Ukweli kuhusu vurugu zilizotokeza Loliondo

Ukweli kuhusu vurugu zilizotokeza Loliondo

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
305
Reaction score
728
Katika Hospitali na vituo vya afya vyote vya Mkoa wa Arusha hakuna majeruhi wa vurugu zilizojitokea wakati Wamasaai wakizuia zoezi la uwekaji wa mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo,

Imeelezwa kuwa kama kuna watu waliojeruhiwa katika virugu hizo wajitokeze ili wapatiwe matibabu

Imebainika kuna kundi la Wamaasai kutoka nchi jirani (nchi hiyo nimehifadhi kwa jina) waliingia nchini kuzuia uwekaji wa mipaka katika pori hilo na baada ya kushindwa kutimiza azma hiyo walikimbia na kurudi katika nchi hiyo ya jirani wakiwa na majeraha

Ikukumbukwe kuwa zoezi la uwekaji mipaka ni kwa ajili ya kulinda uhai wa wa pori dhidi ya shughuli za binadamu kwa kuwa pori hilo ndilo uhai wa hifadhi za Serengeti na Ngorongoro.

Pia mipaka hiyo itasaidia kuzuia wawindaji haramu na wafugaji kuingiza mifugo katika pori hilo na katika hifadhi za Ngorongoro na Serengeti _ hususan kutoka nchi jirani ambao wamekuwa na mazoea na kujinuifaisha na maliasili zilizopo Nchini Tanzania

Wito kwa Watanzania kuiunga mkono Serikali kwa kuwa zoezi la uwekaji mipaka katika pori hilo linamanufaa makubwa kwa Taifa kwa linalinda maliasili kwa maslahi ya vizazi vya sasa na baadae

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
 
Imebainika kuna kundi la Wamaasai kutoka nchi jirani (nchi hiyo tumeihifadhi kwa jina) waliingia nchini kuzuia uwekaji wa mipaka katika pori hilo na baada ya kushindwa kutimiza azma hiyo walikimbia na kurudi katika nchi hiyo ya jirani wakiwa na majeraha
Umeamua utushike akili mkuu
 
Tunataka maelezo ya kina ni kwa namna gani watu watoke nchi jirani, waje wafanye vurugu kwenye nchi yetu?

Tena kwa maelezo yenu wenyewe; wengine wamewahi kujipenyeza mpaka kushinda nafasi za udiwani, na nyinginezo kupitia chama tawala, huku serikali ikiwa imelala usingizi!
 
Masai ndio walivamia polisi, wanang'ang'ania ngolongolo ni nani aliyewaambia ni yao?
 
Watoke nchi jilani waingie hadi katika nchi nyingine hadi katika hilo poli kisha watie mgomo
Wakati huo
1. Jeshi la uhamiaji wamewaangalia tu
2. Walinzi wa hifadhi wamewaangalia tu.
3. Jamii ya wamasai (wenyeji) waliwaona ni wageni wakawaacha kabisa bila kuwapiga au kuleta mgogoro.
Undondocha unaanzaga hivi hivi
 
Taharuki ni kubwa, Wananchi waliwachagua Ili muwamiminie risasi za moto ktk Nchi Yao wenyewe?
 
Hivi huwa wanatuona sisi wote ni wajinga kama nyie, yaani mtu atoke nchi jirani kuipigania Ngorongoro ili iweje na ili apate faida gani?
 
Watoke nchi jilani waingie hadi katika nchi nyingine hadi katika hilo poli kisha watie mgomo
Wakati huo
1. Jeshi la uhamiaji wamewaangalia tu
2. Walinzi wa hifadhi wamewaangalia tu.
3. Jamii ya wamasai (wenyeji) waliwaona ni wageni wakawaacha kabisa bila kuwapiga au kuleta mgogoro.
Undondocha unaanzaga hivi hivi
Za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Wamaasai wa nchi jirani wananufaika na nini tz, hii inaukakasi
 
Hilo pori lina matumizi mengi sio wanyama tuu,kuna watu wa nje ambao wana mamluki wao huku Tz wanafaidika nalo...Watimuliwe kwanza hao wa nje halafu tutafutane wenyewe huku Ndani.
 
Katika Hospitali na vituo vya afya vyote vya Mkoa wa Arusha hakuna majeruhi wa vurugu zilizojitokea wakati Wamasaai wakizuia zoezi la uwekaji wa mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo,

Imeelezwa kuwa kama kuna watu waliojeruhiwa katika virugu hizo wajitokeze ili wapatiwe matibabu

Imebainika kuna kundi la Wamaasai kutoka nchi jirani (nchi hiyo nimehifadhi kwa jina) waliingia nchini kuzuia uwekaji wa mipaka katika pori hilo na baada ya kushindwa kutimiza azma hiyo walikimbia na kurudi katika nchi hiyo ya jirani wakiwa na majeraha

Ikukumbukwe kuwa zoezi la uwekaji mipaka ni kwa ajili ya kulinda uhai wa wa pori dhidi ya shughuli za binadamu kwa kuwa pori hilo ndilo uhai wa hifadhi za Serengeti na Ngorongoro. Pia mipaka hiyo itasaidia kuzuia wawindaji haramu na wafugaji kuingiza mifugo katika pori hilo na katika hifadhi za Ngorongoro na Serengeti _ hususan kutoka nchi jirani ambao wamekuwa na mazoea na kujinuifaisha na maliasili zilizopo Nchini Tanzania

Wito kwa Watanzania kuiunga mkono Serikali kwa kuwa zoezi la uwekaji mipaka katika pori hilo linamanufaa makubwa kwa Taifa kwa linalinda maliasili kwa maslahi ya vizazi vya sasa na baadae

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Acha uongo na ujinga
 
Katika Hospitali na vituo vya afya vyote vya Mkoa wa Arusha hakuna majeruhi wa vurugu zilizojitokea wakati Wamasaai wakizuia zoezi la uwekaji wa mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo,

Imeelezwa kuwa kama kuna watu waliojeruhiwa katika virugu hizo wajitokeze ili wapatiwe matibabu

Imebainika kuna kundi la Wamaasai kutoka nchi jirani (nchi hiyo nimehifadhi kwa jina) waliingia nchini kuzuia uwekaji wa mipaka katika pori hilo na baada ya kushindwa kutimiza azma hiyo walikimbia na kurudi katika nchi hiyo ya jirani wakiwa na majeraha

Ikukumbukwe kuwa zoezi la uwekaji mipaka ni kwa ajili ya kulinda uhai wa wa pori dhidi ya shughuli za binadamu kwa kuwa pori hilo ndilo uhai wa hifadhi za Serengeti na Ngorongoro.

Pia mipaka hiyo itasaidia kuzuia wawindaji haramu na wafugaji kuingiza mifugo katika pori hilo na katika hifadhi za Ngorongoro na Serengeti _ hususan kutoka nchi jirani ambao wamekuwa na mazoea na kujinuifaisha na maliasili zilizopo Nchini Tanzania

Wito kwa Watanzania kuiunga mkono Serikali kwa kuwa zoezi la uwekaji mipaka katika pori hilo linamanufaa makubwa kwa Taifa kwa linalinda maliasili kwa maslahi ya vizazi vya sasa na baadae

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Hii ni sawa na wewe kuamini umelogwa ndio maana ni maskini.
 
Kila mnapofeli katika mipango yenu kwa ujinga wenu, mnaisingizia Kenya. Mnaangamia kwa tamaa za viongozi wenu na kukosa maarifa.
 
Kama umejitolea kuandika hii taarifa hongera sana lkn kama umetumwa na mamlaka haujui kuandika unakula mshahara wa bure.
 
Katika Hospitali na vituo vya afya vyote vya Mkoa wa Arusha hakuna majeruhi wa vurugu zilizojitokea wakati Wamasaai wakizuia zoezi la uwekaji wa mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo,

Imeelezwa kuwa kama kuna watu waliojeruhiwa katika virugu hizo wajitokeze ili wapatiwe matibabu

Imebainika kuna kundi la Wamaasai kutoka nchi jirani (nchi hiyo nimehifadhi kwa jina) waliingia nchini kuzuia uwekaji wa mipaka katika pori hilo na baada ya kushindwa kutimiza azma hiyo walikimbia na kurudi katika nchi hiyo ya jirani wakiwa na majeraha

Ikukumbukwe kuwa zoezi la uwekaji mipaka ni kwa ajili ya kulinda uhai wa wa pori dhidi ya shughuli za binadamu kwa kuwa pori hilo ndilo uhai wa hifadhi za Serengeti na Ngorongoro.

Pia mipaka hiyo itasaidia kuzuia wawindaji haramu na wafugaji kuingiza mifugo katika pori hilo na katika hifadhi za Ngorongoro na Serengeti _ hususan kutoka nchi jirani ambao wamekuwa na mazoea na kujinuifaisha na maliasili zilizopo Nchini Tanzania

Wito kwa Watanzania kuiunga mkono Serikali kwa kuwa zoezi la uwekaji mipaka katika pori hilo linamanufaa makubwa kwa Taifa kwa linalinda maliasili kwa maslahi ya vizazi vya sasa na baadae

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Jinga
 
Sijaelewa, yani mtu kutoka nchi ya nje amekuja kuzuia kuwekwa mpaka kwenye nchi nyingine.? Inawezekanaje.? Tafuteni uongo mwingine.!
 
Katika Hospitali na vituo vya afya vyote vya Mkoa wa Arusha hakuna majeruhi wa vurugu zilizojitokea wakati Wamasaai wakizuia zoezi la uwekaji wa mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo,

Imeelezwa kuwa kama kuna watu waliojeruhiwa katika virugu hizo wajitokeze ili wapatiwe matibabu

Imebainika kuna kundi la Wamaasai kutoka nchi jirani (nchi hiyo nimehifadhi kwa jina) waliingia nchini kuzuia uwekaji wa mipaka katika pori hilo na baada ya kushindwa kutimiza azma hiyo walikimbia na kurudi katika nchi hiyo ya jirani wakiwa na majeraha

Ikukumbukwe kuwa zoezi la uwekaji mipaka ni kwa ajili ya kulinda uhai wa wa pori dhidi ya shughuli za binadamu kwa kuwa pori hilo ndilo uhai wa hifadhi za Serengeti na Ngorongoro.

Pia mipaka hiyo itasaidia kuzuia wawindaji haramu na wafugaji kuingiza mifugo katika pori hilo na katika hifadhi za Ngorongoro na Serengeti _ hususan kutoka nchi jirani ambao wamekuwa na mazoea na kujinuifaisha na maliasili zilizopo Nchini Tanzania

Wito kwa Watanzania kuiunga mkono Serikali kwa kuwa zoezi la uwekaji mipaka katika pori hilo linamanufaa makubwa kwa Taifa kwa linalinda maliasili kwa maslahi ya vizazi vya sasa na baadae

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
F'K U
 
Back
Top Bottom