Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
FM: Ahsante kwa mchango wako: Kleist hawezi kuwa mnafik yeye ni mwanasiasa tu kama nilivyoeleza katika jibu langu. Juu ya hayo yote tuondoke hapo na tuangalie mengine. Nimeweka ukumbini vipande ambavyo mimi navipenda na hufurahi kila ninapovisoma. Tafadhali tuelekee huko na tuendelee na mjadala wa historia ya nchi yetu.
Mohammed Said , that is where you go wrong! Mjadala huu ni mkubwa na unapobanwa sehemu fulani usirudi kule unapopata unafuu.Na hii ni kwa vile umetengeneza serious allegations against Nyerere and Christianity kwa ujumla.
Wachangiaji kadha wa kadha wamejaribu kuonyesha kuwa kuyatazama matukio yote ya kupigania Uhuru kwa mtazamo wa udini si sahihi.
Hi kwa hakika halita saidia katika kutatua matatizo ya kimaendeleo katika sehemu kadhaa nchini.
Sisi sote ni watanzania na ni lazima tufaidike na matunda ya uhuru, lakini kama hujitayarishi kufaidi matunda haya nani atakulazimisha?
Huu ndio mtazamo wangu na pengine wengi pia.