CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
CPU mimi sina na sitaki siku aisee hapana kabisa klorokwin ndio yuko kwenye siku yake leo na kila tarehe 17 ya kila mwezi
Kwahiyo tuseme hautumii EKSITENSHEN KEBO unapoitoboa keyboard yako hapo ulipo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CPU mimi sina na sitaki siku aisee hapana kabisa klorokwin ndio yuko kwenye siku yake leo na kila tarehe 17 ya kila mwezi
Tatizo eksitensheni kebo niliyonayo ni kama ile ya BerkleyKwahiyo tuseme hautumii EKSITENSHEN KEBO unapoitoboa keyboard yako hapo ulipo??
Hey sis
vipi klorokwin au asprin
Au zote?
Yeah men itanidi tukupeleke milima ya uporotoHivi Uporoto ni kiswahili au??
Msaada plz??
Mabibi na ma bwana
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwaeleza
Ukweli kuhusu huyu mtu..
Huyu mtu maneno yake na jina lake
Yanaendana kama
Samaki na maji
mizizi na ardhi
Wanyama na oxygen
Huyu mtu kweli ni tiba kama jina lake
kila atakacho andika kina ucheshi ndani yake..
Klorokwin please keep doing what your doing
Coz we need people like you here ...
asante sana kwa kutufanya tuwe tuna tabasamu kwenye
Screen ya computer....
Yeah men itanidi tukupeleke milima ya uporoto
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.
- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati
- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.
-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM
asanteni na mbarikiwe.
DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa
Uchakachuaji wa jukwaa!
Sasa wewe injini ya kumpyuta hujui jiografia ya inji hii ?Hivi Uporoto ni kiswahili au??
Msaada plz??
Thanks buddy.Yeah men itanidi tukupeleke milima ya uporoto
Usikonde Liz nakufungulia thread yako sasa hivi.Uchakachuaji wa jukwaa!
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.
- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati
- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.
-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM
asanteni na mbarikiwe.
DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa
hehehe leo nitakuwa nachagua PM. akiwa faifu star napokea akiwa uwanja wa fisi naripoti abyuzi. yaani AD kanipaisha kuliko lonado di kaprio. khaaa! karibuni ze finest nitamgeuza mshika pembe niondoke na ADAisee hili li tablet lenzangu leo naona zali limemwangukia.
Mai Dia Felo tablet popote ulipo, haya maujiko naomba tuyafanyie sharing....Ukitibia malaria ya AD hakikisha unakibwatua kichwa chake kwa maumivu ili aje kwangu nimpe Asprin za kutosha.
Aisee nasikia wivu sana kwanini kidonge mwenzangu apewe ujiko peke yake? AD ukipata maumivu ya kichwa usinitafute kudadadadadadadeki!
Akha!Wala staki mie maana kwenye chit chat hua siendi!Usikonde Liz nakufungulia thread yako sasa hivi.
Mmmhu!Ni mazoea tu mamii
next time naamin haitatokea
jana si tulikuwa pamoja kule chit chat tunadanganyana? au ushasahau ukaniambia nikikupatia ujauzito utafurahi mimi nikakwambia namuogopa mungu. kumbuka vizuri lizzy!Akha!Wala staki mie maana kwenye chit chat hua siendi!
Kamanda nakutahadharisha kutokula mishikaki kuna njema imekamatwa katulisha mishikaki ya paka for 5yrs yu kanti bilivu.hehehe leo nitakuwa nachagua PM. akiwa faifu star napokea akiwa uwanja wa fisi naripoti abyuzi. yaani AD kanipaisha kuliko lonado di kaprio. khaaa! karibuni ze finest nitamgeuza mshika pembe niondoke na AD
Ndio SHAROBARO wetu hapa, ngoja siku umuone anakimbiza mwizi utacheka:lol::lol:
hahahahah ndo wale wale wanaokimbiza mwizi wakisema kimbiza mwizi men...........na mkono mmoja umeshikilia trouser... teh teh
Tena huyu ni zaidi anakimbia kwa kunyata ngoja aamke leo aione hii thread hapa kutakuwa na comedy za kufa mtu
Mabibi na ma bwana
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwaeleza
Ukweli kuhusu huyu mtu..
Huyu mtu maneno yake na jina lake
Yanaendana kama
Samaki na maji
mizizi na ardhi
Wanyama na oxygen
Huyu mtu kweli ni tiba kama jina lake
kila atakacho andika kina ucheshi ndani yake..
Klorokwin please keep doing what your doing
Coz we need people like you here ...
asante sana kwa kutufanya tuwe tuna tabasamu kwenye
Screen ya computer....