Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
kumekua na mafundisho ya jinsi ya kupanga kupata mtoto mwenye jinsia ya kike au kiume,
Mojawapo ya theory kubwa ni ile inayosema mwanaume akikutana na mwanamke kuanzia siku ya 11-13 tangu alipoingia bleed basi kuna uwezekano wa kupata mtoto wa kike,na kama itaanzia siku ya 14-17,basi kuna possibility ya kidume.
Hii nadharia ina ukweli kwa asilimia ndogo sana,ukweli ni kwamba kupata mtoto wa kiume au wa kike asilimia kubwa iko kwa mwanaume.
Kivipi?ili niweze kuelezea mada hii lazima ufahamu kuwa mtoto wa kiume au wa kike mbegu zao za urutubishaji wa yai la mwanamke ,zimekua named kisayansi kama mbegu y(kiume),na mbegu x ya like.
Mbegu zote hizi hukaa kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Zifuatazo ni tabia za mbegu hizi nikianzia na x
X-kike, huwa zina protein nyingi sana ambazo huzifanya kuhimili mazingira magumu.
2. Huwa zinasafiri taratibu sana maana huwa ni nzito.
3. Huwa hazifi kiurahisi.
B.Y-kiume:mbegu hizi zina tabia zifuatazo.
1. Huwa zina energy nyingi yaani wanga kuliko protein.
2. Zina nguvu sana.
3. Hazina uwezo wa kukabiliana na mazingira magumu.
Sasa tuje kwenye mada.
ili upate mtoto wa kiume lazima haya mazingira yawepo kwa mwanamme.
-usifanye ngono yoyote kwa wiki kama mbili ukiweza mwezi, hii itasaidia uzalishaji wa manii nyingi ambazo hutumika kulainisha njia za uzazi za mwanaume na mwanamke,manii siyo mbegu ,manii hutokea kabla ya kupiz mbegu katika mfumo wa majimaji.hapa hata kama mwanamke hana ute atalowa tu.
Itasaidia mbegu Y zenye nguvu na speed kuchanja mbuga kiulaini.pia manii husaidia kuangamiza bacteria wa magonjwa.si unajua Y hapendi magonjwa.
- Hakikisha wakati unapizi zamisha uume wote mpaka pumbu ziguse uke ,ili kufupisha safari.
ukifanya hivyo uzingatie kula vyakula vya wanga kwa wingi.
Mtoto wa like ukitaka ni kinyume cha hapo juu.
Mwisho zifuatazo ni sababu juu ambazo hufanya kushindwa kupata mtoto wa kiume.
Nakaribisha mawazo tujengane
Mojawapo ya theory kubwa ni ile inayosema mwanaume akikutana na mwanamke kuanzia siku ya 11-13 tangu alipoingia bleed basi kuna uwezekano wa kupata mtoto wa kike,na kama itaanzia siku ya 14-17,basi kuna possibility ya kidume.
Hii nadharia ina ukweli kwa asilimia ndogo sana,ukweli ni kwamba kupata mtoto wa kiume au wa kike asilimia kubwa iko kwa mwanaume.
Kivipi?ili niweze kuelezea mada hii lazima ufahamu kuwa mtoto wa kiume au wa kike mbegu zao za urutubishaji wa yai la mwanamke ,zimekua named kisayansi kama mbegu y(kiume),na mbegu x ya like.
Mbegu zote hizi hukaa kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Zifuatazo ni tabia za mbegu hizi nikianzia na x
X-kike, huwa zina protein nyingi sana ambazo huzifanya kuhimili mazingira magumu.
2. Huwa zinasafiri taratibu sana maana huwa ni nzito.
3. Huwa hazifi kiurahisi.
B.Y-kiume:mbegu hizi zina tabia zifuatazo.
1. Huwa zina energy nyingi yaani wanga kuliko protein.
2. Zina nguvu sana.
3. Hazina uwezo wa kukabiliana na mazingira magumu.
Sasa tuje kwenye mada.
ili upate mtoto wa kiume lazima haya mazingira yawepo kwa mwanamme.
-usifanye ngono yoyote kwa wiki kama mbili ukiweza mwezi, hii itasaidia uzalishaji wa manii nyingi ambazo hutumika kulainisha njia za uzazi za mwanaume na mwanamke,manii siyo mbegu ,manii hutokea kabla ya kupiz mbegu katika mfumo wa majimaji.hapa hata kama mwanamke hana ute atalowa tu.
Itasaidia mbegu Y zenye nguvu na speed kuchanja mbuga kiulaini.pia manii husaidia kuangamiza bacteria wa magonjwa.si unajua Y hapendi magonjwa.
- Hakikisha wakati unapizi zamisha uume wote mpaka pumbu ziguse uke ,ili kufupisha safari.
ukifanya hivyo uzingatie kula vyakula vya wanga kwa wingi.
Mtoto wa like ukitaka ni kinyume cha hapo juu.
Mwisho zifuatazo ni sababu juu ambazo hufanya kushindwa kupata mtoto wa kiume.
- uke wenye kina kirefu wakati mwanamke akiwa na nyege uke unatakiwa usizidi nchi 7, ikizidi tatizo.
- Mwanamke au mwanaume akiwa Malaya sana pia humfanya asipate mtoto wa kiume
- Mipango ya Mungu kuingiliaiana.
Nakaribisha mawazo tujengane