"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

Mimi hata Mwanza sipajui nakusubiri wewe mwangosi mpya uje na update
 
Tatizo ni kwamba huyo mama anaisaidia polisi ambayo mwisho wa siku itaficha ukweli na kusema yale yawapendezayo. Ila hiyo ndio picha halisi ya maadili ya viongozi wetu.
na ndio maana wengi siku hizi wanafurahia vifo vyao.
 
japo mi nimesikia huyo mama ni mjane 'Nipashe ya Leo' front page
 
Jamani bado kamati ya IGP inafanya kazi nadhani itakuja na Report nzuri tu kama wakubwa wanavyojinasibu kwamba wauaji lazima wapatikane lakini wa Mwangosi na Dr. Ulimboka mpaka leo hawajapatikana SIJUI HUYU NI MTU NA WALE NINI, JIBU TUTALIPATA TU.
mimi nadhani itakuwa huyu RPC Alipigwa na kitu chenye ncha kali kichwani kwa hiyo azikwe tu mapema halafu mazungumzo aendelee
 

Au labda jamaa alikula mzigo kwenye ndinga...wakati anakula mzigo "mheshimiwa alitoa kitu chenye kurusha vitu vya ncha kali" akakiweka kiti cha nyuma ili ajinafasi vizuri..... sa ndio akawa amemfikisha mwalimu home...sasa akawa anaona uvivu kugeuka sababu ya uchovu ndo akamuomba mwalimu amsaidie kumpa hicho chakurusha vitu vyancha kali kwa sababu mwalimu na yeye alikua anachukua pochi yake iliyokuwa kiti cha nyuma...asa ndo bahati mbaya wakati ndo anakitoa kwene kiti cha nyuma ili ampe,..... ndo kikarusha kitu cha ncha kali kikampiga kwene bega..sasa ndo mheshimiwa akananiii...aka dedi.
 
Angalieni nyie polisi. Mliokabidhiwa kulinda usalama wa raia na mali zao. Badala yake mmekuwa ndo tishio la usalama wao na mali zao. Mnadhani mungu hawaoni? Mmemuua mwangosi akiwa mikononi mwenu hana silaha. Ni uonevu mkubwa hata kichaa aneona na kuikemea hiyo, sembuse mungu? Huyo ndiye mungu na staili yake ya kujibu mapigo. Wanadamu mtahangaika na kiburi chenu cha uzima, kutubu hamtaki! Sawa bana nyie shindaneni na mungu mimi simo!!
 
nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??
Kaka mama hana kosa hata kidogo, wamuue huyo mama kwani yeye ndo alimuua Mwangosi? Wale wametetea maandiko kuwa ukiua kwa upanga nawe shuruti ufe kwa upanga. Well done police jamii
 
Siku zote mshahara wa dhambi ni mauti, Barlow amevuna alichopand. Rest in Peaces.....
 
Top rank of police are trying to repair the damage, shame on you!!
 
Huyu Kamanda yawezekana ameuliwa na Yule Joshua Gitu Muhindi Mkenya ambaye ni Gangstar aliyebobea katika utekaji Wamuachie zake Fumo...

Hizi kesi za Ugoni... utakuja sikia watu wengine wamekamatwa Dar, Moshi na Arusha we Ngoja Picha linaendelea.. Kisasi lazima... Tungekuwa sie ndio wamarekani ingetengenezwa bonge la Movie.... Liitwalo POLISI LAZIMA ILIPE KISASI.
 
Thread ya Fumo Felician...Mbona siioni tena kwenye list? ila me kwangu bado sijaifuta...

Today 14:5 Mwana Mpotevu




[h=2]
Kifo cha RPC Mwanza: Fumo Felician akamatwa![/h]
Naomba tuchukue kama ni tetesi kwa sasa natafuta taarifa kamili na za uhakika zaidi licha ya kwamba taarifa hizi naziamini kwa asilimia 80 kwani nimezitoa kwa mtu wa karibu sana.

Fumo Felician yule mchezaji wa zamani wa Pamba ya Mwanza amekamatwa na polisi kufuatia kifo cha RPC Barlow. Kisa cha kukamatwa ni kwamba ana urafiki na mume wa yule mama Doroth aliyekuwa na RPC ule usiku wa manane wakati kamanda akipigwa risasi.

Pia watu wengine zaidi ya 60 wamekamatwa na polisi kwa kuunganishwa na kifo hiki. Uchunguzi unaendelea...

Nitakuja na taarifa zaidi baadae licha ya kwamba atakayeweza kupata taarifa za kina zaidi yangu anaruhusiwa kutuongezea hapa.
By Marire

Ni kweli Fumo amekamatwa yeye na mdogo wake, kiufupi watu ni wengi waliokamatwa ikiwa ni pamoja na baadhi ya waliokuwepo kwenye kikao cha harusi. Ila wengine ni kusaidia police kiuchunguzi






Invisible, Kakalende, Kaa la Moto and 2 others like this.


Don't break the LAW, just Bend It!






 
Last edited by a moderator:
Ah Kumbe mzinifu, basi huo ndio mshara wa dhambi.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…