"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

Hivi mtu akipata cheo ndiyo idhini ya kutembea na mke wa mtu?Cheo ni dhamana hivi huyu RPC alidhani kuwa alikuwa mjanja. JF lete ukweli wote hapa watajijua na CCM yao!
 
Hii inadhihirisha udhaifu mkubwa wa kiutendaji na kimbinu alivyokuwa navyo Kamanda marehemu. Ni dhahiri kwa jinsi alivyouawa kitoto hakustahili kupewa vyeo alivyokuwa navyo. Kamanda makini angetafuta back up kabla ya kujitokeza mwenyewe kufanya mahojiano vichochoroni.


Weeeeeee cheo kama kile chake lazima ujifanye unatafuta misifa, halafu wanaume wanavyopendaga sifa au hawataki kushindwa especially wakiwa na wanawake ndio yamemkuta hayo wenzie wapo watano yeye yupo mwenyewe anataka kuonekana kwa mwanamke kama yeye ndio yeye ndio hayo yaliyomkuta
 
Acheni wafu wawazike wafu wenzao.
Kesha kufa huyo,acheni familia yake imzike.
Yanini kukuna kichwa?
 
Mod Tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.

Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========

-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.

MY Take:

-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.


The Boss naomba ufafanuzi wa Neno"revelatiöns." ntarudi kumwaga koment yangu.
 
Inaelekea suala hili linamushkeli sana, hata ulcotueleza Baija bado ina maswali meg:
- Huyu mkuu alikuwa na azoea haya na mama huyutu auna wengne?
- Kwa nini 'polisi jamii' imuue? Kwa kunyanyua radio call?

Hii inaonekana ni inside job zaidi but hatutaambiwa ukweli kamwe!
 
Kwa cheo alichokuwa nacho huyu jamaa asingetakiwA kuwa nje usiku mwenyewe. Huu ni udhaifu wa kufikiri na kutoheshimu serikali iliyompa hayo madaraka. In short, he died in the midth of doing something fishy, most likely , as most of folks have speculated, chasing somebody's muwife
 
die Scheiße ist auf Scheiße Gott sei Dank starb dort sein das Ende aller Lügen und sündige hinfort nicht mehr weinen, seine liebe Frau und Söhne RIP .its nicht die bin glücklich für diese nicht wahr, aber so traurig Kaizer pliz tafsiri kimoyomoyo nisiondolewe bure jf na Meezy

Is this Germany or Swedish?
 
Hivi huyo Barlow si ndiye kamanda ambaye alimpigia simu yule Ofisa Uhamiaji wa Mwanza (aliyetaka kuuawa juzi) ili awasuluhishe na yule OCD anayemega eksiwaifu wa huyo ofisa? Kumbe naye anamega waifu wa mtu mwingine!! Duh.....dots ni nyingi za kuunganisha.

IGP anajitahidi kuficha ukweli lakini hakuna cha polisi jamii wala majambazi, tatizo ni UNETHICAL ISSUES WITHIN THE INSTITUTION...period.
Vitamu wakati mwingi huwa ni SUMU, haimati kama ni mke wa mtu, biskuti au pipi.

RIP Kamanda.
 
Nivea mkali wa lugha,kamanda akale ugali na mwl.
 
die Scheiße ist auf Scheiße Gott sei Dank starb dort sein das Ende aller Lügen und sündige hinfort nicht mehr weinen, seine liebe Frau und Söhne RIP .its nicht die bin glücklich für diese nicht wahr, aber so traurig Kaizer pliz tafsiri kimoyomoyo nisiondolewe bure jf na Meezy
Scheiße wieder Scheiße sein!
 
Usalama utarejea kama alikuwa anakula kwa kinga maana Libe mwenyewe mke alishakufa na yule Asha wa Tabora alishakufa, ngoma!!! Doroth naye si mjane kama sijakosea? Na ujane wenyewe pengine nao wa Ngoma!!!
Khaaaaaa!!!

Stori za mtaani hizi, we umepima? Wote wanaokufa siku hizi ni kwa ngoma peke yake? Magonjwa mengine hayaui?Kabla ya ngoma miaka ya sabini watu walikuwa hawafi?Ficha upuuzi wako usifiche busara zako. Hao wenye ngoma mbona leo hii ni kibao na wanaishi na kupiga mzigo kuliko wewe ''usiyejifahamu''.
 
Back
Top Bottom