Mzizi wale walio zaliwa 17 January wana nyota gani na Usiku zao zikoje .kuna brother wangu yeye huwa anafuatilia hiyo tarehe ila hajawahi pata taarifa zake MKUU
Nyota ya 10 nı nyota ya Mbuzi: Desemba 22 – Januari 19
alama-za-nyota_mbuzi
Ni alama ya udongo na mwenye kuhitaji nyumba yenye amani ili kuhisi ukamilifu.
Mwenye malengo , mipango na matarajio makubwa
Ni mtatuaji wa matatizo kwa vitendo na mapangiliaji mzuri wa mambo-Mtendaji
Ni mwenye mipango na mfuatiliaji wa mipango yake
Si mshirikishaji mzuri mpaka aombwe au asukumwe.
Ni mpenzi mzuri na rafiki wa maisha
Mgumu kubadilika
Mbishi na asiyekubari kushindwa kirahisi
Mfanyabiashara
Mwajibikaji
UHUSIANO WA KIMAPENZI (NYOTA YA MBUZI NA NYOTA YA KAA)
Tabia ya Mbuzi ya ubahili na kutopenda anasa hulainishwa na tabia ya Kaa ya upendo, mapenzi na huruma.
USHAURI WANGU:
Una nyota nzuri lakini kila ukifanya jambo huwa haliwi? Unajiuliza kwa
nini kila nikifanya mambo yangu yanaharibika?Jibu haulipati Jibu lake ni utakuwa umerogwa au nyota yako imechukuliwa na wachawi au mtu mwengine anaitumia ukitaka mambo yako yawe mazuri kupandishwa nyota yako iwe juu iwe ina ng'ara na kufanikiwa kwa mambo yako na kupata pete ya nyota yako pete ya bahati na kinga unaweza kunitafuta kwa njia hizi hapa chini.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya
pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.
Mzizi Mkavu