engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
thanks to JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaojaribu kuleta habari tata za kwamba alikuwa na mwanamke, au nini ni wale wa CCM na vibaraka wake kwa kuficha kile kilicho ukweli.
Kamanda hawezi kuwa peke yake lazima alikuwa na ulinzi kisheria, na hivyo walinzi wake wameshawekwa sawa na magamba na pia huenda ndio walioshirikishwa katika kutimiza azima hiyo.
Kinachofanyika hapa ni kupotosha umma ili kuficha ukweli wa tukio.
Wanaojaribu kuleta habari tata za kwamba alikuwa na mwanamke, au nini ni wale wa CCM na vibaraka wake kwa kuficha kile kilicho ukweli.
Kamanda hawezi kuwa peke yake lazima alikuwa na ulinzi kisheria, na hivyo walinzi wake wameshawekwa sawa na magamba na pia huenda ndio walioshirikishwa katika kutimiza azima hiyo.
Kinachofanyika hapa ni kupotosha umma ili kuficha ukweli wa tukio.
Mkuu Candid, wewe huwa mchangiaji wa kufikiri kidogo kwa muda niliokusoma so far.
Whats wrong?
You are going off track!!!
majambazi waliiba nini?
Kama jina langu lilivyo ndivo ninavyotaka, kudakia mambo ya kijiweni tunapojadili mambo mazito yatokeayo katika jamii ni hatari ya kufunikafunika ukweli ulijificha nyuma ya pazia, na kumbuka wasanii wanaoongoza nchi hii hutumia mwanya wa hoja dhaifu kujenga mambo yao, lakini huwa sipendi mambo ya vijiweni kuyaweka ndiyo msingi wa majadiliano, kwa sababu hakuna mwanafamilia hata mmoja kutoka katika hawa wawili kamanda na mama aliyemsindikiza kulalamikia wanayotunishiana misuli hapa JF. Bara tujadili mazingira na makandokando ya kifo hicho tukihusianisha na matukio kadhaa ya mfululizo tangu Dr. Ulimboka na hadi tulipo sasa.
Tusipoangalia tutachelewa akili kutusahaulisha mambo muhimu na kuhangaika kujadili mambo ya ngoni yasiyohakikiwa. Mengi wanayojadili hapa ni ya kufikirika ambayo hayaja hakikiwa.
nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??
Nimekusoma mkuu.
Naungana na wewe kuwa Polisi kwa miaka ya karibuni imekosa weledi na proffessionlism.
Lakini ni ukweli unaoanza kujitokeza kuwa Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ambaye si mke wake wala si dada yake kama inavyoelezwa.
Indscipline siyo kukataa amri tu , bali hata kutotekeleza mtwakwa ya tabia za ki-utu na za za kijamii.
Kuwa na mwanamke saa mbaya za usiku wa manane ina maelezo gani kama si ufuska.
Na bahati mbaya kama mwanamke huyo ni mke wa mtu mambo yanakuwa mabaya zaidi.Kwamba kosa hilo linatendwa(halijathibitishwa) na kamana wa Polisi wa Mkoa ni kielelezo tosha cha ukosefu wa nidhamu katika jeshi la Polisi.
Na hili tatizo limejionyesha katika sura mbili, TWO DAYS IN A ROW, kwa afisa mmoja wa Uhamiaji kukoswa koswa na askari mwingine kwa sababu tu ya kunyamazishwa malalamiko yake ya kuchukuliwa mke wake.
Mauaji ya wananchi wasio na hatia ni kielelezo kingine cha kuzorota kwa maadili, weledi na proffessionalisn katika jeshi letu la Polisi.
Ni kweli wanaojadili symptoms za matatizo haya hawaoni the bigger picture, na mimi sioni ni kwa jinsi ipi hata serikali yenyewe itayapuuzia matatizo haya.
Wengi tumesema awali na tunasema sasa , tusipoziba ufa tutajenga ukuta.
Leo polisi na watumishi wengine katika vyombo vya dola wana tafutana kwa kuuana , sababu ya wanawake-what indisciplie!
Ingetokea iringa lazima wangesema chadema wanahusikanadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??