The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Sio Amri Kapoor banaamkuu mbona unamvunjia heshima samuel jakson wa bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Amri Kapoor banaamkuu mbona unamvunjia heshima samuel jakson wa bongo
hii ni foot calling: sheria za JF haziruhusu. wakikuban naondoka na lizzy
Ebwana namuona mtoto wa kishua hapo chini anachungulia hebu msalimie muulize ushuani wanasemajeHivi ulitumia dawa gani ku-amplify miguu yako??
Ukirudi twende tandale maeneo ya popobawa kuna dili lako paledah! wakuu nalog out kidogo, nina press conference la kumuwakilisha drogba hapo Bukina Faso. tuonane baadae nikimaliza kuelezea umuhimu wa matumizi ya kondom kwa waandishi wa habari wa Bukina Faso. nitarushwa live na KBC TV ya kenya.
hii ni foot calling: sheria za JF haziruhusu. wakikuban naondoka na lizzy
Ukirudi twende tandale maeneo ya popobawa kuna dili lako pale
Oyeeeeeee!!! Klorokwin bado yuko kwenye siku yake hajamalizaKlorokwini Day oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ahaaaa ahaaa unajua klorokwin anapenda zile banana kwa kuwa hazina gharama halafu maeneo ya pale popobawa kabla haujafika kwa tumbo ni maskani sana ya klorokwinLeo naona unakumbushia CR naona umeimiss sana
Ebwana namuona mtoto wa kishua hapo chini anachungulia hebu msalimie muulize ushuani wanasemaje
Oyeeeeeee!!! Klorokwin bado yuko kwenye siku yake hajamaliza
babu usikasirike mie ntakupa ujiko,,,,usije ukasababisha topic ya watu ikafungwa,,,kwani ulisahau kama una nilham wewe??
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.
- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati
- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.
-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM
asanteni na mbarikiwe.
DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa
Ndugu zanguni,
Kuna mtu kanionea Keren_Hapuch wangu?
Mkimwona mwambieni babuye amtafuta eti. Aje na ile notibuku niliyomwandikia wimbo wa Chama Chetu Cha Wazazi Chajaza nchi aniimbie nilale............Natangulia kitandani kulala.
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.
- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati
- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.
-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM
asanteni na mbarikiwe.
DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa