yako, na sasa wewe na mke wako mnaambia hivyo na kuwaambia watoto wenu.

Mambo ya siku za mwisho ni ya kuachana nayo, piga kazi safi jilimbikizie. Sali au swali tu kama utaratibu,kwepa dhambi. Yaliyobaki yataji balance.

Hawa tunaowapa vyeo wanakaa mbele yetu misikitini na makanisani nao ni kama sisi.

Hawajui na hawana uhakika na lolote wanalolisema kuhusu Mungu zaidi ya kunyambua na kuwa mahiri katika kufafanua na kutetea dini zao🤣.
 
Duh,
Mpango wa dini moja kuanzisha "dini" nyingine ili kughilibu watu ni jambo la ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…