Ukweli kuhusu mieleka/wrestling, mchezo au maigizo

Ukweli kuhusu mieleka/wrestling, mchezo au maigizo

mle wanapigana kweli na kuna kanuni zake,vile viti unavyoviona havina uzito kama viti vya darasani kwenu,mle hapigwi mtu nyundo wala mshale,na hawapigi kila sehemu ya mwili,kuna baadhi hawagusi kabisa,mwisho kabisa mazoezi wanayofanya sio ya mwaka moja kama kina cheka,chakula wanachokula pia sio kama cha kina cheka,yaani kwa kifupi hadi mtu unamuona amesimama pale jua amepitia mlolongo mrefu sana cheka wenu anaweza kukata tamaa na pia wataalamu wa viungo na madokta ni wengi sana ndo sababu kila kitu mnaona mnadanganya,huwez fananisha US na TZ

mkuu nimepata mawazo sana kwa hii post yako,, samahani lakin usinielewe vibaya ina maana hao wanaopigwa viti usoni wasipate ata alama na wewe ulielipiwa na mpemba dola 200 ukawaangalie nyie wote ni wanaume?? wataalam naombeni mnisaidie hivi hua kuna zoezi la kukomaza uso?
 
Mi nlishuhudia mieleka wakati nipo SA...ni uongo mtupu, hamna ukweli wowote. Since that day sijawahi kuangalia mieleka tena

angalia tena mwingine SA kuna uwanja wa mieleka? bora hata ungesema Dubai
 
Mkuu mimi bado napata mashaka kiduchu nikiangalia ule mchezo, inakuaje pale mtu anapopigwa na kiti cha chuma kichwani mpaka kiti kinasambaa na mtu anakuwa yupo fit hata kuchubuka wala kuvimba.

.......Mbona wakati wa sherehe sijui za Muungano sijui za nini pale Uwanja wa Taifa wale Makomandoo wetu walikuwa wanavunja matofali kwa kichwa na hawatoki damu au walikuwa wanaigiza?
 
angalia tena mwingine SA kuna uwanja wa mieleka? bora hata ungesema Dubai

Kama hujui uwe unanyamaza...wwe wanafanyaga tours sehemu mbalimbali duniani, na mimi nilipata fursa ya kuwaona walipofanya SA.
 
Binadamu wangekuwa wagumu kufa kiasi hicho ingekuwa raha sana. Unarushwa toka meta kadhaa juu unatua kwa kichwa halafu unapangusa vumbi unaendelea na mchezo!!
 
Kama hujui uwe unanyamaza...wwe wanafanyaga tours sehemu mbalimbali duniani, na mimi nilipata fursa ya kuwaona walipofanya SA.

Kadanganye watoto wadogo dada usitake kutuingza chaka!
 
.......Mbona wakati wa sherehe sijui za Muungano sijui za nini pale Uwanja wa Taifa wale Makomandoo wetu walikuwa wanavunja matofali kwa kichwa na hawatoki damu au walikuwa wanaigiza?

Akili za mende aliekunywa sumu ndyo hzi!!
 
Vitu vingi vinavyofanyika vinakuwa planned, performers wanafuata script kama movie vile, kunakuwa na reharsal before hawajaenda kuperform, si vitu vyote wanavyofanya vinakuwa planned ndio maana kunatokea vifo sometimes. Rey Mysterio alimuua Pedro Aguayo kwa bahati mbaya kwenye pambano lao march mwaka huu


Doh! Nimeiona. Inatia huruma sana. Maana jamaa apigwa vibaya sana akatupwa nje, kisha ile anarudi tuu, akapigwa teke la upande wa kushoto wa kichwa... Hakunyanyuka. Mchezo hatari sana huu.

Maana kama wanaoigiza wanakufa, vipi unaemuiga anaeigiza?
 
Well executed scripts kwa ajili ya burudani.

Michezo yote ya kupigana inayotambulika ulimwenguni, kigezo namba 1 ni usawa kwenye uzito na mambo mengine. Sio huyu ana rungu, huyu hana, hawa wako 10 huyu yuko peke yake.
 
vile zile drama kama za donald trump na mr.mackain ......... kuna vitu vina pangwa sometimes unaweza tabiri mshindi kabisa kuna the good guys na the bad guys kama movies the good guys mfano john cena huaga wanapata shida mwanzo but thy always become heroes kweny mipambano mikali...bad guys mfano mzuri alikua umaga great khalee

sio sometimes...it is well scripted right from the start....(pre-determined)..
 
sijaona tatizo kwenye info zako, sasa wadau wanakuwa na msongo wa mawazo sana, smh..

Mimi mwenyewe ni mtazamaji mzuri sana wa mieleka toka enzi nikiwa shule ya msingi mpaka sasa niko elimu ya juu.

Hawa jamaa najua wanafanya vitu ambavyo ni real, wanapigwa, wanaumia, wengine wanakufa kabisa.

Hivi inawezekana kweli mtoe atoe zaidi ya dola 200 kwa ajili ya kwenda kuangalia ujinga? fake things? serious?

mkuu Excel...naomba unieleweshe maana ya hii sentensi..kisha toa hitimisho....

As in other professional wrestling promotions, WWE shows are not legitimate sporting contests, but purely entertainment-based, featuring storyline-driven, scripted, and choreographed matches, though they often include moves that can put performers at risk of injury if not performed correctly.
cc: plo lumumba jr, falcon mombasa, Asprin
kisha tazama hii video clip...ujiongeze maarifa..
 
Last edited by a moderator:
waTANZANIA NI wapumbavu sana yaani mtu kusema niliwahi kwenda marekani watu wanaona ni kitu cha ajabu sana kana kwamba marekani ni mbinguni,jamani ni matope gani yaliyowajaa vichwani mwenu? kuna watanzania wanaenda kule kila wiki kuna kabinti kanamiaka saba pekee alitoka miami hadi dar peke yake as young flyer bila wazazi wala mtu wa kumsindikiza,jaman hebu tuachen upuzi wa kupaona marekani kama mbinguni
Mkuu, kubali kwamba yale maelezo yako hayakujibu swali la mleta thread, badala yake ukaanza kuelezea computer vs reality. Swali lilikuwa ni planned vs reality, yaani hivi, pale wanapokuwa ulingoni, je wanakuwa walishapanga mapema kuwa baada ya hiki kitokee hiki AU hakuna mpango wa kabla ya mechi ila kila mtu ndo anapigana vile seriously?
 
kuna vidonge huwa wanatumia ili wasichanike hovyo,kwa mwaka mara mbili full dose ni dollar 8000

Swali kwako Chief...
Iko wazi kwamba dawa za kuongeza nguvu au kusaidia performance ya mchezaji kwa namna yoyote ile zinapigwa vita sana michezoni. Marion Jones, Rio Ferdinand, Lance Armstrong na wengine kadhaa wameshatolewa mifano kwamba watu wako serious kwa nyakati tofauti. Naomba unifafanulie kwanini wameruhusu hizo dawa zitumike kwenye mieleka, kama kweli ni mchezo halali??
 
kuna vidonge huwa wanatumia ili wasichanike hovyo,kwa mwaka mara mbili full dose ni dollar 8000

Vinaitwaje hivyo vidonge na wewe umejuaje kuwa hao jamaa huwa wanavitumia ili wasichanike hovyo?

Na vinauzwa wapi kwa dola 8,000?
 
Back
Top Bottom