"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

Hivi muke anarudi saa nane home eti alikuwa kwenye kikao!mhhh wanaume tunazidiana upendo jamani.
 
nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??

unapotumwa kazi unatekeleza ulichotumwa...
 
Kamanda naye alikuwa analeta dharau unatafuna mali za watu halafu unakwenda kujiachia mpaka mpaka maeneo yao.

Mimi nadhani hii issue ni zaidi ya 'mke wa mtu'. Kama ilikuwa ni mke wa mtu basi mwenyewe/wenyewe wangeshamshughulikia siku nyingi maana kuna taarifa kwamba amekuwa na huyo mwanamama kwa muda. Hapa kunaweza kuwa na' mlundikano' wa mambo sasa wamepata nafasi kupitia kwa huyo mama. Sad!
 
Nchimbi unda tume na wajumbe wawe wale wale wakiongozwa na yule Jaji Kilaza
 
Kamanda naye alikuwa analeta dharau unatafuna mali za watu halafu unakwenda kujiachia mpaka mpaka maeneo yao.
labda ndo kawaweka mjini
wanaume wa siku hizi majukumu hawataki
 
Mara zote mtu akitumia sababu/hoja/majibu mepesi kujibu suala zito/nyeti, mwisho wake huwa ni aibu...IGP hakuchanganya na zake katika kutoa taarifa yake ya awali ya kifo cha RPC wake. Ameitoa taarifa hiyo kama alivyoletewa(ambayo kwa haraka tu haikujitosheleza ku-stand as first crime report) inazua maswali mengi kuliko kuwasilisha taarifa kwa umma. Anyway, time will tell.
 
Kweli kabisa ina onekana kabisa hii ishu ili pangwa kabisa na mwenye mke!

Mke wa mtu ni sumuuu
yaaayaayaaa,yaayaayaayaaaah
usijribu chombezaaaaaaaaaaaaaaa
yatakuja ya kukutee, yaaaaaaaaa
yaliyo mkuta kamandaaaaa!
Yayayayaayaaah.
 
die Scheiße ist auf Scheiße Gott sei Dank starb dort sein das Ende aller Lügen und sündige hinfort nicht mehr weinen, seine liebe Frau und Söhne RIP .its nicht die bin glücklich für diese nicht wahr, aber so traurig Kaizer pliz tafsiri kimoyomoyo nisiondolewe bure jf na Meezy

Mkuu mbona unanena kwa lugha ndugu yangu, kulikoni tena.
Pole sana kwa msiba wa kamanda wako.
 
Yani jitu limeuawa kwaajili ya starehe na wake za watu alafu iundwe tume kwa kodi zetu? Nyambafu nchimbi na wew yatakutokea kama utaamua ku2mia madaraka vibaya
Nchimbi unda tume na wajumbe wawe wale wale wakiongozwa na yule Jaji Kilaza
 
Ile tume ya Nchimbi itahamia huko sasa maana Iringa isha pika na kupakuwa tayari .
 
if that story stil hold true! mbona kuna videmu ving 2 tena vko single jamani? nyumba za watu hazliki wala hazlalik kwa sabab ya pesa za walipakod.... mficha maradh....?
 
Hii kali sana mke wa mtu sumu by the way nasikitika sana kwa tukio hili polisi wabadilike ili ulinzi shirikishi u-prevail,sasa polisi jamii wana linda jamii ama wanaua watu hapo kuna kitu hakuna cha polisi jamii wala nini.ukisema polisi jamii unaongelea usalama je usalama uko wapi kwa hali ile!!!!!!!!!!!!!!
 
ndio jadi ya polisi wa mwanza kula mali za watu?
majambazi watakuuwaje kama hujakaidi maagizo yao?
mbona hawajaiba gari au fedha? kuna kitu zaidi ya tujuavo
 
Back
Top Bottom