Ukweli kuhusu kumiliki pesa nyingi

Ukweli kuhusu kumiliki pesa nyingi

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kuna watu wanajiuliza sana na wanapambana sana kupata utajiri, siwakatishi tamaa ila fahamu haya kisha jipime kama unachokifanya kinakufanya uje kuwa tajiri au uishi mazuri tu

1. Utajiri ni bahati ila maisha mazuri ni jitihada, so ukifanya sana kazi na kwa jitahada kubwa fahamu unachotafta ni maisha mazuri , utajiri sio matokeo ya kufanya sana kazi

2. Utajiri ni matokeo ya urithi wa vizazi na vizazi, fahamu matajiri kama akina MO , GSM nk wengi wao wamerithi tu na wana akili ndiio maana wamefanikiwa

3. Utajiri chanzo chake ni kuibia serikali au kampuni kubwa , kiufupi hapa bongo hujakwepa kodi , hujafisadi , hujarithi nafasi yako ya kupata utajiri ni finyu sana ,sasa je upo kwenye kundi linaloweza kuiba

4. Kipaji na ubunifu kwa nchi zetu za kiafrika kina nafasi kidogo sana ya kukupa utajiri, bongo wenye vipaji wanakuwa marufu sio matajiri , vip wewe una kipaji chochote

6. Elimu na ajira nyingi ni msaada wa kukukinga zidi ya njaa sio kukupatia utajiri

7. Utajiri Tanzania ni siri na nguvu za giza sometimes times zinahusika, so nje ya haya mambo saba fahamu utaishia kufa na utazikwa kama mtu wa hovyo tu, jiandae kisakolojia kupata maisha mazuri , utajiri ni ngumu kuupata
 
Utajiri ni commitment, mbinu, hardwork, creativity and connection ..
Ukishatimiza hivyo jifunze na kukwepa kodi sasa bila hivyo hela itaishia serikali.
Ukizipata usipeleke benki kila hela unayo pata waulize wahindi na wakinga benki weka kiasi nyingine kaa nayo wewe
 
Nimeona wanazengo wakisema utajiri Ni kufanya kazi kwa bidii, creativity, connections na kukwepa Kodi.

Mimi naongezamea Hili👉Kufanya biashara haramu.
 
Sasa maisha yamenishinda, umri umekwenda, pesa sina, angalau nipeni maujanja ya kufa na kuoza hatimae kufufuka. Sitaki niuwe mtu Ila nijiuwe mwenyewe. Nile kidogo kwa raha kabla sijafutika katika uso wa dunia.
 
Kuna watu wanajiuliza sana na wanapambana sana kupata utajiri, siwakatishi tamaa ila fahamu haya kisha jipime kama unachokifanya kinakufanya uje kuwa tajiri au uishi mazuri tu

1. Utajiri ni bahati ila maisha mazuri ni jitihada, so ukifanya sana kazi na kwa jitahada kubwa fahamu unachotafta ni maisha mazuri , utajiri sio matokeo ya kufanya sana kazi

2. Utajiri ni matokeo ya urithi wa vizazi na vizazi, fahamu matajiri kama akina MO , GSM nk wengi wao wamerithi tu na wana akili ndiio maana wamefanikiwa

3. Utajiri chanzo chake ni kuibia serikali au kampuni kubwa , kiufupi hapa bongo hujakwepa kodi , hujafisadi , hujarithi nafasi yako ya kupata utajiri ni finyu sana ,sasa je upo kwenye kundi linaloweza kuiba

4. Kipaji na ubunifu kwa nchi zetu za kiafrika kina nafasi kidogo sana ya kukupa utajiri, bongo wenye vipaji wanakuwa marufu sio matajiri , vip wewe una kipaji chochote

6. Elimu na ajira nyingi ni msaada wa kukukinga zidi ya njaa sio kukupatia utajiri

7. Utajiri Tanzania ni siri na nguvu za giza sometimes times zinahusika, so nje ya haya mambo saba fahamu utaishia kufa na utazikwa kama mtu wa hovyo tu, jiandae kisakolojia kupata maisha mazuri , utajiri ni ngumu kuupata
Kuna siku inatokea unapata connection ya dili kubwa unspiga pesa ndefu sana alafu dili kama hilo hayaji mengi huja moja moja tu,na hapo ndio utajiri huanzia.

Hakikisha unajuana ama kushirikiana na watu wenye fedha na biashara ili wakupe michongo ya kufanya.
 
Back
Top Bottom