"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

Mod Tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.

Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========

-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.

MY Take:

-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.

But tangu lini polisi jamii wanalinda na bunduki?
 
huyo mwenye mke si aingie humu JF atuweke wazi! au ndo watamdaka akawasaidie pamoja na mke wake?

mke wa mtu gani?mbona wambongo tu wagumu wa kuelewa?IMESHASEMWA ALIKUA MJANE.BADO WATU MNATUPIGISHA MARKTIME TANGU JANA...KHA...!!
 
Mod Tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.

Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========

-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.

MY Take:

-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.


Safi sana.Hii ni sehemu ya mapinduzi.Hawa mbwa walizoea ua watu kwa Jeuri na kuandishwa vyeo.Sasa polisi Jamii nao wapandishwe vyeo.Wameua mwizi mwenye silaha(kaiba mke wa Mtu).Alipaswa tuma vijana wampeleke au mama achukue taxi.Sasa kama huyu RPC kachukua uamuzi wa kutishia wakati akiwa amechukua mali za watu ni wazi kuwa hana tofauti na JAMBAZI.Jambazi ni mwizi wa silaha(Armed robbery).

Hope kazi imeanza.Bado IGP, na mbwa wengine.Kova nae alikimbia Mbeya,walikuwa wamwangosi.
 
lakini huyo mama si anaitwa Lyimo, anadhani hata marehemu nae hi hao hao akina Lyimo!
 
Ndio maana ukiangali taarifa mbali mbali zinazotoka, yawezeka wametumiwa na watu fulani fulani, si dhani kama ni ujambazi wa kawaida huo

But tangu lini polisi jamii wanalinda na bunduki?
 
if that story stil hold true! mbona kuna videmu ving 2 tena vko single jamani? nyumba za watu hazliki wala hazlalik kwa sabab ya pesa za walipakod.... mficha maradh....?
huyo kamanda huwa haingii jf mbona single wapo wengi angekuja humu tungempa Smile
 
Last edited by a moderator:
die Scheiße ist auf Scheiße Gott sei Dank starb dort sein das Ende aller Lügen und sündige hinfort nicht mehr weinen, seine liebe Frau und Söhne RIP .its nicht die bin glücklich für diese nicht wahr, aber so traurig Kaizer pliz tafsiri kimoyomoyo nisiondolewe bure jf na Meezy[/QUOTE

Was so da!!!!!s . es ist nicht normal oder?
 
mim naona ni sawa tu kama alikuwa anapenda kubeba wake wa wenzake ni afadhali akapunguzwa ili wale wenye tabia kama yake na vyeo vyao watambua sasa watu wana hasira walee wao ndani wapendeze mke wa mtu sumu bwana.
 
lakini huyo mama si anaitwa Lyimo, anadhani hata marehemu nae hi hao hao akina Lyimo!

Umeambiwa Dorothy ni mjane wa marehemu Modest Lyimo ambaye alizaa naye mtoto mmoja. Na baada ya kifo cha huyo Lyimo, Dorothy alizaa watoto wengine wawili na mwanaume mwingine ambaye hatajwi. Kwa hiyo uhusiano wake na marehemu kamanda kama upo ni wa "shemeji kula". Kumbe lisemwalo lipo. Mwanzoni nilidhani marehemu anapakaziwa.
 
lakini huyo mama si anaitwa Lyimo, anadhani hata marehemu nae hi hao hao akina Lyimo!

Umeambiwa Dorothy ni mjane wa marehemu Modest Lyimo ambaye alizaa naye mtoto mmoja. Na baada ya kifo cha huyo Lyimo, Dorothy alizaa watoto wengine wawili na mwanaume mwingine ambaye hatajwi. Kwa hiyo uhusiano wake na marehemu kamanda kama upo ni wa "shemeji kula". Kumbe lisemwalo lipo. Mwanzoni nilidhani marehemu anapakaziwa.
 
Kuna mtu alikuwa anatuapia kwamba kweli ni ndugu!! Mwalimu ni dada wa Marehemu!!

Mwalimu Dorothy ni mjane wa mtu aliyeitwa Lyimo, ukoo mmoja na marehemu kamanda Barlow. Lakini baada ya kifo cha Lyimo Dorothy alianzisha uhusiano na mwanaume mwingine na kuzaa naye watoto wawili. Kwa hiyo hata uhusiano wa ushemeji na marehemu Barlow haupo maana ndoa ile (chanzo cha ushemeji) iliishia kwenye kifo cha mumewe na pia aliendelea na mambo yake na wanaume because she was free. Kwa hiyo hii ni kitu ilikuwa available kwa yeyote including Barlow aliyeifia.
 
Back
Top Bottom