Eleweni hela ya kujikimu kwa mujiju wa kanuni za utumishi wa uma hulipwa na halmashauli husika hivyo inategemea na mapato yao, pia inategemea kama wana pesa kwa mda huo, hivyo unaweza kuanza kazi na dai kwa barua na endelea kufatilia na kukumbushia mara kwa mara watakulipa. ukiambiwa kurudi nyumbani mpaka salary isome ni sawa kwanza hapo nifeva kwani wengine huambiwa kuendelea na kazi wakati chambi hakuna. pia msiporuhusiwa mashureni muendako waambieni wakuu wawatunze mpaka bum litoke au mmbane ded awakopeshe ila huwa wanakopesha km mm kipindi naajiriwa ded alitukopesha, kila lahel . kumbuka sasa hivi unaitamani kazi hata usingizi hauji subiri miaka mitatu baada ya kuzoea utaanza kuijutia kwa nini niliajiliwa. maisha mema!