ukweli kuhusu KLOROKWIN

CPU mimi sina na sitaki siku aisee hapana kabisa klorokwin ndio yuko kwenye siku yake leo na kila tarehe 17 ya kila mwezi

Kwahiyo tuseme hautumii EKSITENSHEN KEBO unapoitoboa keyboard yako hapo ulipo??
 
Naona ankal klorokwin ameamka kutoka usingizi:lol::lol:
 

- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.

- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati

- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.

-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM

asanteni na mbarikiwe.

DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa
 
Hahahahahahahah lol
Niliona process er inachelewa
nikaamua kuilipua lol

Nway sante kwa kupenda poster
me like u to..mmmhhh

Kuna mtu ame
hii sredi yako, mi nika

Niruhusu nivae mabuti nianze kumtafuta nikuletee hadi mezani kwako.
 

Wewe kidude chako cha PM kilishafungwa na CPU tangu ulipojaribu kuingia mkataba gizani na AD
 


Si mchezo wewe kweli kloro
 
hehehe leo nitakuwa nachagua PM. akiwa faifu star napokea akiwa uwanja wa fisi naripoti abyuzi. yaani AD kanipaisha kuliko lonado di kaprio. khaaa! karibuni ze finest nitamgeuza mshika pembe niondoke na AD
 
Akha!Wala staki mie maana kwenye chit chat hua siendi!
jana si tulikuwa pamoja kule chit chat tunadanganyana? au ushasahau ukaniambia nikikupatia ujauzito utafurahi mimi nikakwambia namuogopa mungu. kumbuka vizuri lizzy!
 
hehehe leo nitakuwa nachagua PM. akiwa faifu star napokea akiwa uwanja wa fisi naripoti abyuzi. yaani AD kanipaisha kuliko lonado di kaprio. khaaa! karibuni ze finest nitamgeuza mshika pembe niondoke na AD
Kamanda nakutahadharisha kutokula mishikaki kuna njema imekamatwa katulisha mishikaki ya paka for 5yrs yu kanti bilivu.
 

Hongera mr. Dawa chungu. Upo juu sana. Good sence of humour meeen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…