Mwangos aliuliwa na askar saba tena kwa bomu mchana kweupe na picha zilionyesha waliohusika lakn uchunguz ulionyesha askar hawakuhusika moja kwa moja. Je uchunguz huu polis jamii sita wenye mikanda ya polis, saa nane usiku, wala hamna picha, je uchunguz si utaonyesha polis jamii hawajahusika kabisa.
Hii video naona wanasema ni toyota double cabin na wakati habari nyingine zinasema ni RAV4,yani vurugu tupu!bongo bana!Which one should be reliable?
Mimi nadhani hii issue ni zaidi ya 'mke wa mtu'. Kama ilikuwa ni mke wa mtu basi mwenyewe/wenyewe wangeshamshughulikia siku nyingi maana kuna taarifa kwamba amekuwa na huyo mwanamama kwa muda. Hapa kunaweza kuwa na' mlundikano' wa mambo sasa wamepata nafasi kupitia kwa huyo mama. Sad!
nami utanigaiya kidogonamhitaj kwa ajili ya kuulia panya hiyo sumu
sasa na huyo mama anapata zali la kumegwa na mkubwa the bado anaishi uswazi?
au alikuwa anafaidi kunywa bia na michemsho?
by the way so wale walomuua mwagosi ndo wamemuua bos wao au /
sielewi polisi jamii ndo wapi hao
Ritz leo umekuwa mkweli sana!! Nimekupa na like Mkuu!! Kumbe ukiamua unaweza!! Ha ha ha ha !!!Wameshikwa pabaya. Sasa sijui IGP atoakuja tena na Press Release nyingine au yataisha kimya kimya kama yale ya Ulimboka na Mwangosi?
Mod Tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.
Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========
-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.
MY Take:
-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.
mod tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.
Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========
-kamanda barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-lilikuwa gari la binafsi na kamanda aliendesha mwenyewe.
-walitoka kwenye kikao la kairo hotel na siyo florida hotel kama igp alivyosema katika taarifa yake
-walipofika kitangiri, kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-si mara ya kwanza kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-ulitokea ubishi kidogo
-kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa rpc na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-mama anaisaidia polisi hata sasa.
my take:
-jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi mwanza
-uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.
tunasikitika kwa kila roho inayopotea kwa ukatiri, tunaposema haki za msingi za raia,haiondoi maaskari wetu, poleni sana