Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

haya mambo yasikie tu kwa jirani. yani demu unamuangalia ni pisi kweli unaenda kuchakata safi kabisa ila baada ya siku mbili tu msala unaanza....
Aaahg [emoji28][emoji28][emoji119]
 
U T I hikitu ni shikamo inatesa sana n kuipat kwa wanaume ni kutokana na ngono n mwanamke kwa asilimia 99.9999
 
hahahahaa kuna jamaa mmoja alipata demu yeye akajua ame win kumbe ni BOMU kaenda kunyandua tu masaa 6 mengi kitu imo. demu ana tumiwa msg anasema utajua mwenyewe.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
U T I hikitu ni shikamo inatesa sana n kuipat kwa wanaume ni kutokana na ngono n mwanamke kwa asilimia 99.9999
Innasemekana kuna UTI wanaitibu kwa sindano za powersafe je ina tofautiana vipi na ile ya kumeza vidonge
 
Muwe mnakunywa maji mengi kabla ya game atleast 1litre alafu ukitupiamo la kwanza wahi ukakojoe osha nyeti na sabuni, bugia tena maji kama litre hv ingia tena ulingoni pambana wee ukiwatupiamo tena rudi tena washroom kakoje and the circle continue,,,,,,hakikisha mkeo anafanya checkup mara kwa mara maana uti na jinsia ke ni pipa na mfuniko🤝
NB:njia hii ni kwa walioowa tu. Mabachelor mtumie kinga mambo ya kusema ndomu inachelewesha wazungu hiyo ni jukumu lako,,,,,wazungu wa wahi upate UTI au wachelewe uwe huru👊
 
Mkuu pole kwa hayo maradhi yako ya UTI kama hujapona nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguwa pole.
 
Mkuu pole kwa hayo maradhi yako ya UTI kama hujapona nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguwa pole.
nimepona ila nahisi kuna jinsi ina jirudia ila ni ya kawaida ile ya mkojo ku choma ukibana nataka niende nikacheki tena vizuri
 
Tufanyeje sasa duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…