Ukweli kuhusu viumbe wa ajabu wanaovamia dunia.

Ukweli kuhusu viumbe wa ajabu wanaovamia dunia.

Hakuna kitu kama.hicho.ni conspiracy game uliyokuwa inafanyika au inatumika katika jamii za wazungu koko ili kuwatenga baadhi ya wavumbuzi, watu wenye akili sana au hata mtu aliyeonekana kuwa atachukua uongozi wa nchi.

Basi , walimpakazia kuwa ana asili au mama yake mzazi alizaa na hao viumbe wa kusadikika ili watu wapate hofu ya kumchagua au kumkubali hata kufikia hatua ya kumtenga fulani hivi.

Siku hizi, za dini ya warabu pori na wazungu koko mnawaita hao viumbe wa kufikilika (aliens) kuwa ni mapepo au majini siju maruhani.

Mbona huku Afrika hawajawahi kuja!?

Kwa nini hawajawahi kuwakamata live!?

Je mahitaji yao hapa duniani yameisha kama ilivyokuwa hapo awali kuwa walikuwa wanakuja kuchukua mitambo na machine zao huku chini ya ardhi?

Wazungu koko ni wanafiki na watu wa fitina sana.

Any way, waafrika nao ni balaa tupu, wakiambiwa au kusikia tu chochote watazunguka nacho miaka Nenda rudi mwisho watajiaminisha kuwa ni ukweli.

Hata, Obama , mwaka 2008 walioanza kusema habari za ajabu juu yake kuwa naye anaongozwa na mara mapepo, oooh oooh ana alama Kichwani kama aliyeondolewa ubongo akawekewa mitambo ndani ya fuvu /Kichwa chake mara ana mkono wa kivuli.

Ila hali hizo zote ni kutaka kufanya mtu apoteze mvuto na kukubalika.
Isue ya aliens lakini ina miaka mingi duniani.kuhusu Africa kuna viumbe wa ajabu waliwahi kutokea kwa muda mfupi wakaondoka huko Zimbabwe karibu na shule.
 
Isue ya aliens lakini ina miaka mingi duniani.kuhusu Africa kuna viumbe wa ajabu waliwahi kutokea kwa muda mfupi wakaondoka huko Zimbabwe karibu na shule.

Mr the dragon ,
Mkuu, angalau picha za huko Zimbabwe ilivyokuwa.

Ni kweli ni issue ina miaka mingi ila uhalisia wake ni zero yaani kwenye asilimia ni -0% .

Kwa lugha nyingine ni kuwa hakuna kitu kama hicho hapa duniani au huko wana kusema wamejificha mara wamehamia.

Soma vizuri na tafuta hata hiyo issue ya Obama niliyokuwekea hapo utaelewa vizuri kabisa.
 
Mkuu hii story nilijua ingekua na mpaka sehemu ya 3,4,5, na pengine 6-10. Wakati nasoma nikajua ndo utangulizi kumbe ndo namaliza story hivoo!!
 
aliens wapo....na njia za kuwasiliana nao kama telekinesis zipo....hawaongei kwa mdomo....ila inasemeka specie ya reptilians wamefanyiwa humanoid technology na kufanana na binadamu...so thet are among us...especially uko ulaya....UKO USA wanawatumia jamaa maana wanateknolojia y HALI YA JUU....
 
View attachment 638165

View attachment 638169

Kuna minong'ono na maneno ya wazi kwamba kuna viumbe wa ajabu wamekimbilia katika dunia na kusababisha hofu na wasiwasi wa maisha ya binadamu wa kawaida, kwa mujibu wa mwanasayansi wa fizikia na nyuklia raia wa Canada Bwana Stanton Friedman amesema dunia imekua ikitembelewa sana na viumbe wa ajabu maarufu kama Aliens kwa lengo la kuangalia mienendo kadhaa ya kitekinolojia na maisha ya kawaida na muda sio mrefu wataweka makaazi kabisa duniani, "Hakuna doa la mashaka kwamba viumbe wa ajabu wenye akili nyingi sana wanafanya safari zao kuja duniani"

Bwana Friedman mwenye umri wa miaka 82 alikua akichunguza ajali ya chombo cha anga za juu hususani ajali ya mwaka 1947 iliohusu chombo cha anga kilichopata ajali mbaya katika anga za juu na kueleza kilipotezwa na kitu kisicho cha kawaida kabisa kilichokua na viumbe wa ajabu,

aidha, amesema faili lenye taarifa za siri sana za CIA juu ya uwepo wa viumbe hao ni moja ya ushahidi wa uwepo wa viumbe hao, anasema anafikiri viumbe hao maarufu Aliens wanataka kulinda anga lao ambalo limekua likitembelewa sana na vyombo na binaadamu kutoka duniani, nae aliekua Waziri wa Ulinzi wa Canada Paul Hellyer amesema dunia imekua ikitembelewa na viumbe hao kwa miongo kadhaa sasa amesema mwaka 1995 viumbe hao walitembelea dunia amesema mwaka 1961 kulikua na vyombo vya anga vya ajabu 50 vilivyojulikana kama UFO na visivyo vya kawaida kabisa vikiruka kutoka kusini ya dunia vikielekea Urusi na Ulaya.

Unganisha dots na thread yangu hii hapa
The Mystery of the Engineering work of the Pyramids at Giza
 
Wazungu utawaweza wanazuga tu, hayo ni majini yao tu, tatizo wazungu hawataki waonekane ni wachawi, wakati wao ndio wakuu wa uchawi.
 
Hakuna kitu kama hicho ni conspiracy game iliyokuwa inafanyika au inatumika katika jamii za wazungu koko ili kuwatenga baadhi ya wavumbuzi, watu wenye akili sana au hata mtu aliyeonekana kuwa atachukua uongozi wa nchi.

Basi , walimpakazia kuwa ana asili au mama yake mzazi alizaa na hao viumbe wa kusadikika ili watu wapate hofu ya kumchagua au kumkubali hata kufikia hatua ya kumtenga fulani hivi.

Siku hizi, za dini ya warabu pori na wazungu koko mnawaita hao viumbe wa kufikilika (aliens) kuwa ni mapepo au majini siju maruhani.

Mbona huku Afrika hawajawahi kuja!?

Kwa nini hawajawahi kuwakamata live.watuoneshe kwenye taarifa zao na aweke eneo tukamuone sote?

Je mahitaji yao hapa duniani yameisha kama ilivyokuwa hapo awali kuwa walikuwa wanakuja kuchukua mitambo na machine zao huku chini ya ardhi?

Wazungu koko ni wanafiki na watu wa fitina sana.

Any way, waafrika nao ni balaa tupu, wakiambiwa au kusikia tu chochote watazunguka nacho miaka Nenda rudi mwisho watajiaminisha kuwa ni ukweli.

Hata, Obama , mwaka 2008 walioanza kusema habari za ajabu juu yake kuwa naye anaongozwa na mara mapepo, oooh oooh ana alama Kichwani kama aliyeondolewa ubongo akawekewa mitambo ndani ya fuvu /Kichwa chake mara ana mkono wa kivuli.

Ila hali hizo zote ni kutaka kufanya mtu apoteze mvuto na kukubalika.

Hata hivyo usikate kwamba Aliens hawapo, wapo. CIA wali-abondon research za UFO's baada ya kuona kuwa UFO's hwana threat kwa dunia yetu. Still, hata kama wangekuwa threat, bado hatuna teknoloji ya kuweza kuwakabili, so waliona is useless na kwamba ni vitu ambavyo vingeweza kusababisha chaos na panic kwa watu wanaoishi duniani.

By the way, hizi structure hapa ametengeneza nani?

The Mystery of the Engineering work of the Pyramids at Giza
 
Mara kadhaa huwa nahisi hata hizi technology tutumiazo yawezakuwa zilitoka nje ya sayari yetu Na kuletwa kisha tukajifunza Na sasa tunamodify tuwezapo Na pengine twaongezewa maarifa Na viombe tuonao kuwa ni binadamu.
 
mimi na rafiki yangu wakati tupo secondary nakumbuka ilikua mida kama saa3 tunatoka kwenye matembezi yetu tunaelekea hostel, tuliona viumbe wa ajabu walikua wawili ni kama binadamu ila hawakua binadamu wa kawaida walikua bize na stori zao ghafla tukakutana uso kwa uso tulikosa uvumilivu kila mmoja alikimbilia njia yake tulienda kukutana hostel tusiamini tulichokiona na kila tuliemuadithia hakutuamini. viumbe wa ajabu wapo wazungu watawaita alliens ukija kwetu utasikia vibwengo nk ila kwa wataalam ndio wanaweza kuchunguza na kujua maisha yao technology yao wanaishi wapi nk. ila ni kweli wapo.
 
Wakija tuwakamate halafu tutafute machangudoa wazae nao tuone cross breed zao katika nchi ya viwanda na maendeleo ya Tekinolojia
 
mimi na rafiki yangu wakati tupo secondary nakumbuka ilikua mida kama saa3 tunatoka kwenye matembezi yetu tunaelekea hostel, tuliona viumbe wa ajabu walikua wawili ni kama binadamu ila hawakua binadamu wa kawaida walikua bize na stori zao ghafla tukakutana uso kwa uso tulikosa uvumilivu kila mmoja alikimbilia njia yake tulienda kukutana hostel tusiamini tulichokiona na kila tuliemuadithia hakutuamini. viumbe wa ajabu wapo wazungu watawaita alliens ukija kwetu utasikia vibwengo nk ila kwa wataalam ndio wanaweza kuchunguza na kujua maisha yao technology yao wanaishi wapi nk. ila ni kweli wapo.
walikuwaje kiumbo..?
 
walikuwaje kiumbo..?
walikua na kimo cha wastani, ila umbo lote lilikua ni kiza kitupu haikua rahisi kujua pua inafananaje mdomo macho nk ata kujua wamevaaje haikua rahisi ila wote walikua wanafanana kimuonekano, na wakati wanakuja kwa mbali kila mmoja wetu alijua ni binadamu wa kawaida, ilikua tunapita kwenye njia nyembamba iliyonyooka kiasi ata kama tungepishana ilikua watupishe au tuwapishe wapite nafikiria kama tungepata comfidence ya kuwasogelea kwa ukaribu huo sijui nini kingetoke.
 
walikua na kimo cha wastani, ila umbo lote lilikua ni kiza kitupu haikua rahisi kujua pua inafananaje mdomo macho nk ata kujua wamevaaje haikua rahisi ila wote walikua wanafanana kimuonekano, na wakati wanakuja kwa mbali kila mmoja wetu alijua ni binadamu wa kawaida, ilikua tunapita kwenye njia nyembamba iliyonyooka kiasi ata kama tungepishana ilikua watupishe au tuwapishe wapite nafikiria kama tungepata comfidence ya kuwasogelea kwa ukaribu huo sijui nini kingetoke.
umesema walikuwa kama wanapiga story haukuweza kusikia sauti zao..? je,zinafanana na binadamu..?
wkt mnaanza kukimbia wenyewe walichukua hatua gani(walisimama,walikimbia,waliendelea kutembea) nini walifanya wkt mnachukua hatua ya kukimbia..?
maelezo ya mwenzako na yakwako yanaendana kwa kile mlichokiona..?
 
Back
Top Bottom