wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
ajali kazini , hivi wewe mtu anapigwa mapaka hajiwezi ghafla anapata nguvu, na hujiulizi ile style ya masterio mtu lazima akae kwenye kamba sijui yaitwa 360, mimi nilikuwa naamini kama wewe... aim glad baada ya kuangalia THE REAL FIGHTS! UFC nkaona WWE wote maigizo
Hahah eti 360 umeambiwa hio ni camera 360, Hahah inaitwa 619 Mkuu, hahah