Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da inanikumbusha wimbo wa bahati bukuku Dunia haina huruma,Mke wake sijui alikuwa anamdanganya nini kila mara anarudi kesho yake home.
Kwani kutembea na hawala au mke wa mtu kama unavyojaribu kutaka kuaminisha umma kuna halalisha mauaji! Mbona unaleta chuki binafsi mkuu........?!!!
Kweli kabisa ina onekana kabisa hii ishu ili pangwa kabisa na mwenye mke!
Mke wa mtu ni sumuuu
yaaayaayaaa,yaayaayaayaaaah
usijribu chombezaaaaaaaaaaaaaaa
yatakuja ya kukutee, yaaaaaaaaa
yaliyo mkuta kamandaaaaa!
Yayayayaayaaah.
...tupe ufafanuzi wa hii kitu "polisi jamii" coz mimi naona kama umenichanganya kwani polisi jamii kama vile sasa siielewi vile...
roho ya kamandaHaiingii akilini kuwa aliuawa na majambazi! KWani baada ya kuua, wamechukua nini?
teh!teh!ubora wake hauna shakanamhitaj kwa ajili ya kuulia panya hiyo sumu
Manumba keshasema polisi walipe kisasi sasa subiri uone watakavyoua watu kila siku utasikia majambazi yameuawa kwa kutaka kufanya uporaji baada ya majibizano ya risasi...Polisi wataua sana utafikiri risasi zina machoPOLE KWA FAMILIA YA MAREHEMU ILA SIO KWA JESHI LA POLISI. NAO WAONE MAUMIVU YA WATANZANIA WENGI WANAOUWA BILA HATIA TENA NA POLISI
walimu watoboa mahusiano ya mwenzao, rpc barlow (nipashe 16 october, 2012)
alibainisha kuwa mwalimu doroth amekuwa ni mtu anayejihusisha sana na shughuli mbalimbali za watu wa kabila lake (wachaga), hivyo hakuna sababu ya kumfikiria vibaya kwa sababu tu mtu aliyekuwa amemsindikiza nyumbani wakitokea kwenye kikao cha maandalizi ya harusi aliuawa kwa kupigwa risasi.
Manumba keshasema polisi walipe kisasi sasa subiri uone watakavyoua watu kila siku utasikia majambazi yameuawa kwa kutaka kufanya uporaji baada ya majibizano ya risasi...Polisi wataua sana utafikiri risasi zina macho