ukweli kuhusu KLOROKWIN

ukweli kuhusu KLOROKWIN

kila msimu huja na kuondoka inamana ukiwa juu,kifuatacho ni kudondoka.,duuu.! Huyo jamaa nae ipo tu day yake..
 
kila msimu huja na kuondoka inamana ukiwa juu,kifuatacho ni kudondoka.,duuu.! Huyo jamaa nae ipo tu day yake..
Kentash
mmmhhh jina zuri
nway ni vizuri kusherehekea
kila siku ya maisha..
shida zipo lakini tusizipe kipaumbele

Na hakuna kitu kibaya kama kumuombea
mwenzie dua mbaya...

Utajifunza tu
Karibu JF na.. .. naona ndo umeingia
 
Ubaguzi mwingine hata haufai!

Hakuna hata kwa niaba ya vidonge vyote vilivyopo famasi?
fellow tablet nikifanya kosa la kukushirikisha kwenye hii sredi, utaharibu mipangilio yote. hiyo kwa niaba ya famasi tutaandika kule "akilia sana karibu kutunguliwa", si unakumbuka lile bundi la mwanakijiji?
 
Me like kklorokwin akiwa kwenye siku zake
Hopeful kila siku ni siku yako neighbour..
 
Sasa kwanini upate shida zote hizo jamani, mpka kucha hazioti...lol??!! Keren yuko at home, please pay her a visit..🙂
sasa si unaona umeanza kuongea kijitu kizima. yaani aspirin likiona hii post lazima liombe ban. khaaa! ramani tupeane pembeni hapa magadaffi wengi
 
:lol::lol::lol::lol::lol: mwenzio malaria imepanda kichwani njoo nitibuu:lol::lol::lol::lol::lol:

Hahaha ngoja Malaria sugu a one hii Namwonea
Huruma jirani yangu klorokwin
Sababu Asprin na malaria
Watakutoa kwenye business..
 
hehehe namaliza kesho halaf zinaanza za ze finest. kamfanyie shopping kabisa

Hahaha lol
TF nimesha anza naye siku nyingi sana..
ila siwajua tena kaniweeka ndani sasa mie
si ruhusiwi klorokwin.asprin wala kupata
Marelia hahaha lol
ni mimi TF na Nurofine...mmhhh
 
fellow tablet nikifanya kosa la kukushirikisha kwenye hii sredi, utaharibu mipangilio yote. hiyo kwa niaba ya famasi tutaandika kule "akilia sana karibu kutunguliwa", si unakumbuka lile bundi la mwanakijiji?
Huu sasa ndio urafiki wa mashaka, tunakosa ushirikiano watu wanatukimbia na kuweka kambi Loliondo.

Can I help?...
:tongue::tongue: We Keren humjui my fellow tablet? atakutongoza...shauri yako!

Kama huamini msome hapa chini, hapo kaondokea na gia namba tatu.

hivi bado unauliza? khaaaa! Keren jamani! mwenzio kucha hazioti kwa kukuwaza wewe

Sasa kwanini upate shida zote hizo jamani, mpka kucha hazioti...lol??!! Keren yuko at home, please pay her a visit..🙂
Ebo, tayari ushakuwa ubinzi wa kule kwenye domicile ya mchungaji wa Loliondo?

sasa si unaona umeanza kuongea kijitu kizima. yaani aspirin likiona hii post lazima liombe ban. khaaa! ramani tupeane pembeni hapa magadaffi wengi
My fello tablet, usiwe na mashaka na mimi? chombo kimeshakuangukia.....hebu soma hapo chini, kifaa kimekuja chenyewe mbendembende na khanga moja....khaaaa!....Wewe una wako nyumbani, na mimi nina wangu nyumbani, chuki ya nini kati yangu mimi na wewe?

Haya bana.. tuonane hapo nje!!!

acha nitafte tochi nikuje, tanesco wako online.
Unaharibu sasa...tochi ya nini wakati kiza ndo mwendo wake?

Anyway, Caring is sharing......ukishamtibia malaria mlete mtaa wa pili nimwondolee maumivu ya mgongo na kichwa.
 
Hahaha ngoja Malaria sugu a one hii Namwonea
Huruma jirani yangu klorokwin
Sababu Asprin na malaria
Watakutoa kwenye business..

Natamani nikuelewe lakini nashindwa.

Anyway at least kuna mtu ananikumbuka wakati sipo, hata kama nimeenda msalani haijalishi. Ishu ni kukumbukwa! AD una maumivu sehemu yoyote ya mwili, hasa zile unazozificha na manguo...damn! hivi nani aligundua kitu maazi?
 
Back
Top Bottom