Ukweli kuhusu waasisi wa TANU na harakati za kupigania uhuru

Ukweli kuhusu waasisi wa TANU na harakati za kupigania uhuru

Status
Not open for further replies.
Sasa Nyerere anaingiaje katika grants za serikali ya uingereza? Tunachosema ni kuwa Nyerere alikuta mfumo wa elimu ambao ulikuwa hautoi mwanya kwa watanzania wote, akaamua kutaifisha shule zote na kufungua milango kwa watoto wote. Alifanya hivyo kuanzia shule za msingi, za sekondari, vyuo na mahospitali. Shule ya sekondari ya Rugambwa ilikuwa ya askofu wa kikatoliki lakini ikawa ya umma, Shule ya Sekondari ya Ndanda ilikuwa ya kikatoliki ikawa ya serikali, shule zote za Aghakhan zilikuwa za wahindi zikawa za umma watoto wote wakawa na fursa sawa. Hospitali ya Bugando ilikuwa ilikuwa ya wakatoliki lakini nayo ikafanywa ya umma kusudi watanzania wote wahudumiwe sawa. Chuo cha Nyegezi kilikuwa cha kikatoliki, kikageuzwa kuwa cha umma na watoto wote wakapewa fursa sawa. Sana sana unachoweza kulaumu ni kuwa kwa kuzitafisha shule hizo serikali ilizirudisha nyuma sana, lakini ilikuwa nia njema kuwa watoto wote wasome. Kila siku Nyerere anasemwa mtu alishaondoka madarakani miaka 25 iliyopita, na katikati kumekuwa na maraisi waisilamu wawili, makamu wa rais waislamu wengi tu kwani wao haoni kama kweli serikali inabagua waislamu.

Mpuuzi huyu, wala usijisumbue kujibishana nae. Roland Oliver aliandika kitabu kilichoitwa The Missionary Factor in East Africa mwaka 1952. Hiyo edition ya 1970, sijui ameitowa wapi! Anamzungumzia mtu anayeitwa Dodd bila kutaja jina la kitabu na nani ali-publish hicho kitabu. Ni yale yale ya kuchanganya mambo bila kuelewa na kutaka kupandikiza chuki.

Amandla........
 
FM: Usighadhibike lugha kali zitatuharibia mjadala. Mpe jibu tu kisomi itamtosha. Kitabu cha Dodd nadhani nimekipitia sikumbuki vyema citation yake lakini ni kitu kama The Islamis Factor in Uganda. Insha Allah nitajaribu kupitia maktaba yangu kuangalia. Nikipata nitakiweka hapa kwa faida ya wanaukumbi.
 
FM: Usighadhibike lugha kali zitatuharibia mjadala. Mpe jibu tu kisomi itamtosha. Kitabu cha Dodd nadhani nimekipitia sikumbuki vyema citation yake lakini ni kitu kama The Islamis Factor in Uganda. Insha Allah nitajaribu kupitia maktaba yangu kuangalia. Nikipata nitakiweka hapa kwa faida ya wanaukumbi.

Si kughadhabika. Mpuuzi hana jina lingine bali mpuuzi.

Amandla......
 
FM na Wanaukumbi tumlaani shetani sisi ndiyo "great thinkers" sasa tuendelee na mjadala. Naweka hapa chini kipande cha paper niliwasilisha siku za nyuma kuhusu elimu:

The ‘Madras' and Muslim Initiative in Establishing Educational Institutions

It is a misnomer to classify education into compartment such as 'Islamic education,' or ‘ilm dunia' and ‘ilm akhera.' Muslims are required to pursue education in its totality. In Islam education is ‘fardh'. Probably the problem encountered by the uninitiated is the correct meaning of education. Ahmad ibn Naqib Al Misri in his book Umdat al salik, Dubai (1991), has given the correct meaning of education in an Islamic perspective. In short he has stated that there is no way one could profess to be a Muslim and at the same time profess ignorance. Islam and ignorance, the two paradigms are mutually incompatible. To be a Muslim the prerequisite is to be knowledgeable.

Since Islam was compatible to knowledge it was difficult in areas where Islam was established to encounter illiteracy. In Tanganyika the predominant Muslim ethnic groupings are the Manyema, Digo and Rufiji. These are the tribes which the missionaries failed completely to baptise. It is from these areas and from the ‘madras' that the country produced its best Muslim scholars and poets. Poetry reflects the philosophy and intellect of society as well as personal emotions of the composers. It is not possible to compose poetry in absence of the ability to scribe. Literacy levels in these areas were very high both among men and women. It is interesting to note that most of the poets of that time had also excellent religious knowledge. The ‘madras' system of education is easy to institutionalise because it does not depend on expensive built structures. An important precondition for a ‘madras' is the ‘maalim' and students willing to study. In this way an ‘ulamaa' was in himself a walking school.

Missionaries became envious of the level of civilisation and literacy advancement achieved by Muslims through the Arabic script taught in the ‘madras' system of education not only at the coast in Zanzibar, Bagamoyo, Kilwa or Mikindani but also in far way places in the interior, like Usambaa, Tabora Kigoma, Ujiji were Islam was firmly established. Missionaries in collaboration with the colonial government initiated plans to subvert whatever progress Muslims had made. The first step taken by the British when they took over the country from Germany after the First World War was to abrogate the Arabic script, which was in use for many years in favour of the Roman script. By a mere stroke of a pen people who were educated were overnight reduced to illiterates. These instant, British and missionaries made illiterates were the poets of yesterday and the ‘ulamaa' who had intellectually held their own against missionaries defeating them in debates with ease. The vacuum created by the abrogation of Muslim education system was filled with missionary education with the British colonial government as the overseer. Knowledge was now disseminated from the class room with missionaries as teachers instead of the ‘maalim' in the ‘madras'. Tanganyika was now open for evangelisation.

The Church had now a free hand to provide education with the support of the colonial government. The Church in Tanzania is a government within a government. But this is beyond the scope of this paper. However it is very difficult to present any paper on Islam in Tanzania without mentioning the influence of the Catholic Church on the political system. Insha Allah we will touch upon that as we discuss other issues. The Catholic Church, which is the most influential, is the most dominant. White Fathers were and still are in Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza and Bukoba; Holy Ghost Fathers - Morogoro and Kilimanjaro; Benedictine Fathers - Peramiho and Ndanda; Capuchin Fathers - Dar es Salaam; Consolata Fathers - Iringa and in Meru; Passionist Fathers - Dodoma; Pallotine Fathers - Mbulu; Maryknoll Fathers - Musoma; and Rosmillian Fathers - Iringa.

Colonial education in Tanzania was characterised by a three tier - system, European, Asian and African. European schools being the best in terms of the quality of education imparted followed by Asian and African occupying the lower strata that is with inferior quality of education in terms of teaching staff, equipment, financing, etc. Where as missionary schools were being provided with assistance by the government known as grant-in-aid, this privilege was denied to Muslim schools. Due to this privilege mission schools were well equipped and could afford well-trained teachers. It was therefore impossible for schools run by Muslims to compete with missionary schools. But within this discriminatory system there was a fourth system which was reserved for Muslims. Missionaries in collaboration with the British made conceited effort to subvert Muslims from acquisition of higher education.

Muslims had to adapt to the new changes. Realising the importance of education and being aware of the danger, which was facing them, Muslims initiated their own schools. In 1933 the Muslim leadership in the African Association (formed in 1929 mostly by Muslims) formed the Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association). Soon after its formation the Al Jamiatul Islamiyya leadership with the help of the Aga Khan built the first Muslim school in Dar es Salaam. After the formation of the East Africa Muslim Welfare Society (EAMWS) with the Aga Khan as the Patron, Muslims under the EAMWS built many schools throughout Tanganyika. These came to be known as Muslim schools. The Church provided education for a specific purpose. It educated Christians to assume administrative positions in the colonial government. I have discussed the Muslim plight in education in Zanzibar. To avoid repetition I will conclude by the facts which I made then, and that is, the Christian dominated government in Tanzania even after independence has consistently subverted efforts by Muslims to develop educational institutions. The following are but few examples:

a. The government has refused to redress the imbalance in education between Muslims and Christians contrary to the promises it made at independence.

b. In 1968 the EAMWS was declared by the government as an 'unlawful society' because it was building and was planning to establish a Muslim University.

c. In 1980's the Organisation of Islamic Conference (OIC) was refused permission by the government to build a Muslim University in Tanzania and as a result the university was built in Mbale, Uganda.

d. In mid 1990s Darul Iman from Saudi Arabia was refused permission by the government to build a technical secondary school in the Coast Region, Mainland.

e. In 1993 the government signed an agreement (Memorandum of Understanding) with the Tanzania Episcopal Conference (TEC) and the Christian Council of Tanzania (TCC). The agreement provided that the government with the two Christian institutions would jointly provide education and other social services. The agreement rendered that it would allocate funds each year to the Church to implement the agreement. Muslims were not consulted nor included in the agreement and their petition to the government was ignored.

f. There is evidence that the Ministry of Education is discriminating against Muslim youths barring them from higher institutions of learning and also frustrating career advancement of Muslims functionaries in the ministry.

This negative attitude shown by the government has given Christians undue advantage over Muslims. In his book Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania which was banned by the government, Dr. Hamza Njozi's has further evidence:

…Arabia (May, 1985) wrote under the heading "A Closed Door to the Corridors of Power": ‘The majority of pupils in Tanzanian primary schools are Muslim (80 percent), a percentage which dwindles to 15-20 percent in secondary schools, sinking to a mere five percent at University level'. Almost fifteen years later, on 2 February, 1999 the Member of Parliament for Kigamboni Hon. Kitwana Kondo told the parliament that out of every 100 students who sat for the standard seven examination in Dar es Salaam in the year 1998, 71 were Muslim and 29 Christian. But out of every 100 students selected to join government secondary schools only 21 were Muslim while 79 were Christian. The MP wanted to know whether Muslim children were inherently dull (An-Nuur, February 5-11, 1999).

The examples I have given and those provided by Njozi have proved the fact that Muslims have not been able to establish educational institutions because the Church which controls the government subverts their efforts since Muslims are perceived as "enemies." To date not the government or the Church has made any comment to deny these allegations. Muslims have always taken the authorities on an intellectual plane arguing their case on facts and figures trying to avoid confrontation hoping the government would see sense and hence redress the balance to avoid inevitable future conflicts.
 
Uwe na msimamo. Hauwezi kusema kuwa wakina Msabaha, Karamagi na Idrissa kilichowaponza ni mistakes zao halafu ukageuka hapo hapo na kudai kanisa ndiyo lililowatoa! Huo ndio undumila kuwili tusikopenda. Bahati mbaya ni mtazamo kama huo ndio uliotawala mada hii.

Amandla.......
tafuta mchango wangu hapa JF unaonesha kuwatetea hao jamaa?
 
Chuma,
Mbona unapenda uongo? Au kwa vile mwezi mtukufu umaishapita? Hakuna taasisi inayoitwa kanisa. Sema chuo kimepewa kanisa fulani na sasa hivi kinaitwa jina hili!

Huyo mtu wa Nyerere ni nani? Mbona unashindwa kumtaja?

Nitajie sheria ambayo inamzuia muislamu kufanya mhadhara, kupita majumbani na barabarani kuuza Quran. Mbona watu wanachukia na kuwalalamikia Mashahidi wa Jehovah bila kuonekana kama wanachukia ukristu? Siku za mechi kati ya Simba na Yanga, nasikia ukikosea upande wa kukaa utapata taabu sana. Kwa hali hiyo basi hao wapenzi wa mpira watakuwa na haki ya kusema serikali haiwapendi? Nchi yetu ina watu wenye imani tofauti ambao si wote wanafurahia vitendo vya wenye dini tofauti na hata wenye imani kama yao ( kuna wamisheni ambaoi wanaona maombi ya walokole kuwa kero) lakini hii haina maana kuwa serikali inazikandamiza.

Hivi Al Muntazir na Feza ni shule za Bakwata? Niambie kifungu kipi cha sheria kinachosema kuwa taasisi zote za kiislamu ni lazima zipitie Bakwata.

Mbona mashahidi wa Yehova walipigwa marufuku kuhubiri nchini kwa muda mrefu tu? Nao ni waislamu?

Mgeni yeyote anayeonekana nia yake ni kuvuruga amani iliyopo anastahili kufukuzwa bila kujali dini yake.

Misaada ipi ya kiislamu iliyokuwa blocked?

Hapa hakuna mahali ulipoonyesha kuwa waislamu wananyimwa haki zao. Jaribu tena.

Amandla......

1. FM nimesema Kanisa ndio imepewa. kama wataka Jina rasmi ni ELCT...nafikiri ungeleta Hoja zaid kuliko kuuliza Kanisa gani wakati unajua Taasis gani ya Kanisa imepewa. so far hata kama Waislam kule Morogoro hawakupewa waislam wote imepewa Taasis ya Kiislam ya MDF. Please Jenga Hoja. Sisemi uwongo kaka, na kama sina points za Kuchangia huwa nakaa kimya.

2. Huyo mtu wa Nyerere nawaachia watafiti wa historia. Unaweza watafuta Pro. Nyerere akina Ulimwengu wakusaiidie.

3. FM...nafikiri naona huwa unakosa attentions wakati mwingine...Mie sikasiriki Mkristo kufanya mahubiri yake, wamekuwa wanafanya mara kibao mashuleni kwa kutumia majengo ya shule za msingi na Sekondari karibu nchi nzima. hakuna kelele ya Mwislam. kelele zimeanza baada ya waislam kuanza kufanya mihadhara kwa mkadai Mihadhara ya kashfa....kwa mtu kusema Yesu si Mungu ...akafikishwa mahakamani...na Kufungwa...mara kibao Wahadhiri wa Kiislam wamekamatwa. na karibu kila Mkoa kuna alau kesi moja ya Mihadhara ya Waislam...Wamepigwa mabomu, Vifaa vyao wa Mihadhara kuchukuliwa...unakuitaje huku? au hii ni Haki?..Hivi Muislam Kufikishwa Mahakamani kwa kusema Yesu si Mungu ni HAKI?...
Kesi ya Mwembechai...!!! au hapo Serikali haijaingia?

4. FM acha Majungu...Hivi nia unawezaje kuiona?....Mgeni gani ambaye amefanya mihadhara ya Kiislam ya Kuvunja AMANi?.....Shekh Ibrahim Bosha aliondoshwa nchini kwa kufanya yapi ya Hatari?... Shekh Ahmed Deedat aliondoshwa kwa nini?......Wapo wengi unaweza fanya utafiti...!!!

5. Hii ya Misaada nakuachia ufanye utafiti huko BOT....nakupa moja tu, Accounts za Shule ya Kiislam ya Alfarouq ni moja wa waathirika wa Hili, Shule ya Alfurqan nao ni waathirika wa Hili...!!!

Mwenzangu umevaa Miwani ya Mbao, HAKI Utaionaje?
 
Mpuuzi huyu, wala usijisumbue kujibishana nae. Roland Oliver aliandika kitabu kilichoitwa The Missionary Factor in East Africa mwaka 1952. Hiyo edition ya 1970, sijui ameitowa wapi! Anamzungumzia mtu anayeitwa Dodd bila kutaja jina la kitabu na nani ali-publish hicho kitabu. Ni yale yale ya kuchanganya mambo bila kuelewa na kutaka kupandikiza chuki.

Amandla........
Katika mabishano na mijadala ukimuona mtu anavurumisha matusi na kurusha mawe ni dalili ya kuishiwa na hoja na hapo huwa ni dalili ya mwisho wa mjadala.Mfano tunao kwa huyu Fundi.
We ukoje?.Kitabu kuandikwa mwaka 1952 kwani huwa ndio mwisho.Hicho kitabu kimerudiwa kuchapwa mara kadhaa na makampuni mbali mbali.Mimi nilichokitaja ni chapa ya 1970

The Missionary factor in East Africa
Author:Roland Anthony Oliver
Publisher:London : Longman, 1970
................................................................................................................
Mohammed,najitayarisha kushiriki mjadala wa Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano wa Tanzania.Fundi Mchundo na wenzake huko hawatoweza kufika hata raundi ya 5.
 
AMI: Kwa hakika hivi ndivyo ilivyotaka kuwa. Ilikuwa kuuliza tu hiyo rejea ya kitabu ni chapisho la lini? Jibu ndiyo kama hilo ulotowa na mjadala ungeendelea kistaarabu. Hata hivyo silaumu sana ujana pia huchangia katika mengi maana damu ya vijana inachemka na haina sumile tofauti na watu wazima. Nachukulia kuwa FM bado ni kijana utu uzima haujamnyemelea.

Mjadala wa mapinduzi wa Zanzibar Insha Allah tutaufanya na itakuwa bora sana kwa wanaukumbi wakasoma kwanza kitabu "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru." Fungua dimba yake nimewawekeeni humu mpate hamu ya kukisoma kitabu.
 
Uongo wa Chuma " Katiba inataka Urais Ubadilishanwe kati ya Bara na visiwani ndiyo maana Nyerere hakuwa na Namna" Chuma ameulizwa katiba gani ameingia mtini sasa jamani tuendelee kumuamini?

Uongo wa Mohamed Said
" Namba za mitihani zilianza kutumika kuanzia 1987 baada ya Malima kuwa Waziri" Watu waliofanya mitihani miaka ya Sabini wamemthibishia kwamba walitumia mitihani na siyo majina yeye bado anaendela kubisha, Je Wanajamvi does it worth kuendelea kujadiliana na mtu anaongea na kuandika uongo peupe?
 
Uongo wa Chuma " Katiba inataka Urais Ubadilishanwe kati ya Bara na visiwani ndiyo maana Nyerere hakuwa na Namna" Chuma ameulizwa katiba gani ameingia mtini sasa jamani tuendelee kumuamini?

Uongo wa Mohamed Said
" Namba za mitihani zilianza kutumika kuanzia 1987 baada ya Malima kuwa Waziri" Watu waliofanya mitihani miaka ya Sabini wamemthibishia kwamba walitumia mitihani na siyo majina yeye bado anaendela kubisha, Je Wanajamvi does it worth kuendelea kujadiliana na mtu anaongea na kuandika uongo peupe?
Endelea kufuata Upepo ....
Hoja ya katiba nilishasema..ila umeamua kujiongezea posts.

Kuhusu Issue ya Mohammed Said na Malima....Watu walikuwa wanatumia numbers lkn mchezo uliokuwa unafanyika ktk decoding ya numbers kurudi ktk majina wakati wa Usahihishaji na Selections.....Alichofanya marhum malima ni kusisitiza zoezi lote la Usahihishaji na Selection lifanyike thru numbers...decoding ifanyike mwisho wa selection ishafanyika na Matokea yashatangazwa...

Si hivyo tu...Kun baadhi ya wasahihishaji wamecrame hadi Code za mashule... jambo ambalo wakati usahihishaji wanajua mda huu tunasahihisha shule fulani....!!! hili la mashule hadi sasa linafanyika.....!!! Japo baadhi ya supervisors wanajitahidi kufuatilia baada ya Malalamiko kutumwa.

Pia alichoongeza marhum Malima ni System za Shule moja kuwa na Shift 2. asubuhi na Jioni...ambao Hadi sasa upo...Hili liliongeza numbers ya wanaochaguliwa sekondari including wasichana wanaojiunga na shule za sekondari ambao awali selection yao ikuwa ndogo.
 
1. FM nimesema Kanisa ndio imepewa. kama wataka Jina rasmi ni ELCT...nafikiri ungeleta Hoja zaid kuliko kuuliza Kanisa gani wakati unajua Taasis gani ya Kanisa imepewa. so far hata kama Waislam kule Morogoro hawakupewa waislam wote imepewa Taasis ya Kiislam ya MDF. Please Jenga Hoja. Sisemi uwongo kaka, na kama sina points za Kuchangia huwa nakaa kimya.

Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT) wana chuo kinachitwa Iringa University College ikiwa sehemu ya Tumaini University. Kutokana na maelezo yao, chuo hicho kilianzishwa kama seminari 1993. Hiki basi bila shaka hakikurithi majengo ya Chuo cha Benki. Kwa vile ELCT hawana Chuo kingine Iringa basi tuambie hicho walichopewa na serikali sasa kinaitwa nini.

History: Established as a Lutheran Seminary in 1993
Began offering studies in Business Administration in 1995
Initiated a course in Journalism in 1997 and Law in 1998
Accredited in 1998 by the Accreditation Council of the Tanzania Ministry of Science, Technology and Higher Education
Began to award Bachelors Degrees in 1998
Began a Faculty of Education (Mathematics) in 2001
Has grown grown to approximately 500 students since 1994

Facilities:
Modern classroom building built in 1994 served as first classroom space, administrative offices, library, study space, dormitories and chapel. Since January 1999 has been devoted entirely to classroom and assembly space.
Fourteen dormitories are now available on campus.
Administrative and faculty office building is complete including a new faculty seminar room, conference room, computer and internet classroom, and laboratory space.
iringa1.jpg
New modern library was completed in 1999. Built for 100,000 volumes, it currently houses approximately 40,000. The library includes four networked computer laboratories for student classes, Internet, and independent study. More than 170 computers are available on campus.
Fax and e-mail are available.
Water, electricity and telephone service are available on campus. Water for drinking and cooking is treated using a solar pasteurization and purification system.




2. Huyo mtu wa Nyerere nawaachia watafiti wa historia. Unaweza watafuta Pro. Nyerere akina Ulimwengu wakusaiidie.

Hii ni dalili za mtu muongo. Unaogopa nini kumtaja kama kweli alikuwepo. Jasusi amemtaja Salim Ahmed Salim, wewe unaogopa nini?

3. FM...nafikiri naona huwa unakosa attentions wakati mwingine...Mie sikasiriki Mkristo kufanya mahubiri yake, wamekuwa wanafanya mara kibao mashuleni kwa kutumia majengo ya shule za msingi na Sekondari karibu nchi nzima. hakuna kelele ya Mwislam. kelele zimeanza baada ya waislam kuanza kufanya mihadhara kwa mkadai Mihadhara ya kashfa....kwa mtu kusema Yesu si Mungu ...akafikishwa mahakamani...na Kufungwa...mara kibao Wahadhiri wa Kiislam wamekamatwa. na karibu kila Mkoa kuna alau kesi moja ya Mihadhara ya Waislam...Wamepigwa mabomu, Vifaa vyao wa Mihadhara kuchukuliwa...unakuitaje huku? au hii ni Haki?..Hivi Muislam Kufikishwa Mahakamani kwa kusema Yesu si Mungu ni HAKI?...
Kesi ya Mwembechai...!!! au hapo Serikali haijaingia?

Waislamu walipiga makelele sana kuhusu tabia ya baadhi ya wakristu kutumia madarasa ya shule za msingi ( sio sekondari) kama sehemu za kufanyia ibada. Tabia hii ilipigwa marufuku na wizara ya elimu wakati fulani, kitu kilichowafanya wakina Mtikila kuchachamaa.

Wenzetu wana usemi kuwa " mtu kupiga kele za moto katika nyumba iliyojaa". Kuna mahubiri ya kichochezi na ambayo kusudi lake kubwa ni kupandikisha chuki baina ya watu. Mtu kusema Yesu si Mungu, msikitini wakati wa ibada ni tofauti na kushinda usiku kucha ukipiga kelele kwa kutumia vipaza sauti ukisema maneno hayo (Baadhi ya miisikiti ya Kinondoni , Sinza n.k. ilikuwa na mchezo huo). Kufanya hivyo si kuhubiri bali ni provocation. Wakristu wanafanya mikutano ya uamsho kila mara lakini hauwasikii wakishambulia uislamu. Au, Mkuu, unataka wamuige Mchungaji feki Terry Jones ndio uelewe maana ya provocation? Mtu ukisimama hadharani na kusema kuwa mke wa jirani yako ana sura mbaya utaonekana mchokozi hata kama watu wote wanaweza kuona kuwa kweli ana sura mbaya.

Kesi ya Mwembechai inahitaji kuangaliwa kwa undani. Fujo na vitendo vya uchochezi vilianza kabla ya polisi kuuvamia msikiti. Au unataka kutuambia kuwa hali ilikuwa shwari kabla ya serikali kuingia?

FM acha Majungu...Hivi nia unawezaje kuiona?....Mgeni gani ambaye amefanya mihadhara ya Kiislam ya Kuvunja AMANi?.....Shekh Ibrahim Bosha aliondoshwa nchini kwa kufanya yapi ya Hatari?... Shekh Ahmed Deedat aliondoshwa kwa nini?......Wapo wengi unaweza fanya utafiti...!!
!

Unarudia kamchezo kako. Mfanya majungu ni wewe. Usingetaka majungu ungesema wazi kuwa hao ma-shehe waliondoshwa kwa sababu gani. Mimi sijui kila mgeni anayeondoshwa nchini lakini najua ndani yao wako wakristu, waisklamu, wahindu n.k. Kila nchi ina sheria zake ambazo mgeni anatakiwa kuzifuata. Akizivunja, anaondolewa bila kujali dini yake. Au unataka kutuambia kuwa ni waislamu peke yao ambao wanafukuzwa katika nchi yetu?

5. Hii ya Misaada nakuachia ufanye utafiti huko BOT....nakupa moja tu, Accounts za Shule ya Kiislam ya Alfarouq ni moja wa waathirika wa Hili, Shule ya Alfurqan nao ni waathirika wa Hili...!!!

Benki Kuu wanahusika vipi na misaada? Akaunti za shule zinahusika vipi na misaada? Kuna taratibu zinazotakiwa kufuatwa kwa kila taasisi inayopokea misaada. Sasa kama haikufuatwa, mnataka kifanyike nini? Biila kutuambia zaidi kuhusu shule hiyo ( nani mmiliki n.k.) na misaada ipi na kutoka wapi waliyozuiliwa, hiyo misaada ilizuiliwa wapi...... hatuwezi kukuamini.

Amandla......
 
Endelea kufuata Upepo ....
Hoja ya katiba nilishasema..ila umeamua kujiongezea posts.

Umesema nini, kubali kwamba Ulidanganya ili kuipa hoja Nguvu hoja yako

Kuhusu Issue ya Mohammed Said na Malima....Watu walikuwa wanatumia numbers lkn mchezo uliokuwa unafanyika ktk decoding ya numbers kurudi ktk majina wakati wa Usahihishaji na Selections.....Alichofanya marhum malima ni kusisitiza zoezi lote la Usahihishaji na Selection lifanyike thru numbers...decoding ifanyike mwisho wa selection ishafanyika na Matokea yashatangazwa...

Acha kuzunguka hapa Mohamedi kasema kwamba namba zimeanz akutumika baada ya malima kuwa waziri sasa hii story nyingine ya decoding unaileta baada ya kubanwa angle zote

Si hivyo tu...Kun baadhi ya wasahihishaji wamecrame hadi Code za mashule... jambo ambalo wakati usahihishaji wanajua mda huu tunasahihisha shule fulani....!!! hili la mashule hadi sasa linafanyika.....!!! Japo baadhi ya supervisors wanajitahidi kufuatilia baada ya Malalamiko kutumwa.

Kwani code za mashule ni Siri, na kwa nini wacrame na wakati zipo tu wazi hata kwenye mitandao, Usitafute Visingizio vya kufanya vibaya kwa shule za kiislam bana

Pia alichoongeza marhum Malima ni System za Shule moja kuwa na Shift 2. asubuhi na Jioni...ambao Hadi sasa upo...Hili liliongeza numbers ya wanaochaguliwa sekondari including wasichana wanaojiunga na shule za sekondari ambao awali selection yao ikuwa ndogo.

Sasa kwani mfumo wa shift moja ulikuwa una wa favour vipi Wakristo
 
AMI: Kwa hakika hivi ndivyo ilivyotaka kuwa. Ilikuwa kuuliza tu hiyo rejea ya kitabu ni chapisho la lini? Jibu ndiyo kama hilo ulotowa na mjadala ungeendelea kistaarabu. Hata hivyo silaumu sana ujana pia huchangia katika mengi maana damu ya vijana inachemka na haina sumile tofauti na watu wazima. Nachukulia kuwa FM bado ni kijana utu uzima haujamnyemelea.

Mjadala wa mapinduzi wa Zanzibar Insha Allah tutaufanya na itakuwa bora sana kwa wanaukumbi wakasoma kwanza kitabu "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru." Fungua dimba yake nimewawekeeni humu mpate hamu ya kukisoma kitabu.

Haya mambo ya umri yametoka wapi?

Huyo acolyte wako angekuwa kweli hicho kitabu anacho, si ange-cite ni wapi Oliver aliposema kuwa shule za wakristu zilijengwa na kuendeshwa na kodi za watanganyika? Yeye kwa ku-quote edition ya 1970 ( ambayo bado siamini kuwa ipo) ya kitabu kilichoandikwa 1952 anakusudia kumfanya msomaji maneno hayo yanahusu pia serikali huru ya Tanganyika. Halafu, mpuuzi huyu, anatoka na kuendelea na maneno ambayo anadai yaliandikwa na mtu aitwaye Dodd bila kuweka wazi source yake. Si wote tuko hapa ku suffer fools gladly. Tunasema tunachoamini bila kificho.

Amandla.......
 
FM na Wanaukumbi tumlaani shetani sisi ndiyo "great thinkers" sasa tuendelee na mjadala. Naweka hapa chini kipande cha paper niliwasilisha siku za nyuma kuhusu elimu:

The ‘Madras' and Muslim Initiative in Establishing Educational Institutions

It is a misnomer to classify education into compartment such as 'Islamic education,' or ‘ilm dunia' and ‘ilm akhera.' Muslims are required to pursue education in its totality. In Islam education is ‘fardh'. Probably the problem encountered by the uninitiated is the correct meaning of education. Ahmad ibn Naqib Al Misri in his book Umdat al salik, Dubai (1991), has given the correct meaning of education in an Islamic perspective. In short he has stated that there is no way one could profess to be a Muslim and at the same time profess ignorance. Islam and ignorance, the two paradigms are mutually incompatible. To be a Muslim the prerequisite is to be knowledgeable.

Since Islam was compatible to knowledge it was difficult in areas where Islam was established to encounter illiteracy. In Tanganyika the predominant Muslim ethnic groupings are the Manyema, Digo and Rufiji. These are the tribes which the missionaries failed completely to baptise. It is from these areas and from the ‘madras' that the country produced its best Muslim scholars and poets. Poetry reflects the philosophy and intellect of society as well as personal emotions of the composers. It is not possible to compose poetry in absence of the ability to scribe. Literacy levels in these areas were very high both among men and women. It is interesting to note that most of the poets of that time had also excellent religious knowledge. The ‘madras' system of education is easy to institutionalise because it does not depend on expensive built structures. An important precondition for a ‘madras' is the ‘maalim' and students willing to study. In this way an ‘ulamaa' was in himself a walking school.

Missionaries became envious of the level of civilisation and literacy advancement achieved by Muslims through the Arabic script taught in the ‘madras' system of education not only at the coast in Zanzibar, Bagamoyo, Kilwa or Mikindani but also in far way places in the interior, like Usambaa, Tabora Kigoma, Ujiji were Islam was firmly established. Missionaries in collaboration with the colonial government initiated plans to subvert whatever progress Muslims had made. The first step taken by the British when they took over the country from Germany after the First World War was to abrogate the Arabic script, which was in use for many years in favour of the Roman script. By a mere stroke of a pen people who were educated were overnight reduced to illiterates. These instant, British and missionaries made illiterates were the poets of yesterday and the ‘ulamaa' who had intellectually held their own against missionaries defeating them in debates with ease. The vacuum created by the abrogation of Muslim education system was filled with missionary education with the British colonial government as the overseer. Knowledge was now disseminated from the class room with missionaries as teachers instead of the ‘maalim' in the ‘madras'. Tanganyika was now open for evangelisation.

The Church had now a free hand to provide education with the support of the colonial government. The Church in Tanzania is a government within a government. But this is beyond the scope of this paper. However it is very difficult to present any paper on Islam in Tanzania without mentioning the influence of the Catholic Church on the political system. Insha Allah we will touch upon that as we discuss other issues. The Catholic Church, which is the most influential, is the most dominant. White Fathers were and still are in Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza and Bukoba; Holy Ghost Fathers - Morogoro and Kilimanjaro; Benedictine Fathers - Peramiho and Ndanda; Capuchin Fathers - Dar es Salaam; Consolata Fathers - Iringa and in Meru; Passionist Fathers - Dodoma; Pallotine Fathers - Mbulu; Maryknoll Fathers - Musoma; and Rosmillian Fathers - Iringa.

Colonial education in Tanzania was characterised by a three tier - system, European, Asian and African. European schools being the best in terms of the quality of education imparted followed by Asian and African occupying the lower strata that is with inferior quality of education in terms of teaching staff, equipment, financing, etc. Where as missionary schools were being provided with assistance by the government known as grant-in-aid, this privilege was denied to Muslim schools. Due to this privilege mission schools were well equipped and could afford well-trained teachers. It was therefore impossible for schools run by Muslims to compete with missionary schools. But within this discriminatory system there was a fourth system which was reserved for Muslims. Missionaries in collaboration with the British made conceited effort to subvert Muslims from acquisition of higher education.

Muslims had to adapt to the new changes. Realising the importance of education and being aware of the danger, which was facing them, Muslims initiated their own schools. In 1933 the Muslim leadership in the African Association (formed in 1929 mostly by Muslims) formed the Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association). Soon after its formation the Al Jamiatul Islamiyya leadership with the help of the Aga Khan built the first Muslim school in Dar es Salaam. After the formation of the East Africa Muslim Welfare Society (EAMWS) with the Aga Khan as the Patron, Muslims under the EAMWS built many schools throughout Tanganyika. These came to be known as Muslim schools. The Church provided education for a specific purpose. It educated Christians to assume administrative positions in the colonial government. I have discussed the Muslim plight in education in Zanzibar. To avoid repetition I will conclude by the facts which I made then, and that is, the Christian dominated government in Tanzania even after independence has consistently subverted efforts by Muslims to develop educational institutions. The following are but few examples:

a. The government has refused to redress the imbalance in education between Muslims and Christians contrary to the promises it made at independence.

b. In 1968 the EAMWS was declared by the government as an 'unlawful society' because it was building and was planning to establish a Muslim University.

c. In 1980's the Organisation of Islamic Conference (OIC) was refused permission by the government to build a Muslim University in Tanzania and as a result the university was built in Mbale, Uganda.

d. In mid 1990s Darul Iman from Saudi Arabia was refused permission by the government to build a technical secondary school in the Coast Region, Mainland.

e. In 1993 the government signed an agreement (Memorandum of Understanding) with the Tanzania Episcopal Conference (TEC) and the Christian Council of Tanzania (TCC). The agreement provided that the government with the two Christian institutions would jointly provide education and other social services. The agreement rendered that it would allocate funds each year to the Church to implement the agreement. Muslims were not consulted nor included in the agreement and their petition to the government was ignored.

f. There is evidence that the Ministry of Education is discriminating against Muslim youths barring them from higher institutions of learning and also frustrating career advancement of Muslims functionaries in the ministry.

This negative attitude shown by the government has given Christians undue advantage over Muslims. In his book Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania which was banned by the government, Dr. Hamza Njozi's has further evidence:

…Arabia (May, 1985) wrote under the heading "A Closed Door to the Corridors of Power": ‘The majority of pupils in Tanzanian primary schools are Muslim (80 percent), a percentage which dwindles to 15-20 percent in secondary schools, sinking to a mere five percent at University level'. Almost fifteen years later, on 2 February, 1999 the Member of Parliament for Kigamboni Hon. Kitwana Kondo told the parliament that out of every 100 students who sat for the standard seven examination in Dar es Salaam in the year 1998, 71 were Muslim and 29 Christian. But out of every 100 students selected to join government secondary schools only 21 were Muslim while 79 were Christian. The MP wanted to know whether Muslim children were inherently dull (An-Nuur, February 5-11, 1999).

The examples I have given and those provided by Njozi have proved the fact that Muslims have not been able to establish educational institutions because the Church which controls the government subverts their efforts since Muslims are perceived as "enemies." To date not the government or the Church has made any comment to deny these allegations. Muslims have always taken the authorities on an intellectual plane arguing their case on facts and figures trying to avoid confrontation hoping the government would see sense and hence redress the balance to avoid inevitable future conflicts.

You are at it again Maalim , Sheikh Mohammed Said.
Uongo unaporudiwa rudiwa hata facts zinapindishwa kwa ajili ya kuutukuza udini.
Udini ni ugonjwa unaojitokeza kama imani.
Ugonjwa wa udini ukimpata mtu hata yeye kujitambua inakuwa shida.Na huu ndio ugonjwa unaomsumbua mwenzetu huyu Mohammed Said.
Katika nchi yenye makabila mengi , imani tofauti na vile vile rangi tofauti ni ukosefu wa upeo wa yajayo kujikita katika utetezi wa udini, kwa luelemea dini moja.
Now lets get back to what has been said by our writer MS

1.Islam and ignorance, the two paradigms are mutually incompatible. To be a Muslim the prerequisite is to be knowledgeable.

How true!!
But what is the reality?
The writer goes back to blame the Church and government for his own under achievement.
It is not a secret that up to now as we speak,wherever you find a church , a school will be in the vicinity, but look at our mosques, it is as if madrassa schooling is incompatible with modern formal education.
If Islam was in East Africa well befaore the 16 th Century where are the formal Islamic school schools that one can brag about?
We should not shy away from the realisation that there was a serious lack of vision by our Arabic visitors and their Islamic converts, and even when the European colonisers came to Africa, they RESENTED formal education, much to their own undoing.

Uislamu nchini umerealise kuwa elimu ya kikoloni ni mali wakati jua limeshakuchwa na uhuru upo mkononi.
Kasumba ya kutothamini elimu hata leo ipo sehemu tofauti nchini palipo na imani kali. Kuoza na kuozwa baada tu ya kumaliza mafunzo ya madrassa hutawala badala ya juhudi kubwa ya ushindani wa kupata elimu ya darasani.
Sasa wenzetu hawa wanarudi nyuma kuulaumu ukristo na serikali kwa wao wenyewe kuchelewa kuchangamkia elimu kwa karne nyingi tu.
The question that the colonial govt and christianity thwarted the efforts of muslims to study higher education leaves much to desire and is complitely false. One wonders why the muslims did not send students to Arabic countries for that matter, through their mosques to circumvent these restrictions?
Lets face it, the interest for formal education in many Islamic communities was not there in the first place.



2. d. In mid 1990s Darul Iman from Saudi Arabia was refused permission by the government to build a technical secondary school in the Coast Region, Mainland.

Maalim Mohammed Said, usipoteze muda kuandika untruths about your own under achievements na machafuko mengi tu katika organisations zenu za Kiislamu.
Pale Chang'ombe (opposite Chan'ombe Pr School)kuna Chuo ambacho kingekuwa kwa taaluma ya kuwajenga waislamu,kimejengwa nafikiri 1968 kwa msaada kutoka serikali ya Misri.
Mpaka leo it is a white elephant, na wajanja miongoni mwenu sasa wanauza eneo hilo kwa wahindi. Unauza sehemu ambayo ingewafaa waislamu wenzio halafu lawama kwa watu wengine.
Jichunguzeni kwanza , you guys are totaly unamanagable within and between yourselves, that is a fact.

3. Dr. Hamza Njozi's has further evidence:

…Arabia (May, 1985) wrote under the heading "A Closed Door to the Corridors of Power": ‘The majority of pupils in Tanzanian primary schools are Muslim (80 percent), a percentage which dwindles to 15-20 percent in secondary schools, sinking to a mere five percent at University level'. Almost fifteen years later, on 2 February, 1999 the Member of Parliament for Kigamboni Hon. Kitwana Kondo told the parliament that out of every 100 students who sat for the standard seven examination in Dar es Salaam in the year 1998, 71 were Muslim and 29 Christian. But out of every 100 students selected to join government secondary schools only 21 were Muslim while 79 were Christian. The MP wanted to know whether Muslim children were inherently dull (An-Nuur, February 5-11, 1999).


Now this may be characterised as a writing from a learned person but complitely lacking in logical objectivity and falsified facts. What a shame for a person masquerading as a PhD holder.
When you propound that 80% of ALL primary school goers IN TANZANIA ARE MUSLIMS and put it as a fact, then I am sorry only fools will believe this!
And bigger fools have the audacity of putting it on paper!!
Like I said, I am sorry, but my intellect does not allow me to stomach this and I have no further comment on this. With a wrong opening assumption one ends up with an equally wrong conclusion.
Njozi's claims will remain to be dreams, as a credit to his name sake, unless he and many others of his ilk, work on actively to build more primary and secondary school in their home steads.
Kitwana Kondo(KK wa Dar), is your wrong bench mark my dear Mohammed Said. Those who know this gentleman will attest to the fact that he is a murky character, often operating in shadowy circumstances both in politics and in life.
We will be more that happy Mr Mohammed Said if you will give us KK's shadowy life history. Remember his case with Martha Wejja? well it is said that the Judge in that case died in mysterious circumstances at Muhimbili.
As for the secondary school statistics statistics presented, it does not take very rocket science to figure out the obscure logic behind KK's assertations.
If his statistics are based on students from Chamazi or Mbagala Rangi Tatu Primary school and comparing it with St Josephs Pr School the one has to doubt ones level of intellectual representation in the Bunge.

Mohammed Said you can place all the blame on the Church and the government for the under achievement and under development in all muslim areas, but if at all that is the best you can do then you are probably lost and will rot in a religious jail of your own making.
A religious jail ffrom which a nobody will help you out
 
Haya mambo ya umri yametoka wapi?

Huyo acolyte wako angekuwa kweli hicho kitabu anacho, si ange-cite ni wapi Oliver aliposema kuwa shule za wakristu zilijengwa na kuendeshwa na kodi za watanganyika? Yeye kwa ku-quote edition ya 1970 ( ambayo bado siamini kuwa ipo) ya kitabu kilichoandikwa 1952 anakusudia kumfanya msomaji maneno hayo yanahusu pia serikali huru ya Tanganyika. Halafu, mpuuzi huyu, anatoka na kuendelea na maneno ambayo anadai yaliandikwa na mtu aitwaye Dodd bila kuweka wazi source yake. Si wote tuko hapa ku suffer fools gladly. Tunasema tunachoamini bila kificho.

Amandla.......
Huyu jamaa nimemsoma sana,na kusema sema kwake hakumuondoshei tuhuma kwamba pamoja na kusoma hajaelimika.
Katika hili jukwaa naamini mimi ni mmoja ya watu ambao hana furaha akiniona.Na mimi daima nipo chini yake namuangalia.Anadhani mimi ndiye Zomba aliyemkimbia halafu akaibuka mbele yake.Mimi ni AMI.Yawezekana Zomba ni marehemu na mungu amrehemu kwa uhodari wake wa kutetea ukweli.Unapotetea dhulma hata siku moja hutashinda.
Unachotaka wewe ni nini?.Hata utafiti wa wakristo wenzako hutaki kuuamini!.Hawa ndio wasomi,wanaosema ukweli pindi wanapouona, sio akina wewe ambaye unabisha kuwepo kwa kitabu maarufu kama hicho cha Roland kwa vile yaliyomo hayakufurahishi,na ndivyo unavyofanya kwa utafiti wa Mohammed Said.
Inaoekana umeshtuka kusikia kuwa shule za kanisa na hospitali si mali yenu moja kwa moja,na inabidi vigawanywe.Wakati wa ukoloni walipa kodi wengi walikuwa ni waislamu,hivyo sehemu kubwa ya kodi iliyojenga hivyo vituo vyenu ilikuwa ni kwa dhulma.
 
LG: Ahsante sana kwa mchango wako. Huamini hayo niliyoandika. Sawa. Tatizo sasa linakuwa hao tunaowashutumu hawataki masuala haya yakajadiliwa hadharani au kuletwa katika vikao rasmi kwa kinsingizio kuwa tutaharibu mshikamano wa kitaifa. Siku zote wanatoa majibu yale yale kuwa tuyaoanyo leo ni matatizo yaliyosababishwa na ukoloni. Lakini ukweli Wakubwa wakiusoma wanaujua. Ntakumegea moja tu. Baada ya Darul Iman kushindwa Kibaha waliamua kundoka nchini kabisa. Mzee Aboud Jumbe akawaeleza kuwa kuondoa fedha zilizotengwa kwa ajili ya Tanzania kuzipeleka kwingine ni dhulma. Kama Tanzania Bara hamtakiwi njooni Zanzibar. Hilo lilifanyika na fedha za kujenga shule Kibaha zikapelekwa Zanzibar na kujengwa Chuko Kikuu pale Tunguu. Kisa hiki nakijua vyema kwa kuwa nilikuwa katika kamati ya Darul Iman upande wa Tanzania. Nakumbuka tulipata kuwatanabahisha wenzetu wa Zanzibar kuwa Wizara ya Elimu, Dar es Salaam watawapa shida sana katika kuanzisha chuo na kupata baadhi ya vibali. Salmin Amour alijibu: Mimi ni rais wa Zanzibar. "Nakuhakikishieni chuo kitajengwa, bara wanataka au hawataki. Muhimu kila mtu katika hizi kamati atimize wajibu wake." Katika hali hii hii ingekuwa wamekuja wafadhili wa Kanisa wangepewa kila aina ya ushirikiano na msaada. Ndugu zangu huenda wengine wanapinga haya nisemayo kwa nia njema tu kwa kuwa hawajui nini kinaendelea nchini kwetu.

Sasa mtu anapouliza habari za Markaz Chang'ombe wazi ni kuwa hajui historia ya Waislam Tanganyika. Hicho chuo ndicho kilicholeta matatizo makubwa kwa Waislam maana Nyerere na Kanisa Katoliki hawakutaka Waislam wawe na Chuko Kikuu. Hilo liliwatia hofu na ndiyo chanzo cha EAMWS kupigwa marufuku. Nimekieleza kisa hiki kwa kirefu sana katika DVD iliyopo hapa ukumbini.

Hayo mengine ya Mzee Kondo na Martha Wejja sina ujuzinayo hivyo siwezi kueleza chochote.
 
Huyu jamaa nimemsoma sana,na kusema sema kwake hakumuondoshei tuhuma kwamba pamoja na kusoma hajaelimika.
Katika hili jukwaa naamini mimi ni mmoja ya watu ambao hana furaha akiniona.Na mimi daima nipo chini yake namuangalia.Anadhani mimi ndiye Zomba aliyemkimbia halafu akaibuka mbele yake.Mimi ni AMI.Yawezekana Zomba ni marehemu na mungu amrehemu kwa uhodari wake wa kutetea ukweli.Unapotetea dhulma hata siku moja hutashinda.
Unachotaka wewe ni nini?.Hata utafiti wa wakristo wenzako hutaki kuuamini!.Hawa ndio wasomi,wanaosema ukweli pindi wanapouona, sio akina wewe ambaye unabisha kuwepo kwa kitabu maarufu kama hicho cha Roland kwa vile yaliyomo hayakufurahishi,na ndivyo unavyofanya kwa utafiti wa Mohammed Said.
Inaoekana umeshtuka kusikia kuwa shule za kanisa na hospitali si mali yenu moja kwa moja,na inabidi vigawanywe.Wakati wa ukoloni walipa kodi wengi walikuwa ni waislamu,hivyo sehemu kubwa ya kodi iliyojenga hivyo vituo vyenu ilikuwa ni kwa dhulma.

Wewe ni mpuuzi tu. Na hapa nimekusifia. Hao wakina Zomba etc. wametoka wapi? Nani amewaibua humu isipokuwa wewe? Unadhani watu wote humu wanafuatilia majina ya watu? Wewe kama ni Zomba au sio Zomba mimi inanihusu nini? Ninachoangalia mimi ni michango yako na kutokana na michango yako kwenye hii mada na sio nyingine ndio maana nimekuita mpuuzi. Wewe kama haujui maana ya citation na namna ya kutumia maandishi ya awali basi siwezi kukusaidia. Wewe ni fanatic na extremisyt ambaye hauna elimu. Mtu anayeweza kusema kuwa shule zote za wamisheni zimejengwa na serikali ya mkoloni hastahili hata heshima ya kujibiwa. Watu kama nyinyi ni kunguni katika jamii. Hamna mchango mnaoutoa bali kuwa regurgitate maneno ya watu kama Mohamed Said. You are beneath contempt.

Amandla.........
 
FM: Please let us cool down and continue with the debate. Let us not divert from our theme. People are reading us at least let us spare them the agony of badmouthing. We should all be focused, our eyes on the ball. In this way we will have an entertaining exchange of ideas. Pepo mbaya naona kakatiza hapa.
 
FM: Please let us cool down and continue with the debate. Let us not divert from our theme. People are reading us at least let us spare them the agony of badmouthing. We should all be focused, our eyes on the ball. In this way we will have an entertaining exchange of ideas. Pepo mbaya naona kakatiza hapa.

Ungekuwa credible kama ungesema haya mapema. Pepo mbaya aliishaingia hapa. Na ataambiwa kuwa tumemstukia bila kificho.

Amandla.......
 
punguza jazba za kidini, upewe historia nzuri ili na wewe uijue

Another fool! Jazba ipi ya KIDINI? Unataka kudai kuwa nawaona wapuuzi kwa sababu ni waislamu? Upuuzi nao una dini? Basi, iko kazi.

Amandla......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom