MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
Katika harakati ya kusaka maarifa, nimekutana na habari hii kuhusu ubongo wa mwanadamu.
Ubongo wa mwanadamu hauwezi kujaa maarifa.
Ubongo una seli billioni kumi na nne.
Kama ukiutumia kwa kiwango cha juu (to the maximum) unaweza kutunza maarifa yote! Duniani tangu dunia ianze na nafasi ikabaki.
Wenye maarifa zaidi karibuni.
Ubongo wa mwanadamu hauwezi kujaa maarifa.
Ubongo una seli billioni kumi na nne.
Kama ukiutumia kwa kiwango cha juu (to the maximum) unaweza kutunza maarifa yote! Duniani tangu dunia ianze na nafasi ikabaki.
Wenye maarifa zaidi karibuni.