ukweli kuhusu KLOROKWIN

ukweli kuhusu KLOROKWIN

dah! wakuu nalog out kidogo, nina press conference la kumuwakilisha drogba hapo Bukina Faso. tuonane baadae nikimaliza kuelezea umuhimu wa matumizi ya kondom kwa waandishi wa habari wa Bukina Faso. nitarushwa live na KBC TV ya kenya.
 
dah! wakuu nalog out kidogo, nina press conference la kumuwakilisha drogba hapo Bukina Faso. tuonane baadae nikimaliza kuelezea umuhimu wa matumizi ya kondom kwa waandishi wa habari wa Bukina Faso. nitarushwa live na KBC TV ya kenya.
Ukirudi twende tandale maeneo ya popobawa kuna dili lako pale
 
CPU sijaona report juu ya meza..


Ni cylinder head ime blow
Au umesahau kufunga waste gate
Exhaust gase yote umetoka
sasa hatuna full power tena ...

Kwanza engine in super charged au turbo charged?
maana kama ni super charged naona hiyo impala
Haizunguki kabisa yaani...
 
babu usikasirike mie ntakupa ujiko,,,,usije ukasababisha topic ya watu ikafungwa,,,kwani ulisahau kama una nilham wewe??

Mwenye sauti tamu na nzuri hebu asogee mbele amwimbie babu hii twaarab nzuri utunzi wake bibiye Nilham Rashed.

Klorokwini hebu leta tape recorder urekodi hii yuziful twaarab!
 
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.

- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati

- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.

-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM

asanteni na mbarikiwe.

DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa

Kwa kweli you got the talent....hongera!!!
 
Ndugu zanguni,

Kuna mtu kanionea Keren_Hapuch wangu?

Mkimwona mwambieni babuye amtafuta eti. Aje na ile notibuku niliyomwandikia wimbo wa Chama Chetu Cha Wazazi Chajaza nchi aniimbie nilale............Natangulia kitandani kulala.
 
Ndugu zanguni,

Kuna mtu kanionea Keren_Hapuch wangu?

Mkimwona mwambieni babuye amtafuta eti. Aje na ile notibuku niliyomwandikia wimbo wa Chama Chetu Cha Wazazi Chajaza nchi aniimbie nilale............Natangulia kitandani kulala.

Abeee Babu...nipo hapa............... ile notibuku nimepoteza babu sorrrreeeee...........
 
- kwa niaba ya majirani zangu walioambukizwa ukimwi kwa bahati mbaya.

- kwa niaba ya wagonjwa wa kwashiakoo east afrika mashariki na kati

- kwa niaba ya mwalimu wangu wa physics ambae hata spelling ya neno physics hawezi kuandika.

-kwa niaba ya vichaa wa milembe ambao wamepata matumaini baada ya kuwepo ufunuo huko loliondo.

Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru AD na wote mliohuzuria katika sherehe hii ambayo imeniongezea idadi ya PM

asanteni na mbarikiwe.

DJ tunaomba wimbo wa "mayasa" kabla umeme haujazimwa

Ubaguzi mwingine hata haufai!

Hakuna hata kwa niaba ya vidonge vyote vilivyopo famasi?
 
Back
Top Bottom