Hii kali sana mke wa mtu sumu by the way nasikitika sana kwa tukio hili polisi wabadilike ili ulinzi shirikishi u-prevail,sasa polisi jamii wana linda jamii ama wanaua watu hapo kuna kitu hakuna cha polisi jamii wala nini.ukisema polisi jamii unaongelea usalama je usalama uko wapi kwa hali ile!!!!!!!!!!!!!!
Kamanda naye alikuwa analeta dharau unatafuna mali za watu halafu unakwenda kujiachia mpaka maeneo ya jamaa.
Kamanda naye alikuwa analeta dharau unatafuna mali za watu halafu unakwenda kujiachia mpaka maeneo ya jamaa.
Hivi muke anarudi saa nane home eti alikuwa kwenye kikao!mhhh wanaume tunazidiana upendo jamani.
majambazi waliiba nini?
Makene kijana mwanasheria na ni kada wa chama cha mapinduzi, siku zote miwani haitoki kwenye paji la uso wake, mbona maswali mengi kamanda makene?je huyo mama anaporudi saa nane je mume huwa wapi?Je huyo mume alisha muonya rpc, na mke wake?Je rpc hakuogopa kufika eneo jirani na mwenye mke?Je alikuwa amelewa hivyo kudharau hatari iliyompata?
Yani jitu limeuawa kwaajili ya starehe na wake za watu alafu iundwe tume kwa kodi zetu? Nyambafu nchimbi na wew yatakutokea kama utaamua ku2mia madaraka vibaya
malipo ya uzinzi hayo kama ni kweli alikuwa na mke wa mtu
one movie different stories
Tatizo ni kwamba huyo mama anaisaidia polisi ambayo mwisho wa siku itaficha ukweli na kusema yale yawapendezayo. Ila hiyo ndio picha halisi ya maadili ya viongozi wetu.
ndio jadi ya polisi wa mwanza kula mali za watu?
majambazi watakuuwaje kama hujakaidi maagizo yao?
mbona hawajaiba gari au fedha? kuna kitu zaidi ya tujuavo