Ukweli kuhusu waasisi wa TANU na harakati za kupigania uhuru

Ukweli kuhusu waasisi wa TANU na harakati za kupigania uhuru

Status
Not open for further replies.
SOA: Samahani ndugu yangu. Hayo maneno niliyosema ni maneno ya Kiswahili ambayo kwa hakika ndiyo khasa lugha yangu kwa zaidi maana mimi sijui "vernecular" moja ya misiba ya kuzaliwa na kukulia mjini. Hakika vikao vya kahawa ni mjoa wa utamaduni wetu sisi watu wa pwani ila katika viako hivyo hapana lugha chafu. Hili ningependa ulielewe. Ikiwa misemo hiyo umehisi ni kinyume cha uungwana nakutaka radhi sana ndugu yangu. Ama hili la kazi yangu kueleza kuwa zimechapwa na wachapaji maarufu nia ni kuwaridhisha wanaonisoma wanichukulie kwa uzito unaostahili wasiipuuze haya nisemayo. Kuhusu lugha ya Kiingereza uliposema nahitaji ujuzi wa lugha nyingine mimi sikimudu sana kwa hiyo naogopa kujitia katika ujuzi nisioumudu. Mtume wetu (SAW) katufunza anasema: "Arehemewe yule anaejua mwisho wa uwezo wake."
 
SOA: Samahani ndugu yangu. Hayo maneno niliyosema ni maneno ya Kiswahili ambayo kwa hakika ndiyo khasa lugha yangu kwa zaidi maana mimi sijui "vernecular" moja ya misiba ya kuzaliwa na kukulia mjini. Hakika vikao vya kahawa ni mjoa wa utamaduni wetu sisi watu wa pwani ila katika viako hivyo hapana lugha chafu. Hili ningependa ulielewe. Ikiwa misemo hiyo umehisi ni kinyume cha uungwana nakutaka radhi sana ndugu yangu. Ama hili la kazi yangu kueleza kuwa zimechapwa na wachapaji maarufu nia ni kuwaridhisha wanaonisoma wanichukulie kwa uzito unaostahili wasiipuuze haya nisemayo. Kuhusu lugha ya Kiingereza uliposema nahitaji ujuzi wa lugha nyingine mimi sikimudu sana kwa hiyo naogopa kujitia katika ujuzi nisioumudu. Mtume wetu (SAW) katufunza anasema: "Arehemewe yule anaejua mwisho wa uwezo wake."
you got me wrong i meant unatumia ujuzi wako wa kukikoroga kiswahili-kuride the waves-i never meant hujui lugha. THERE you go again,dharau zinaendelea,sasa wadai hujui kingereza
 
This is one side of coin, can you allow us to find other side facts of the coins?
All in all this is lies story and there is no need of research to prove it.
You aim is to divide Tanzanian in term of religiousms,things which I dont even want to hear aout.
We Tanzanian loves each other regadless our religions, How come now such a full person come and rise
such a issues ? Your a first enemy of Tanzania.
We Tanzania we need PEACE and LOVE .
In Name of JESUS and ALAH.
 
all in all,hii thread imetufundisha mengi sana,particular historia nyingi ya nchi yetu-mimi for one,nimekulia mtaa wa KIWANUKA,but alas poor me,hii thread ndio imenistua how my street got its name!!!!!!!!!!!!!
 
Nenga: Ahsante kwa mchango wako. Hizo zote ni fikra lakini nia yangu ni kuandika na kuihifadhi historia ya wazee wangu kamwe haiwezi kuwa nia yangu ni kuchonganisha watu.
 
SOA: Unajua kuna jambo hapa. Kweli mie si mjuzi wa lugha hiyo kwa hivyo ninadonoadoa tu ingawa kwa kweli nakipenda.
 
SOA: Usifanye haraka kuniuliza mimi. Kitabu kiko nchini hivi karibuni kitakuwa madukani Dar es Salaam kwa hivi sasa kipo Masomo Bookshop Zanzibar utasoma mwenyewe.
 
Kinachosikitisha katika mada hii ni walalamikaji wakina Mohamed Said wakiulizwa nini kifanyike ili kurekebisha hali ambayo wanalalamikia wanapata kigugumizi. Nyerere alitaifisha shule na huduma zote, bado wanaona haitoshi. Nyerere akampisha muislamu kumpokea, bado wanaona haitoshi. Mkapa akawapa Chuo Kikuu, bado wanaona haitoshi. Kikwete ameteua waislamu wengi kushika nafasi za juu, bado wanaona haitoshi. Tukiwauliza, nini basi kifanyike, wanaenda ku-copy na paste, malalamiko yao kuhusu Marehemu Julius Kambarage Nyerere! Msimamo wao huo ndio unaonifanya kuona kuwa kusudi lao kubwa ni kuamsha hisia za chuki, hasira na kinyongo ndani ya jamii ya kiislamu dhidi ya hao wanaowa-label oppressers wa kikristu. Kwa vile hamna kitu constructive wanachotaka kusema basi naamini kuwa lengo lao la kuamsha hisia hizi ni kuleta mapambano baina ya jamii hizi. Hiki kwangu mimi ni kitu cha hatari sana.Pamoja na Mohamed Said kujivisha joho la ustaarabu, hana tofauti na acolyte wake aliyejaa chuki AMI. Wote hawalitakii taifa letu wema.

Amandla......
 
Kinachosikitisha katika mada hii ni walalamikaji wakina Mohamed Said wakiulizwa nini kifanyike ili kurekebisha hali ambayo wanalalamikia wanapata kigugumizi. Nyerere alitaifisha shule na huduma zote, bado wanaona haitoshi. Nyerere akampisha muislamu kumpokea, bado wanaona haitoshi. Mkapa akawapa Chuo Kikuu, bado wanaona haitoshi. Kikwete ameteua waislamu wengi kushika nafasi za juu, bado wanaona haitoshi. Tukiwauliza, nini basi kifanyike, wanaenda ku-copy na paste, malalamiko yao kuhusu Marehemu Julius Kambarage Nyerere! Msimamo wao huo ndio unaonifanya kuona kuwa kusudi lao kubwa ni kuamsha hisia za chuki, hasira na kinyongo ndani ya jamii ya kiislamu dhidi ya hao wanaowa-label oppressers wa kikristu. Kwa vile hamna kitu constructive wanachotaka kusema basi naamini kuwa lengo lao la kuamsha hisia hizi ni kuleta mapambano baina ya jamii hizi. Hiki kwangu mimi ni kitu cha hatari sana.Pamoja na Mohamed Said kujivisha joho la ustaarabu, hana tofauti na acolyte wake aliyejaa chuki AMI. Wote hawalitakii taifa letu wema.

Amandla......

Na hilo ndilo jambo ambalo nilimuuliza Mkuu Mohamed Said.....................kwamba atueleze anataka nini kifanyike............akanijibu kuwa nisome posts za nyuma i.e. alizo-copy na ku-paste toka kwenye kitabu chake ndio nitapata majibu.............well kw akifupi nilichokipata ni kuwa nasema kuna watu muhimu kwneye historia ya ukombozi wa nchi yetu wamesahaulika wka sababu ya hila za JKN kutaka yeye ndio awe mwanzo wa historia..........................
Mtu/Watu wanamuuliza inakuwa mtu mwenye akili zake aamini kuwa.....eti JKN alitaka historia ya ukombozi wa Tanganyika ijulikane kuwa ilianza na yeye JKN.........kisa eti kitabu kilichoandikwa na KIVUKONI................my opinion ni kwamba..........only FOOLS will believe ukombozi wa Tanganyika ulianza na JKN..................

Nikamwambia................hakuna ubaya na wala si ajabu kwa mwandishi yeyote (yeye mmojawapo) kurekebisha historia kwa kuleta facts zaidi............however approach yake kutumia dini ndio inaleta mushkeri......................KILA JAMII YA NDANI YA TANZANIA/TANGANYIKA kwa namna moja au nyingine ilihusika kwenye ukombozi wa Tanganyika toka kwa mkoloni..................bila kujali dini/kabila/rangi/jinsia

Mkuu Mohamed Said...........once again in brief..............sema unataka kitu gani hasa................
 
Ogah,Fundi Mchundo,Mohamed Said,

..pia kuna kamtandao ku-revisit historia ya Zanzibar.

..hoja kubwa ni kuutakasa utawala wa Sultani na serikali ya kibaguzi iliyochukua madaraka toka kwa Muingereza.

..pia zinafanyika juhudi kubwa za kuonyesha kwamba Mapinduzi ya Zanzibar were nothing but vita dhidi ya Uislamu.

..hoja nyingine kujenga picha kwamba Sultani ilijenga a tolerant multiracial society. lakini kwao "multiracial" ni pale tu mwanaume anapokuwa mwarabu na mwanamke mweusi. wanamapinduzi wenye rangi ya mpingo na nywele kipilipili wanaonekana kama ni wavamizi tu.

..wasiwasi wangu hapa ni kwamba, Waafrika, once again, wanakuwa manipulated na watu wa nje. unanishangaza mwafrika anapoona yuko karibu zaidi na watu wa mabara mengine kuliko Waafrika wenzake. Mwafrika anakuwa na uchungu na anapandwa jazba na migogoro ya mataifa mengine lakini anaridhika na ujinga,umasikini,na maradhi, yaliyoizunguka jamii yake.
 
Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vyingi Tanzania nilibahatika kufuatana na mgombea urais wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba katika kampeni za uchaguzi[/B] katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Prof. Lipumba alifanya mkutano mkubwa sana Tangamano kiasi cha kuishtua CCM. Baada ya mkutano ule Prof. Lipumba na ujumbe wake walialikwa nyumbani kwa mama mmoja akijulikana kama Mama Ummie (sasa ni marehemu) ambako walifanyiwa dhifa kubwa. Kote tukipita mitaa ya Tanga msafara wetu ulikuwa ukishangiliwa kwa nguvu sana. CUF ilikuwa imeingia Tanga kwa kishindo kikubwa.
[/B]

Mimi kazi yangu ilikuwa kuangalia niliyokuwanayaona na kupiga picha. Kwa hakika nilikuwa nikishuhudia historia ikijiandika. Historia ambayo ilikuwa imeshahibiana sana na ile ya wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika katika miaka 1950.
17 Ramadhani 1431
28 August 2010



Lile joka tunalolihisi ndo taratibu linatoka kwenye pango lake, Wengi tumekuwa tukijiuliza maana ya maandishi haya ya huyu Mohammed Said, sasa tunaona muelekeo wake wa udini ulipotokea.
Ni jamaa wa mapanga shaa shaa hawa, CUF.
Si dhambi kuwa CUF lakini ni dhambi kwa CUF kuvaa uso wa udini na ndio maana pamoja na jitihada zote CUF hawaoni ndani huku bara.
Sasa inavyoelekea , kwa matamshi yake Mohammed Said , huu mkakati wa vitabu vya uongo utahubiriwa sana misikitini na sehemu za mihadhara.
Angekuwepo Nyerere Mohommed Said and co wangekula bakora za fito za mipera hawa kwa jitihada hizi za kutifua amani ta waTanzania.
Sasa Mohammed Said naanza kukuelewa kuwa mada zako zimepata baraka za CUF toka 1995.Kazi uliyopewa na CUF sasa iko wazi,maana 1995 ulikuwa mpiga picha, leo umepangiwa kazi nyingine.
Lakini wewe na wahifidina wenzio wa udini hamuoni ndani.
 
Ogah,Fundi Mchundo,Mohamed Said,

..pia kuna kamtandao ku-revisit historia ya Zanzibar.

..hoja kubwa ni kuutakasa utawala wa Sultani na serikali ya kibaguzi iliyochukua madaraka toka kwa Muingereza.

..pia zinafanyika juhudi kubwa za kuonyesha kwamba Mapinduzi ya Zanzibar were nothing but vita dhidi ya Uislamu.

..hoja nyingine kujenga picha kwamba Sultani ilijenga a tolerant multiracial society. lakini kwao "multiracial" ni pale tu mwanaume anapokuwa mwarabu na mwanamke mweusi. wanamapinduzi wenye rangi ya mpingo na nywele kipilipili wanaonekana kama ni wavamizi tu.

..wasiwasi wangu hapa ni kwamba, Waafrika, once again, wanakuwa manipulated na watu wa nje. unanishangaza mwafrika anapoona yuko karibu zaidi na watu wa mabara mengine kuliko Waafrika wenzake. Mwafrika anakuwa na uchungu na anapandwa jazba na migogoro ya mataifa mengine lakini anaridhika na ujinga,umasikini,na maradhi, yaliyoizunguka jamii yake.

Mkuu, kuna mahali nimebishana na hao wanaojiita wazalendo wa kizanzibari na maswahiba wao ambao walkuwa wakikana kuhusika kwa waarabu katika biashara ya utumwa! Kuna wengine walifikia hatua ya kudai kuwa lile kanisa la kianglikana, mji mkongwe ni ushahidi kuwa biashara hiyo ilifanywa na wazungu na sio waarabu!

Amandla.........
 
Kinachosikitisha katika mada hii ni walalamikaji wakina Mohamed Said wakiulizwa nini kifanyike ili kurekebisha hali ambayo wanalalamikia wanapata kigugumizi. Nyerere alitaifisha shule na huduma zote, bado wanaona haitoshi. Nyerere akampisha muislamu kumpokea, bado wanaona haitoshi. Mkapa akawapa Chuo Kikuu, bado wanaona haitoshi. Kikwete ameteua waislamu wengi kushika nafasi za juu, bado wanaona haitoshi. Tukiwauliza, nini basi kifanyike, wanaenda ku-copy na paste, malalamiko yao kuhusu Marehemu Julius Kambarage Nyerere! Msimamo wao huo ndio unaonifanya kuona kuwa kusudi lao kubwa ni kuamsha hisia za chuki, hasira na kinyongo ndani ya jamii ya kiislamu dhidi ya hao wanaowa-label oppressers wa kikristu. Kwa vile hamna kitu constructive wanachotaka kusema basi naamini kuwa lengo lao la kuamsha hisia hizi ni kuleta mapambano baina ya jamii hizi. Hiki kwangu mimi ni kitu cha hatari sana.Pamoja na Mohamed Said kujivisha joho la ustaarabu, hana tofauti na acolyte wake aliyejaa chuki AMI. Wote hawalitakii taifa letu wema.

Amandla......

Thanks FM, tatizo lao kubwa ni kushindwa kumsilimisha Mwalimu na kuitangaza Tanganyika kuwa nchi ya kiislamu.
Tumewaambia again and again kwamba Mwalimu alikuwa na upeo wa hali ya juu sana kuwashinda hao anowaita kuwa waislamu waliomkaribisha TAA/TANU , na hata wengine wengi waliotaka kupindisha maono yake Mwalimu ya kujenga umoja.
Tatizo mtu ukiwa na upeo mdogo wa namna ya kuleta maendeleo in a multi-racial, multi-religous society na hata multi-tribal , basi unaishia na mada ambazo ni self defating kama za huyu mwenzetu Mohammed Said and co.
Hizi porojo za mwenzetu ziishie vikao vya CUF na katika misikiti ya watu wasiolewa misingi ya umoja wa Tanzania.
 
Fundi Mchundo said:
Mkuu, kuna mahali nimebishana na hao wanaojiita wazalendo wa kizanzibari na maswahiba wao ambao walkuwa wakikama kuhusika kwa waarabu katika biashara ya utumwa! Kuna wengine walifikia hatua ya kudai kuwa lile kanisa la kianglikana, mji mkongwe ni ushahidi kuwa biashara hiyo ilifanywa na wazungu na sio waarabu!

Amandla.........

Fundi Mchundo,

..ulikuwa ukibishana nao wapi? kule Zanzinet huwezi kujiunga bila kuwa Mzanzibari. sasa ubaguzi hata zama hizi za information age.

..ukweli utabaki palepale kwamba Muarabu ndiyo alikuwa mshiriki mkubwa ktk kukamata watumwa eneo la Afrika Mashariki.

..jambo lingine wanalodai ni kwamba, Zanzibar kabla ya Sultani ilikuwa ni no mans land. kwamba Sultani iliingia pale akapaendeleza, kwa hiyo ngozi nyeusi au mtu wa bara hana haki ya namna yoyote juu ya Zanzibar.

..sasa hapa ndiyo unaona kuna mtandao wa hawa wa-Zenj wapinga Mapinduzi,Mohamed Said etc, kwa hiyo lazima uelewe dynamics zake.
 
Fundi Mchundo,

..ulikuwa ukibishana nao wapi? kule Zanzinet huwezi kujiunga bila kuwa Mzanzibari. sasa ubaguzi hata zama hizi za information age.

..ukweli utabaki palepale kwamba Muarabu ndiyo alikuwa mshiriki mkubwa ktk kukamata watumwa eneo la Afrika Mashariki.

..jambo lingine wanalodai ni kwamba, Zanzibar kabla ya Sultani ilikuwa ni no mans land. kwamba Sultani iliingia pale akapaendeleza, kwa hiyo ngozi nyeusi au mtu wa bara hana haki ya namna yoyote juu ya Zanzibar.

..sasa hapa ndiyo unaona kuna mtandao wa hawa wa-Zenj wapinga Mapinduzi,Mohamed Said etc, kwa hiyo lazima uelewe dynamics zake.

Humu humu kwenye jukwaa hili, Mkuu.

Amandla.......
 
Kuna mahali Mohammed Said anasema Nyerere alimwambia juu ya kitabu chake "no one will believe you." Inaonekana Mohammed is sailing against Nyerere's prophesy, kwa sababu mengi katika themes zake hayaaminiki.
 
Ogah,Fundi Mchundo,Mohamed Said,

..pia kuna kamtandao ku-revisit historia ya Zanzibar.

..hoja kubwa ni kuutakasa utawala wa Sultani na serikali ya kibaguzi iliyochukua madaraka toka kwa Muingereza.

..pia zinafanyika juhudi kubwa za kuonyesha kwamba Mapinduzi ya Zanzibar were nothing but vita dhidi ya Uislamu.

..hoja nyingine kujenga picha kwamba Sultani ilijenga a tolerant multiracial society. lakini kwao "multiracial" ni pale tu mwanaume anapokuwa mwarabu na mwanamke mweusi. wanamapinduzi wenye rangi ya mpingo na nywele kipilipili wanaonekana kama ni wavamizi tu.

..wasiwasi wangu hapa ni kwamba, Waafrika, once again, wanakuwa manipulated na watu wa nje. unanishangaza mwafrika anapoona yuko karibu zaidi na watu wa mabara mengine kuliko Waafrika wenzake. Mwafrika anakuwa na uchungu na anapandwa jazba na migogoro ya mataifa mengine lakini anaridhika na ujinga,umasikini,na maradhi, yaliyoizunguka jamii yake.

Jokakuu naona wataka kubadili Mjadala kijanja...hapa Tunajadili Tanganyika...nachelea kukujibu hoja zako kwani tutakuwa tunakwenda Nje ya Mada. Waache wazanzibar wajadili Zanzibar yao, sisi Watanganyika tujadili tanganyika yetu.
 
Kuna mahali Mohammed Said anasema Nyerere alimwambia juu ya kitabu chake "no one will believe you." Inaonekana Mohammed is sailing against Nyerere's prophesy, kwa sababu mengi katika themes zake hayaaminiki.
..sio kwamba Hayaaminiki, ni kuwa hamjawahi kusikia ambayo Mohammed Said ameeleza. Tulichojifunza ktk Historia tangu Msingi hadi University ni hayo ya Nyerere, anapokuja Mtafiti kama Mohammed Said ni vigumu watu kama kumuelewa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom