- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.
- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati
- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.
-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM
asanteni na mbarikiwe.
DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa
sasa nikipigwa ban, nani atakupatia hela ya cafe?, cpu wenyewe ameniPM nimuazime raba anataka kukutoa out.
khaaaa! sawa bana mungu atanilipiaKlorokwini na mimba wapi na wapi!Labda kutoa!
leo nina mzuka wa kukupa neno la Mungu kweli yaani. baadae naomba uniPM tumsifu bwana kwa pamojaKweli huyu kloro...mmmh!
Itabidi niende kwa babu akaimarishe mbavu zangu. Nahisi nazipoteza.
Huyu the finest nae havumi lakini yumo.
Uporoto na hashy nao.....mmmh!
hehehe halaf ze finest akilog out nitakuwa na zawadi yako leo. naomba ufanye mazoezi ya kufumba macho kabisa
????
Hujambo lakini Mkuu??
Hehehe kwenye ukweli ndo hua unamkumbuka?Mwombe atoe uchungu ulionao kwanza alafu tutaongea!khaaaa! sawa bana mungu atanilipia
Nilikwambia uwe unaacha kusimama pale mwenge stendi na kula mishikaki iliyowekwa kwenye vijiti vya chelewo ukawa unasema unabana matumizi kumbe mwenzagu unalishwa vibudu:lol::lol:Kamanda nakutahadharisha kutokula mishikaki kuna njema imekamatwa katulisha mishikaki ya paka for 5yrs yu kanti bilivu.
leo nina mzuka wa kukupa neno la Mungu kweli yaani. baadae naomba uniPM tumsifu bwana kwa pamoja
leo nina mzuka wa kukupa neno la Mungu kweli yaani. baadae naomba uniPM tumsifu bwana kwa pamoja
kijana inaonekana umechoka kuishi mjini.Raba zenyewe zote za kushoto . . . :juggle:
Vidude vya PM vya wadada wote vimefungwa kuanzia sekunde mbili zilizopita.
Unaweza ukaPM wanaume tu
Unaweza ukaPM Nothing4Good na Not Enough
Tokea nimejiunga JF sijawahi ku-log out hata siku moja sababu ID yangu ina hatimiliki na iko certified na ISO pia nina mpango wa kuilist ID yangu pale DSE ili muweze kununua shareshehehe halaf ze finest akilog out nitakuwa na zawadi yako leo. naomba ufanye mazoezi ya kufumba macho kabisa
dah! sheria za JF zinaruhusu hii?Jamaa anafuatilia chombo chake balaa,
kila nikijaribu kumPM AD msg zinapitia inbox ya TF
ngoja niombe mwongozo wa MODS.
Tangu lini mtu aka daiveti PM???
senks mkuu, umepotea sana au uko kwenye foleni kwa babu?
Umeanza lini tabia hii???Ssshuuuu uussiiiseeemeeh
kwaaa ngguvuuu. .
hahaha lol
:lol::lol::lol::lol:Anavaa kiatu namba 50 nini