Ukweli kuhusu waasisi wa TANU na harakati za kupigania uhuru

Ukweli kuhusu waasisi wa TANU na harakati za kupigania uhuru

Status
Not open for further replies.
Mkuu Kiranga,dhana kwamba ujanja woote wapatikana mjini ni potofu.

Surely, ujanja wa shamba hauwezi kupatikana mjini. Stockbroker wa Wall Street na ujanja wake wote wa kucheza na Stock Market ukimtupa katika misitu ya Papua New Guinea na wenyeji wa huko ujanja wake wote wa stock trading hautamsaidia kitu. Wala hakuna sehemu yeyote niliyosema watu wa shamba, kama umeona hivyo ni tafsiri yako tu, mimi mwenyewe ndugu zangu wengi tu watu wa shamba, na miongoni mwao kuna watu wenye hekima ya juu kushinda watu wengi wa mjini.

Na unaingia katika mtego ambao si rahisi kujinasua.

Wewe ndiye unajiweka katika mtego mwenyewe kwa kuleta jambo ambalo halikusemwa.

Kuvaa au kutovaa kaptura si dalili ya ustaarabu,ni tamaduni tu zilivyolutwa kama ambavyosi rahisi mwarabu kuvaa vazi hili.

Hebu nisaidie ni wapi nimesema kwamba kuvaa kaptula ni ustaarabu ? Mimi nimesema kitu fact, kwamba Nyerere alikuja mjini akiwa hajui itifaki za Dar, kama mtu yeyote mgeni akiwa katika mji mpya anavyoweza kutegemewa. Watu wakamfundisha itifaki za mji wa Dar, sikusema kwamba itifaki hizi zilikuwa bora kuliko alizokuwa nazo mwanzo, nimesema alifundishwa. Point niliyotaka kuionyesha hapa umeikosa, nilichotaka kusisitiza si kwamba kaptula ya Nyerere ilikuwa ushamba, nimetaka kusisitiza kwamba Nyerere kakaribishwa mjini na kufundishwa mambo ya mjini na wenyeji. Inawezekana yeye alikwenda mpaka Edinburgh na kusoma kina John Stuart Mill na ku debate katika Fabian Society huko, akawa ana exposure nzuri tu ya kimataifa, huyu si mshamba huyu, lakini katika mambo ya mji wa Dar ilibidi afundishwe na wenyeji. Acha inferiority complex ya kufikiri kila mtu anayesema kwamba Nyerere alifundishwa kwamba mjini wakubwa hawavai kaptula ana maana ya kum denigrate Nyerere kama mshamba. Kwanza ushamba inatakiwa kuwa sifa, kwa sababu bila shamba hamna mazao ya shamba, na bila mazao ya shamba hamna chakula.

Na je vipi ndege mjanja wa mjini akashindwa kujiendeleza kielimu?

Ndege mjanja yupi? Mimi nina Uncles zangu wamezaliwa mjini wamesoma mpaka Chuo Kikuu na kufundisha Chuo Kikuu na vyuoni. Mbona kina Hamza Mwapachu wamesoma zamani sana kabla hata ya Nyerere ? Usitake kuleta habari zilizotokana na ajali za kihistoria, kwamba wamisheni walijenga shule nyingi bara kwenye misheni zao kuliko pwani ziweke lawama kwa watu wa mjini.

Tukichukua jamii ya leo, bila kujali asili za watu, watu wa mjini na mashambani wanaosoma zaidi ni wepi?

Mimi nimeuliza swali hili mara kadhaa hapa bila kupata jibu.

Kwa sababu hutaki kuangalia historia ya ukoloni na pia inawezekana unaangalia hata watu wa mjini wenye asili ya bara kama "watu wa bara" jambo ambalo si kweli. Wasomi wengi ni watu wa mijini, hususan pwani ya Mrima kitovu kikiwa Dar. Huko bara hata magazeti kufika tabu. Sifanyi dhihaka, nasema ukweli tu.
Tukipata jibu la swali hili pengine na mjadala huu wa udini utapata jawabu.

Mjadala huu ni mpana zaidi ya swali hili

Nakubaliana na wewe kabisaa katika suala lako la pili,naningeliweka dhahiri wazee wetu walipigaia ukombozi wa mwafrika au dini zao?

Tatizo linakuja, kama nilivyosema katika swali langu, muislam anatakiwa ajitambue kama muislam kwanza, halafu mambo mengine kama utaifa yanakuja baadaye, wakati taifa linataka raia wake wawe na utambulizi wa kuwa raia kwanza halafu haya mambo ya dini baadaye, lazima kuwe na msuguano hapo.
 
Tatizo linakuja, kama nilivyosema katika swali langu, muislam anatakiwa ajitambue kama muislam kwanza, halafu mambo mengine kama utaifa yanakuja baadaye, wakati taifa linataka raia wake wawe na utambulizi wa kuwa raia kwanza halafu haya mambo ya dini baadaye, lazima kuwe na msuguano hapo.

Safi kabisa mkuu nafikiri umeingia haswa kwenye tundu maana kwa miongo kadhaa hili ndilo Mwalimu Nyerere alipigania kuliondoa katika jamii na kuleta umoja.
Sasa Mnyakyusa akijiona na ukabila wake KWANZA mambo mengine baadaye itakuwaje?
Na mchagga akijiona ni yeye kwanza katiaka ajira ,usomi na promotions , tuna sababu ya kulalamika kweli
Na vile vile Mhaya akijikita chuoni na kuingiza wahaya je?

Proposition yako mkuu Kiranga ni myopic.
Ukianza kujibagua kwa kujipendelea dhambi hii haishii hapo, inaendelea.
Ndio maana utaifa lazima uwe kwanza.
Na huwezi kuchagua wewe aina ya ubaguzi unaoutaka, ukifungulia tua aina moja ya discrimination,basi umefungulia na mambo mengine.
Mifano yako ya Wall Street na Papua New Guinea inakosa relevance ya "wakuja" vs "wa mjini" kwa context ya nchi yetu.
It obvious walioko mjini wanafaidi matunda mengi ya kimaendeleo ikiwamo shule , hospitali na social amenities.Hata hivyo hii haijaweza kuwasaidia moja kwa moja waswahili wa sehemu hizo.Hizi sehemu za services ziko manned na watu wale wale wa kutoka sehemu ambako elimu ilitangulia.
True ni a historical accident, lakini kukiwa na shule nyingi kwa mfano Dar, mbona wenyeji hawachukua fursa hiyo ya kujiendeleza?
Mimi nalifahamu hilo maana nimekaa Dar kwa muda mrefu sana,tena Temeke kwa waswahili kabisa.Afadhali ya wewe uliyekaa mission kota karibu na kitovu cha jiji.
Kwa kujiwekea mfano wako mwenyewe Mkuu Kiranga ni sawa, likini mko wangapi?
Kama ulivosema mada hii ni pana sana.
Ukiingiza udini katika majadiliano kama haya, basi vile vile utegemee ukabila, ukanda na ubaguzi wa rangi.
 
Kiranga ahsante kwa mchango wako. Hakika wewe ni wa Misheni Kota. Naona jinsi unavyozungumza. Sikupata tabu kukuelewa na nakiri kukupenda. Hilo la kwanza. Pili hii "Kiranga" inanipeleka nyuma sana nikiwa mtoto. Kulikuwa na mchezaji mpira maarufu wa wakati ule wa 1950s akiitwa Kiranga na alicheza na uncle wangu. Uncle wangu alikuwa Centre Back mkali sana Sunderland kiasi alipewa a special nickname. Tuingie katika mjadala. Mimi usiniite Dr. Sina Ph D lakini watu hata sijua kwa nini hupenda kunitambulisha hivyo. Toka nilikuwa natahayari na nawaeleza hadi sasa nimeamua kukaa kimya tu. Hata watu wazito wa Harvard na kwingineko tukiwasilana huni-address hivyo na wakati mwingine professor. Vyeo vyote hivyo navipenda lakini tatizo huvipati shurti upinde mgongo kwanza usome.

Fikra na hisia za udini zilikuwapo toka siasa zilipoanza Tanganyika Kleist Sykes katika mswada wake alioandika katika miaka ya 1940 alieleza hili kwa nini Waislam ndiyo waliokuwa wengi katika siasa wakati ule angalia "Kleist Sykes the Townsman" katika "Modern Tanzanians" kitabu kimehaririwa na John Iliffe na makala iliandikwa na bint ya marehemu Abdu Sykes, Daisy Aisha Sykes. Katika kitabu changu hili tatizo nimelieleza kuwa lilijitokeza 1953 Abdu Sykes alipompisha Nyerere katika uongozi wa TAA. Tatizo likaja kuwa kubwa hata ikabidi Sheikh Hassan bin Ameir na viongozi wengine katika TANU watoe msimamo ili kurekebisha mambo. Hii ilikuwa mwaka 1954 au 1955. Mkutano wa kurekebisha hali hii ulifanyika Mtaa wa Pemba, Dar es Salaam. TANU ikatoa onyo kuwa yeyote atakaeleta hisia za udini kuwabagua Wakrsto atatoswa. Hii ndiyo hali ilivyokuwa hadi uhuru umepatikana. Tatizo likaja sasa uhuru ulipopatikana. Kanisa Katoliki lililokuwa pembeni wakati wa kupigania uhuru sasa likawa linataka likamate serikali kwa njia za siri na ili lifanikiwe ni lazima Uislam uvunjwe nguvu. Hapo ndipo udini ukaingia kwa nguvu lakini iliwachukua Waislam miaka mingi kutanabahi kuwa yule Nyerere waliyemuweka madarakani sasa kabadilika si tu hawataki Waislam kuwa karibunae hata historia yake binafsi kunasibishwa na Waislam ni vibaya. Hii ndiyo hali alokuwanayo hadi mauti yalipomfika.

EAMWS ilimtisha Nyerere kwa kuwa nguvu yake na ya Kanisa ilikuwa itadumu mindhali Waislam hawana elimu. Ikishakuwa Waislam wataelimika na ujanja waliokuwanao kiasi cha kuweza kumtoa Muingereza nchini yeye na Kanisa lake watakuwa na wakati mgumu. Aga Khan na EAMWS walikuwa tayari wanajenga shule kila mkoa na wilaya na mpango wa chuo kikuu ulikuwa ushakamilika. Viongozi wa mipango hii alikuwa Aga Khan, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Aziz Khaki na Tewa Said Tewa. Ikabidi hawa wote awafanye maadui zake. Kisa hiki nimekieleza kwa kirefu katika kitabu. Siku zote ninapoalikwa katika hadhara na nikaombwa kuzungumza juhudu za Waislam katika kujiendeleza katika elimu nikifika hapa watu wengi hulia. Kwa ufupi Nyerere akaunda Bakwata na kuivunja EAMWS. Mufti Sheikh Hassan bin Amir akakamatwa kwa tuhuma ati alikuwa anafanya mipango ya kupindua serikali. Taasisi za Kikristo hazikuguswa ziko na nguvu hadi sasa. Historia ya Waislam nayo ikawa ni mwiko kuelezwa kokote. Hadi sasa.

Nadhani maelezo haya yanajibu kwa nini Waislam tumeshindwa kujiendeleza katika elimu. Sisi ni wahanga wa hujuma dhidi yetu. Hata huko nyuma nilieleza jinsi Waislam walivyohujumiwa kujenga shule katika miaka ya 1980 na wafadhili kuamua kuondoka kwa kuwa walitanabahi kuwa hawatakiwi. Nilitoa mfano wa mradi wa OIC kujenga Chuo Kikuu, chuo ambacho kikajajengwa Mbale, Uganda. Darul Iman walitaka kujenga shule Kibaha wakahujumiwa na shule za Kibohehe na Kinondoni zilipogeuzwa kuwa seminari za Kiislam Nyerere akaagiza zifungwe nk.

Ikiwa ukumbi watapenda kujua njama za wakoloni kuwapiga vita Waislam katika elimu Insha Allah niko tayari kueleza. Wizara ya elimu imegeuzwa kuwa moja ya majimbo ya Kanisa Katoliki. Wala wana-ukumbi wasipuuze haya ninayosema. Tushukuru kuwa haya tunayasema wote tukiwa "wamoja" hali itakuwa nyingine kabisa Mungu apishie mbali itakapokuja siku haya yakazungumzwa tuko katika pande mbili tofauti katika meza ya mazungumzo katika yetu yupo mpatanishi.

Yametokea kwa wenzetu sisi si tofauti na wao. Hakuna kitu kibaya kama dhulma. Jamii moja haiwezi kuikalia nyingine kichwani na ikategemewa kuwa kila siku mambo yatakuwa shwari.

Silka ya binadamu na historia inalikataa kabisa hili.
 
Mkuu Kiranga,
Unarudia kosa la wengine kufanya kuwa Dar ilikuwa ni kule palipoitwa uswahilini peke yake. Nyerere hakuambiwa asivae kaptula bali alifahamishwa kuwa anapokutana na wazee wa Dar es salaam ( ambao wengi walikuwa waislamu) asivae kaptula maana hawatapendezwa kuona kijana kavaa kaptula. Akiwa na wasomi wenzake Magomeni na kwenye klabu zao, kaptula ruksa. Hii ku-conflate Dar es Salaam na uislamu ndiyo uliotufikisha hapa. Hapa Dar es Salaam walikuwepo wanyasa kibao ( wakina Kambona n.k.) ambao vazi lao lilikuwa kaptula na kuweka "wei", Nyerere na kaptula yake asingeonekana mtu wa ajabu. Tatizo lilikuja pale alipotaka kukutana na watu ambao mila na desturi zao hazikukubali uvaaji huo. Hawa ingawa walikuwa wengi lakini hawakuwa ndiyo reflection ya Dar es salaam nzima ya wakati ule!

Kosa hili ndilo linalompelekea Mohamed kudhani kuwa Tanganyika ilikuwa Dar es Salaam na kidogo Tanga peke yao. Anasahau umati mkubwa wa watu wa bara ambao bila wao hamna kitu ambacho kingefanyika. TANU bila kukubalika kwa hao wengine, ingekosa legitimacy na hapo ndipo Nyerere alipomzidi Sykes., uwezo wa kukubalika nchi nzima na si mkoa wa Pwani peke yake!

Amandla........
 
LG Ahsante sana kwa mchango wako tafadhali soma hii:


Prof. Malima found out that professionalism and objective decision making had long been forgotten in the ministry. Examinations were marked using candidate's actual names instead of numbers as is the norm the world over. This created an environment in which it was easy for Christian candidates to be favoured. Prof. Malima also found that Muslim functionaries were barred from promotions. Prof. Malima had to rectify the discrepancies at the ministry. First he promoted three Muslims whose promotions were long overdue after retiring three Christians whose retirement was long overdue. Prof. Malima also promoted a Muslim to the post of commissioner. This change made the balance of distribution of top post at the ministry between Muslims and Christians to stand at 30% to 70% scales still tipping in favour of Christians.
Yet inspite of this imbalance Christians in the ministry complained that Prof. Malima's promotions were religiously motivated. Prof. Malima found out that the population of Muslim students in primary school was more than 50% but they were few in secondary schools. He realised something must be seriously wrong and he therefore directed that examinations numbers should be used in marking examinations. After these change the number of Muslims students admitted to secondary schools increased by forty percent. Prof. Malima fears were confirmed that there was cheating in the ministry. And that kind of cheating was worse than ordinary cheating. Those who were playing that kind of game were poising to put the country in a dangerous path which could in the future cost the nation dearly.

Prof. Malima wrote a confidential report to the President on the state of affairs he had found in the ministry. In that report Prof. Malima mentioned the stagnation of Muslims and women in education. Prof. Malima warned that if this problem was not solved it was going to create problems to the country in the future. Prof. Malima's report leaked to the press. This letter by Prof. Malima made him a hero to his own people and a villain to the establishment and to the most fervent enemies of Islam in Tanzania. There was panic in the ministry and the government as a whole.

It is said that among those who received the report was the former Vice-President and Prime Minister Joseph Warioba. It was obvious that Nyerere was monitoring President Mwinyi in everything he did. To be able to do what he did Nyerere had to have people deep inside President Mwinyi's establishment. Nyerere and Warioba were outraged by the letter and tried to have him sacked from the government and party in the same style which ousted Jumbe four years earlier. But this time the issue on the agenda was more sensitive and transparent then was the case with Aboud Jumbe which was covered by political intrigues. Muslims were following closely Prof. Malima's fight against the Christian bastion with great interest. Muslims had found a leader they could believe in and support.
 
LG Ahsante sana kwa mchango wako tafadhali soma hii:


Prof. Malima found out that professionalism and objective decision making had long been forgotten in the ministry. Examinations were marked using candidate's actual names instead of numbers as is the norm the world over. This created an environment in which it was easy for Christian candidates to be favoured. Prof. Malima also found that Muslim functionaries were barred from promotions. Prof. Malima had to rectify the discrepancies at the ministry. First he promoted three Muslims whose promotions were long overdue after retiring three Christians whose retirement was long overdue. Prof. Malima also promoted a Muslim to the post of commissioner. This change made the balance of distribution of top post at the ministry between Muslims and Christians to stand at 30% to 70% scales still tipping in favour of Christians.

Yet inspite of this imbalance Christians in the ministry complained that Prof. Malima's promotions were religiously motivated. Prof. Malima found out that the population of Muslim students in primary school was more than 50% but they were few in secondary schools. He realised something must be seriously wrong and he therefore directed that examinations numbers should be used in marking examinations. After these change the number of Muslims students admitted to secondary schools increased by forty percent. Prof. Malima fears were confirmed that there was cheating in the ministry. And that kind of cheating was worse than ordinary cheating. Those who were playing that kind of game were poising to put the country in a dangerous path which could in the future cost the nation dearly.

Prof. Malima wrote a confidential report to the President on the state of affairs he had found in the ministry. In that report Prof. Malima mentioned the stagnation of Muslims and women in education. Prof. Malima warned that if this problem was not solved it was going to create problems to the country in the future. Prof. Malima's report leaked to the press. This letter by Prof. Malima made him a hero to his own people and a villain to the establishment and to the most fervent enemies of Islam in Tanzania. There was panic in the ministry and the government as a whole.

It is said that among those who received the report was the former Vice-President and Prime Minister Joseph Warioba. It was obvious that Nyerere was monitoring President Mwinyi in everything he did. To be able to do what he did Nyerere had to have people deep inside President Mwinyi's establishment. Nyerere and Warioba were outraged by the letter and tried to have him sacked from the government and party in the same style which ousted Jumbe four years earlier. But this time the issue on the agenda was more sensitive and transparent then was the case with Aboud Jumbe which was covered by political intrigues. Muslims were following closely Prof. Malima's fight against the Christian bastion with great interest. Muslims had found a leader they could believe in and support.

Unataka kutuambia kuwa ni waislamu peke yao ambao walichelewa kupandishwa vyeo? Haujafanya kazi serikalini. Huko serikalini kuna watu wanafanya kazi hadi wanastaafu bila kuwa confirmed acha kupandishwa cheo! Kighoma Malima na acolytes wake hamjaweza hata siku moja kuonyesha kuwa palikuwa na structural discrimination. Kwenda kwa idadi ya watu hakutoi habari kamili. Kuna wahadzabe wangapi waliojariwa serikalini? Nao wadai kuwa wanabaguliwa kwa maksudi? Kighoma Malima kwa kumpandisha mtu kwa sababu ni muislamu na sio kwa sababu kwa sababu alichelewa kupandishwa ( angeonyesha wazi kuwa katika watu wote ambao wamecheleweshwa hao ndio walicheleweshwa kwa muda mrefu tungemuelewa) na ku-retire watu kwa sabau tu ni wakristu badala ya kutuambia kuwa katika makamishana waliopitisha muda ( ambao serikalini walikuwa kibao wakati ule) hao ndiyo waliozidisha tungemuelewa. Badala yake, bila aibu anatumia kigezo cha dini! Kuna wakristu na watu wa dini nyingine wangapi wanaonewa humo serikalini na watajisikia vipi wakisikia kuwa kigezo kinachotumika kupata haki ni dini? Mpaka leo tunajua hakuna ajira yenye kero na bugdha kama ualimu. Walimu kuchelewa kupokea mishahara ni kama ada. Leo hii atokee mkristu aseme kuwa atahakikisha kuwa wakristu wanalipwa mshahara ataellewaka kweli? Kighoma Malima angesema kuwa anataka kuondoa dhulma aliyoikuta bila kuingiza udini , bila shaka tungemuenzi hata kama watakaofaidika wengi wangekuwa wa upande mmoja lakini alipochagua kupendelea upande mmoja kwa msingi wa dini, alipoteza imani ya wengine wetu.

Amandla......
 
LG Ahsante sana kwa mchango wako tafadhali soma hii:


Prof. Malima found out that professionalism and objective decision making had long been forgotten in the ministry. Examinations were marked using candidate’s actual names instead of numbers as is the norm the world over. This created an environment in which it was easy for Christian candidates to be favoured. Prof. Malima also found that Muslim functionaries were barred from promotions. Prof. Malima had to rectify the discrepancies at the ministry. First he promoted three Muslims whose promotions were long overdue after retiring three Christians whose retirement was long overdue. Prof. Malima also promoted a Muslim to the post of commissioner. This change made the balance of distribution of top post at the ministry between Muslims and Christians to stand at 30% to 70% scales still tipping in favour of Christians.
Yet inspite of this imbalance Christians in the ministry complained that Prof. Malima’s promotions were religiously motivated. Prof. Malima found out that the population of Muslim students in primary school was more than 50% but they were few in secondary schools. He realised something must be seriously wrong and he therefore directed that examinations numbers should be used in marking examinations. After these change the number of Muslims students admitted to secondary schools increased by forty percent. Prof. Malima fears were confirmed that there was cheating in the ministry. And that kind of cheating was worse than ordinary cheating. Those who were playing that kind of game were poising to put the country in a dangerous path which could in the future cost the nation dearly.

Prof. Malima wrote a confidential report to the President on the state of affairs he had found in the ministry. In that report Prof. Malima mentioned the stagnation of Muslims and women in education. Prof. Malima warned that if this problem was not solved it was going to create problems to the country in the future. Prof. Malima's report leaked to the press. This letter by Prof. Malima made him a hero to his own people and a villain to the establishment and to the most fervent enemies of Islam in Tanzania. There was panic in the ministry and the government as a whole.

It is said that among those who received the report was the former Vice-President and Prime Minister Joseph Warioba. It was obvious that Nyerere was monitoring President Mwinyi in everything he did. To be able to do what he did Nyerere had to have people deep inside President Mwinyi’s establishment. Nyerere and Warioba were outraged by the letter and tried to have him sacked from the government and party in the same style which ousted Jumbe four years earlier. But this time the issue on the agenda was more sensitive and transparent then was the case with Aboud Jumbe which was covered by political intrigues. Muslims were following closely Prof. Malima’s fight against the Christian bastion with great interest. Muslims had found a leader they could believe in and support.

Mkuu Mohammed Said nashindwa kubishana kwa vile kila tukio we unaliona katika miwani ya udini.
Sina la zaidi la kuingeza kama Mkuu FM alivyojibu hapo juu.
Lakini kuna umuhimu mkubwa wa kumuelewa Mohammed Said na anapigania nini na anawaza nini haswa.
See my next post.
 
ii revisionist theory inayowekwa na waandishi kama Mohammed Said ina chanzo chake.
Chanzo hicho kimetokea Msikiti wa Quba , jijini Dar es salam.
Mtazamo wa mafundisho haya ni kuwachukia dini nyingine , kama msingi wa kuendeleza dini yake.
MUSLIM WRITERS' WORKSHOP (WARSHA)http://cc.bingj.com/cache.aspx?q=pr...setlang=en-GB&w=9ef562cb,f2b7a7ae#annotation8


The Muslim Preachers who are involved in da‘wa and mihadhara have influenced many young Muslims, who are now writing76 and developing outreach strategies based on the methods that they have observed. One group of young Muslims was "awakened" to the vitality of Islam by the teachings of an expatriate Pakistani during the 1960s and 1970s. It is this group that we now examine.
Warsha ya Waandishi wa Kiislam (Muslim Writers' Workshop), popularly known as Warsha, comprises a small group of Muslim intellectuals, including Mohamed Said. Mohamed Said was born in 1952 and has a BA in Political Science from the University of Dar es Salaam. He can be seen as the most prominent member of the original Warsha, having had several articles published and a book in 1998, The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, which was published in 1998. This is an example of a style of writing that can be best described as "revisionist histories".77 Presently they are based at Quba Mosque in Dar es Salaam. From where they run a secondary school, arrange courses, publish literature and issue statements on matters of public concern (mainly concerned with education and economics).78 Warsha is concerned in effecting reform of the teaching at Qur'anic Schools, which still mainly consists of the rote learning and memorising of parts of the Qur'ān.79
Although Warsha is based in Dar es Salaam, its influence is more widespread. It claims to have a considerable following amongst the 20-40 age group of Muslims .80 A.N. Chande reports that "it makes its presence felt in the major urban centres in the country through its writings which have appealed to a segment of the youth".81

EXTERNAL INFLUENCES: MUHAMMAD HUSSEIN MALIK AND WARSHA

How did Warsha begin as an organisation? Its origins can be traced back to an expatriate teacher on a government contract. In 1964 Muhammad Hussein Malik,82 a Pakistani, came to Tanzania to teach Mathematics at Secondary School level in Dar es Salaam.83 Malik, in addition to his official teaching duties, volunteered to teach Islamic Studies84 in all Secondary Schools in Dar es Salaam and surrounding areas.85 Malik's teaching of Islam was seen as revolutionary in the context of Tanzania. The effect was to enable a group of young Muslims "to understand itself and be aware of the anti-Muslim force against Islam".86
Said explains the method that Malik used in teaching Islamic Studies:
Dr. Malik began first by helping his students overcome the inferiority complex which was a result of colonial propaganda and histories taught in schools. Muslim students were taught of scientific achievement and accomplishment of Muslim scholars of the past and present. ... He taught a contrasting history of Islam as a religion which did not begin with Muhammad (PBUH), but with Adam. Dr. Malik taught his way down to the time of Jesus and the Jews, emphasising the fact that Jesus like Muhammad was a Muslim. His most interesting and captivating topic was the history of the Jews how they turned religion into nationality and vice-versa. He concluded his course by showing the imprecision in Christianity .87

Source:John A. Chesworth, St Paul UTC , Limuru ,Kenya

Tatizo kubwa hapa ni katika movement hii si kuwa proactive katika kuendeleza maswala ya kimaendeleo , as a matter of iportance, lakini domination of ather religions.
 
Mohamed said ni miongoni mwa waislamu wengi siku hizi ambao wako tayari kupindisha jambo lolote ili kuutukuza uislamu.nimesoma hoja zake zote zimejaa chembe chembe za udini kiasi unashindwa kuamini anataka nini haswa.Mfano mzuri ni aliyekuwa waziri wa fedha Kighoma Malima kalisababishia taifa hasara lakini Bwana mohamed said anaona kaonewa vipi leo wakristo walalamike Mramba na Yona wamepelekwa mahakamani kwasababu ya ukristo wao ?.
 
Muda mwingine naona inakuwa ngumu kumwelekeza mtu anayetawaliwa na hisia katika kufikiri badala ya ufikiri. Kuhns katika nadharia yake ya maendeleo katika nadharia anasema maarifa mapya na mwelekeo mpya wa kuelewa haupatikani mpaka utakapoufunika mwingine na katika kuufunika mwingine ni lazima mwelekeo upya wa kufikiri uje, ushindane hoja na ule uliopo mpaka hapo watu watakapo shiba hoja za huo mwelekeo mpya mwelekeo wa zamani utakoma. Lakini si kila mwelekeo mpya unaweza ukaushinda mwelekeo wa zamani kwa hoja na kufanikiwa kuwa mwelekeo mpya na wenye kukubalika.

Tangu mjadala huu uibuke wazo ambalo hliwezi kupingika ni kuwa waisilamu wa Tanzania wamekuwa nyuma katika nchi hii katika njanja karibu zote muhimu katika maisha na maendeleo ya binadamu. Hilo linakubalika na pande zote zinatofautiana na kuvutana.

Tatizo hili lilipatiwa jibu zaidi ya miaka 40 iliyopita. Jibu lake lilikuwa rahisi sana kuwa hali hiyo imetokea na jinsi waislamu wa nchi hii walivyo na tamaduni zao. Kwa kuwa walikataa kuwapeleka watoto wao shuleni kwa kuogopa watoto wao kubatizwa wakati wa ukoloni hivyo wakakosa elimu.

Baada ya uhuru tunaambiwa waislamu tena hawakutaka kwenda shule kwa kuwa waliipenda zaidi elimu akhera kuliko elimu dunia. Maprofesa wameandika haya na hata kuchapishwa na machapisho yao yanasomwa na kuheshimiwa.

Wazo linapokuja kuwa pamoja na waislamu kuogopa kubatizwa na kushindwa kusomesha watoto wao wakati wa ukoloni, nini kimetokea miaka kadhaa baada ya uhuru?
Hapo jibu lake linakuwa Nyerere alifanya taratibu za kutaifisha mashule na kuleta usawa katika mashule yote lakini waislamu walikataa kusoma.

Ukiendelea kuwauliza mbona Primary Universal Education (UPE) takwimu zake zinaonesha tulifanikiwa kwa zaidi ya asilimia 90 na hakuna tatizo la waislamu kugoma kwenda shule? Jibu haliwi la moja kwa moja. Haya

Swali lingine likiulizwa mbona Nyerere aliyasimamia yote aliyoyataka kwa nguvu za ajabu bila kuogopa chochote likiwemo suala la utaifishaji na vijiji vya ujamaa lakini hakutumia au alishindwa kutumia nguvu, kasi na ari ile ile katika kuwadhibiti wakorofi wasiotaka kusoma shule waisilamu eti unajibiwa unaweza kumlazimisha Ng'ombe kufika kisimani lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji. Maswali magumu, majibu mapesi.

Sasa kuna shule mpya na mwelekeo mpya wa kufikiri unaoletwa mbele yetu. Una mawazo yake na ushahidi wake. Sasa basi ingekuwa vyema hoja zinazotolewa zijibiwe kwa hoja na wala si kebehi zinazotokana na hisia na propaganda zilizopandikizwa kwa m iongo zaidi ya minne. Fikra thabiti hazifi na fikra hizi zimekuwepo angali kitambo, sasa mtu anaposema sijui eti mweusi, mfupi nae alibaguliwa hivyo waislamu hawatakiwi waliseme hili kwani ni udini. mimi simwelewi. Sioni tatizo kuujadili udini kama unaonekana upo. kwangu ni jambo la maana sana kuujadili udini, kama watu wanauona udini, umekuwa ukiwaumiza, na unatishia kuendelea kuwaumiza kwa nini basi wasiujadili angalau tiba ipatikane?

Ni vyema sana kuujadili udini kwani dini ndio yenye uwezo mkubwa zaidi wa kuhamasisha na kushawishi watu washike mapanga na hata kujijenga kijeshi kupigana na imani nyingine tofauti na muunganiko mwingine wowote katika nchi hii. Dini ina nguvu kubwa ya kuwaunganisha na kuwashawishi watu kuliko umoja wa warefu, wafupi, wakerewe, wapare na hata wasukuma na wachaga katika nchi hii. Watu wanapoliona tatizo linakuja na kujitoa kulizungumza ili lifanyiwe marekebisho tusifanyie mzaha kwa kutoa majibu mepesi kama ya watoto wa vidudu ili mradi tu nawe uonekane umesema. Siasa z ubaguzi na upendeleo zimekuwapo na zipo katika nchi hii, tukae chini tufanyie kazi hili na ikiwezekana tuanze na hili pengine ndili linaloweza kuleta 'Potential" conflict katika jamii yetu
 
Mohamed said ni miongoni mwa waislamu wengi siku hizi ambao wako tayari kupindisha jambo lolote ili kuutukuza uislamu.nimesoma hoja zake zote zimejaa chembe chembe za udini kiasi unashindwa kuamini anataka nini haswa.Mfano mzuri ni aliyekuwa waziri wa fedha Kighoma Malima kalisababishia taifa hasara lakini Bwana mohamed said anaona kaonewa vipi leo wakristo walalamike Mramba na Yona wamepelekwa mahakamani kwasababu ya ukristo wao ?.

Ungesoma kile kitabu cha nyerere Kinachoitwa Uongozi na Hatima ya Tanzania ndio ungejua Kighoma Malima hakulitia hasara taifa bali watu wawili ambao aliwataja kwa majina, tena katika hotuba yake hadharani alisema hao watu wamepandikiza chuki mpaka Malima anaonekana mbaya machoni mwa watu wao wako pembeni wakimshauri vibaya rais huku wakipigania kwenda ikulu
 
Labda tupate mawazo ya Juma Mwapachu aliyoyatoa katika kitabu chake cha CONFRONTING NEW REALITIES Reflections on Tanzania’s Radical Transformation tuone nae mawazo yake yakoje


RELIGION AND POLITICS: THE FEARS AND THE REALITY


“By the side of every religion is to be found a political opinion, which is connected with it by affinity. If the human mind be left to follow its own bent, it will regulate the temporal and spiritual institutions of society in a uniform manner, and man will endeavour to harmonise earth and heaven”.

-Alexis de Tocqueville: Democracy in America.


Introduction:
The emergence of political pluralism in Tanzania has not only promoted free expression, particularly through the print media, but has also given birth to what is proving to be a new but potentially destabilising phenomenon, namely the rise of religious involvement in matters of a social, economic and political character. Much as religion is emerging throughout the world as the political language of our time, questions are being raised whether the active and high profile role religious groups are now playing in society is not a violation of secularism. In addition, questions are also asked whether secularism, in itself, infers that religious leaders should not express opinions of a political character or, whether, in fact, it merely means the non- involvement of religion in the formation and organisation of political parties. The central question that features in this debate is what constitutes politics for which religion should be restrained from involvement? Where does one draw the line, for example, between issues that concern a state of deepening poverty, that is entrenching, on the one hand, and politics properly so-called, on the other? And what is politics, “properly so- called”?

As political pluralism deepens in Tanzania and as questions of race, ethnicity, tribalism, poverty and wealth redistribution take the centre stage of political debate and election manifestos, the role of religion in society could not be simply brushed aside in the name of secularism. Both the state and religion would have to re-examine the fundamentals of secularism in the context of a new pluralistic environment- domestic and global- and also re-define the rules of the game.

The Emergence of State-Religion Differences

It is difficult to determine whether any fundamental differences or even conflict arose between state and religion under Julius Nyerere's one party political system. If it existed, then it was centrifugal. In a way, in spite of the socialist policies of Nyerere that embraced the nationalisation of schools and hospitals, owned and managed by religious groups in 1969 and 1972 respectively, little or nothing surfaced in terms of open criticism of those policies. Those were the days when there was no free press. It is therefore possible that if any criticisms existed, they were muzzled.

However, in recent years and especially since 1994, there has been increased interest in the role of religion in initiating and promoting far-reaching changes in society. Whilst Christian groups have taken the lead in this new role, Moslems have not been left far behind. Notable interventions in this context have been the Dodoma and Bagamoyo Declarations of Lutheran Bishops in the 1990s. However, it is the Bagamoyo Declaration released in March 1994 titled, The Democracy of Politics and Economics(Demokrasia ya Kisiasa Na Kiuchumi) that set the pace, in terms of timing and radicalism. In the main, that Declaration postulated, “We as Church leaders cannot avoid being involved in various issues embracing economic, political, social and spiritual issues since this constitutes the mission of the Church. Moreover, we agreed that, since in its very functioning, the Church recognises the freedom of expression of every human being so as to forge development, unity, love and solidarity across the religious, racial ethnic, gender or ideological divide, there was need to educate the public on problems which face them.”
In detail, the Bagamoyo and Dodoma Declarations encapsulated the following:
Ÿ the Tanzania economy was promoting the interests of foreigners and foreign capitalists who, after benefiting, nothing behind and forced the government to accept stringent conditionalities as a basis for getting assistance thereby eroding national economic freedom.
Ÿ economic and political democracy was not adequately transparent as to enable all the people to enjoy the fruits of their labour, to be better protected by state organs in order to enjoy better social services delivered by the state without their resorting to offering bribes and to enjoy equal access to education, commerce, health services, energy etc.
Ÿ for political pluralism to benefit the people, there was need to have few and strong political parties. Such parties should seek to unite where possible to ensure that political opposition was strengthened.
Ÿ political parties should recognise that opposition was not confrontation. Therefore, they should build a culture oftolerance and mutual respect.
Ÿ a single government was the only structure that could represent the interests of both sides of the Union. Where such structure proved difficult toachieve, a three-government structure should be adopted.
Ÿ effective democracy could not be achieved where repressive laws remained in place. In that regard, the Nyalali Commission recommendations on repressive laws should be implemented.
Ÿ to preserve peace and tranquillity, the ruling party should stop the monopolisation of state organs such as the Radio Tanzania for its own benefit.
Ÿ the ruling party should not lead political change without taking into cognisance people’s opinions and wishes especially in respect to the call for holding a national conference to draft a new Constitution.
Ÿ corruption was a cancer at all levels ofnational leadership.
Ÿ the national interest had not been safeguarded in the allocation of land citing the Monduli land Loliondo Scandals where the Maasai had complained about their pastoral lands being offered to foreign nationals to be turned into beef ranches and for game hunting.
Ÿ peddling narcotics constituted a serious threat to the nation. The greed for getting rich quickly had made some businesspersons turn Tanzania into a market for narcotics.

Ÿ trade liberalisation had reinforced economic and social stratification. Evasion of taxes and customs duties had become the order of the day; so was the importation of commodities unfit for human consumption.

Ÿ government leaders should uncouple themselves from being overly influenced and manipulated by the rich in society.
The Moslem leadership also expressed concerns. They included:

  • Moslems are being deliberately marginalised through an inequitable education system that favoured Christians.
  • Moslems have not been given equal recognition in the sharing of key responsibilities of the state, at levels of ministers, regional commissioners permanent secretaries and parastatal chief executives.
  • The marriage law and the inheritance law violated Islamic law and the prescriptions of the Holy Koran.
Sometime in 1994, the Chief Sheikh of Tanzania Mainland threatened “Jihad” had the government proceeded with the enactment of a new inheritance law that sought to introduce the right to matrimonial home by a wife, a concept not recognised under Islamic law. Recently, late in 2004, the Imams in Zanzibar put up a proposal before the Minister for Constitutional affairs recommending the introduction of Islamic law or Sharia.
Many of the concerns raised above may have lost relevance today. However, in addressing the more fundamental question about the looming threat to secularism, they are outlined here to provide the framework for a discussion. The key question is whether the “interventions” by religious groups are political in the secular sense and thus constitute a legal or constitutional trespass. At least in as far as the Dodoma and Bagamoyo Declarations are concerned, President Mwinyi found them, to an extent, to constitute a trespass. In a National Address on 4th August 1994, President Mwinyi observed as follows: “I recognise that religious leaders are nationals and, in that capacity, have as much right as any other national to air their views on political matters. I do not intend ever to refuse the Bishops this fundamental right. However, they should refrain from using the media and instead either use face-to-face deliberations with the state or send their views by post to respective political leaders.”

Religion and Democracy


Between 1995 and presently, there have been several cases where religious leaders and especially those of the Christian faith, who, in their personal capacities or through conferences and religious occasions, have expressed views and concerns about the state of politics and development in Tanzania. For instance, the Episcopal Conference on several occasions has been vociferous in pointing out that the government was not effectively addressing poverty and corruption. It would also be recalled that in the immediate period prior to the holding of ward and village elections towards the end of 2004, both the Episcopal Conference and the Christian Council of Tanzania issued declarations calling for free, fair and peaceful elections. The declarations condemned continued prevalence of corruption and the culture of politicians not to readily accept electoral defeats.

In such an environment, what should be brought to the fore is the question: since religion is a faith and faith has the potential to ignite fanaticism, passions and perceptions amongst followers within religions, is it advisable that Bishops, Reverends, Rabbis, Sheikhs and other religious leaders should raise or discuss political issues at religious sittings and settings and make resolutions on them either against a legally constituted government or simply about the state of politics in the country? Believers know that religious faith knows no democracy. Those who have studied theology and have been ordained are supposed to help the believers to understand the Word of God through teachings in Churches, Mosques and other places of worship, not through political platforms or turning the “pulpits” into platforms for making political statements. Politics knows no Bible or Koran in a secular state; neither does it have a Bishop nor Sheikh. That is why politics is managed through democracy; that is why it needs the will of the people through the ballot box. Where would Tanzania be were opinions of religious leaders to coincide, for example, with those of political parties in the opposition?

Tanzania recognised the danger of mixing religion with politics early. That is the reason why, at the time of the promulgation of the multiparty system in 1992, the government prohibited the establishment of political parties based on religion. It would be absurd to debar political parties founded on religion, on the one hand, and proceed to allow religious groups to intervene in politics as they pleased, on the other hand. Yes, the government needs religious leaders to identify and castigate evils and wrong doings in society. Thus, to condemn corruption is their right. So is it to raise concern about the erosion of the moral fabric in society. However, for religious leaders to criticise the structure of the Union of Tanzania and to denigrate the Union Constitution at religious sittings is to transgress the boundaries of their mission as spiritual leaders. During the CCM 28th Anniversary celebrations in Dar-Es-Salaam, in February 2005, the Tanzania Vice President, Dr. Ali Mohamed Shein warned about the rising tide of religion in politics. He called upon religious leaders who wish to be in politics to quit their religious positions and form or join political parties. The Vice President’s strong remarks were made in response to reports that about 20 odd Moslem clerics, or Imams, of Dar-Es-Salaam mosques had joined hands to campaign for a specific Moslem Presidential candidate, ostensibly in order to promote Moslem interests.

Is there a Boundary: Where is the Boundary?

This upsurge in religion involvement in politics poses the inevitable question whether a boundary indeed exists between religion and politics and where that boundary line runs. Is it possible, in modern society, to have a precise and clear-cut boundary between religion and politics? In fact, President Mwinyi admitted in his above-cited national address that what had surprised him about the Dodoma Declaration was not so much what was contained in it or that the Bishops held such views as contained in the declaration, as the methodology that the Bishops had used to communicate their views, namely using the media. The President had wished that the views of the Bishop should have been submitted directly to the government. The President isolated two issues from the Bishops' Declaration, which, in his view, were clearly of a political character: the legitimacy of the Union Constitution and the structure of the Tanzania Union. The political views cited are contained in two paragraphs of the Bagamoyo Declaration. Paragraph 1.12 states: “With respect to the Union of Tanzania, we the Bishops assert that in order to have a Union structure which will be representative and which will equitably promote the interests of both sides it is necessary to have a one Union government structure. If the implementation of this proposal would be impossible, then it is imperative that there be a three Union government structure.” Moreover, under paragraph 1.2.5, it is asserted as follows: “the ruling party should not take the reigns of spearheading democratic pluralism in defiance of the views and opinions of the people regarding the holding of a national conference to draft a constitution.”

Clearly, the contents of these two paragraphs are of a political character and have serious political ramifications. However, did the Bishops disregard the boundary between state and religion in putting forth their view? Do religious leaders, like elected politicians, represent, by definition, the views of the people in that sense of “representation” when they make declarations of the type cited above? On the one hand, there is a strong body of opinion, ostensibly centred on secular philosophies, that holds that religious groups should seek ways and means of defending and promoting democratic values without becoming embroiled in political activity and even partisan debate. President Mwinyi appeared to belong to such group. President Mwinyi cited Jesus' call in Mathew: 22.21“to render therefore into Caesar the things which are Caesar's; and into God the things that are God's,” as sufficient evidence of the divine separation of religion and politics.

The opposing body of opinion, on the other hand, points to the danger of a rigid separation between private conscience and public activity. It is contended, that when religious groups abdicate taking positions on public issues this may reflect that religion only addresses the concerns of private life, that it is confined to issues of private morality. In such circumstances, society would inevitably run the risk of living with public policies that violated moral principles. In this light, religion should also impart the sacred character to democratic values. In other words, it should intervene between the individual and the state. Indeed, in response to Mathew 22.21 and in this specific context, Professor Kenneth D. Wald, in his book Religion and Politics in the United States observes that the cited verse “does not define precisely what it is that humanity owes to the state and to church. Depending on how responsibility is allocated between God and Caesar, that biblical injunction may be interpreted as a ca11 to revolution or, at the other extreme, as a plea for servility.”


The Role of Religion in Society
Whenever caught up in a political or economic philosophical problem, Tanzanians have established for themselves a culture of resorting to the views of the Father of the Nation, the late Mwalimu Julius Nyerere, for clarification. What then does Nyerere offer on the subject of religion and society? In my opinion, he offers a pathbreaking analysis and opinion. In a brilliant speech to the Mary Knoll Sisters in New York in October 1970, titled, The Church and Society, Mwalimu Nyerere cogently analysed the role of the Church (read religion) in the development of man. He observed that the Church had for a long time been guilty of preaching resignation, viewing social, economic and political conditions as immutable and taking an innocent bystander stance when the victims of poverty and oppression rebelled. Nyerere further noted that unless the Church participated actively in the rebellion against the social, economic and political structures, which condemn people to poverty, humiliation and degradation, it would lose its credibility and would thereby be identified with injustice and oppression.
Nyerere argued that development of people involved economic development, social development and political development and that the Church had a crucial role to play in all these facets. To quote him: “For the purpose of the Church is man - his human dignity, and his right to develop himself in freedom. To the service of man's development, any or all of the institutions of any particular society must be sacrificed if this should be necessary. For all human institutions, including the Church, are established in order to serve man. And it is the institution of the Church, through its members, which should be leading the attack on any organisation, or any economic, social or political structure which oppresses men, and which denies to them the right and power to live as the sons of a loving God.” In reference to secularism, Nyerere noted that he was not arguing that the Church should abdicate its spiritual functions by becoming associated with political parties or political doctrines. Rather, his view was that it was important for the Church to refuse to be identified with unjust political and economic power groups. He stated, “The Church must stand up for what it believes to be right; that is its justification and purpose.” Nyererefurther argued that the role of the Church could sometimes demand that Church leaders involved themselves in nationalist freedom struggles and be part of social movements as well as working in opposition to established authorities and powers.
In addition, Nyerere postulated that the Church should participate actively in initiating, securing, and creating the changes that aim at promoting social justice. One may pose here and ask the question: Was Nyerere going too far in his interpretation of religion as a force for change? It is of special note that Nyerere was advocating these radical views at a time when he wielded massive, almost unchallenged political power in Tanzania. No political opposition was allowed to operate at that material time. In fact, Nyerere had even banned the All Muslim National Union of Tanganyika. In its place, he promoted the establishment of what several Moslems viewed as a surrogate national religious representative body, BAKWATA (Baraza la Waislam Tanzania), ostensibly, a calculated and strategic move to put Moslems under close oversight by the state.
Yet what Nyerere postulated about the role of religion in society makes sense. In this context, stark realities around the world show that religious groups are taking a frontal role in politics, even more pronouncedly than Nyerere could ever have perceived. For instance, The Khaleej Times,a leading United Arab Emirates Daily Newspaper, of Friday 11th November 1994 featured a news headline, cited from Reuters, titled “Evangelicals claim victory credit”in the US Congressional and State elections. It is of interest to quote the feature story fully: “The right-wing Christian Coalition, a growing force in the Republican Party, claimed much of the credit -- for the Party's dramatic victory in US Congressional and state elections. The Christian Coalition, which says it has one million members organised a major get-out-to vote effort for the elections, distributing some 33 million pieces of campaign literature, much of them through churches. It said that an exit poll it commissioned showed that religious conservatives accounted for one- third of all votes cast in the elections, compared to only 18% in 1988, and 22% in 1992. Of these, 68% backed Republicans in Senate races and a slightly higher proportion in Governors' races.” The same feature story went on to report that the Christian Coalition “pushes moral issues such as prayer in schools, family values and fervent opposition to abortion. But increasingly, it has also been campaigning on more mainstream themes, such as lower taxes and smaller government”.
The United States of America is a secular state by its constitution. How then are religious bodies like the Christian Coalition allowed to take active political role in society? When the United States preaches about liberty and democracy, should nascent democracies like those of Tanzania view the role of religion in politics as relevant? How can this not be the reality? Of course, the United States may be a bad example to cite in examining the relationship between religion and politics. The US, after all, is dominantly a Christian nation, its diverse Christian denominations notwithstanding. Thus the direct role that the Christian Coalition plays in politics may probably not cause the same level of rancour as it would in a country like Tanzania where there exist two dominant religious faiths, Islam and Christianity, and particularly where such religious groups pursue opposing electoral objectives. This could be the reason why President Mwinyi had responded harshly to the Bishops’ Declarations. He naturally feared the threat of religion becoming a vehicle of electoral politics and choices. However, it may not have been possible to debar religious groups from expressing opinions about political issues. What should be disallowed are religious groups becoming directly involved in promoting the interests of political contestants in elections on religious lines.

Conclusion

Religion is emerging as an inevitable political factor in the Tanzanian political scene. The underestimation of this phenomenon for a long time had been due to two main reasons. First, the mistaken belief that secularisation of Tanzanian life was inevitable. Secondly, the “superficial” homogeneity of the Tanzanian society that has been ingrained in society since independence through a hegemonic political party system and by socialism. Times have now changed with the on-set of political and economic pluralisms. In this liberal environment, the sacredness of the concept of a secular state has increasingly confronted the ideal, constitutional, secular state. In this context, I agree with Yale Professor, Lamin Sanneh, who, in an article titled, Religion and Politics: Third World Perspectives, posits “the proximity of religion and politics in practical situations modifies any rigid separation of the two, and, conversely, the instrumental nature of politics implies at least a national distinction between them. Ideally, there are as sound religious grounds as there are pragmatic ones for not confusing religion and politics, though, in practice, it is risky to attempt splitting the two.”

Tanzanians should therefore openly discuss and debate the relationship between religion and politics if they are to deepen their understanding of the emerging phenomenon and its impact on national unity, peace and stability. More importantly, and especially in electoral politics, it is pertinent that government exercises greater restraint and tolerance over national issues raised by religious leaders. Government and political leaders should apply dialogue and guidance instead of a confrontational approach in the public domain which could, unnecessarily, fuel tension and inevitable instability. This is important as Tanzania, like the rest of the world, continues to come face to face with the fear factor about terrorism and about the misconstrued role of Islamic fundamentalism, a subject that I turn to next.

 
Domokaya. Ahsante kwa mchango wako. Waswahili tuna msemo "Domokaya maziwa kwa mwenye ng'ombe." Naongeza taarifa katika historia yetu Waislam katika kujigomboa na sitochoka kuielimisha jamii mradi muda wa kujirekebisha upo. Iko siku hatutakuwa na nafasi hii Mungu apishie mbali:

Baada ya uhuru kupatikana mwaka 1961 Waislam waliamini kuwa hali yao ya baadae katika serikali huru itakuwa nzuri. Mwaka 1962 ukaitishwa mkutano wa Waislam wa nchi nzima kujadili nafasi ya Uislam katika Tanganyika huru. Taasisi zifuatazo zilihudhuria mkutano huo: East African Muslim Welfare Society (EAMWS), Daawat Islamiyya, Jamiatul Islamiya fi Tanganyika, Jamiatul Islamuyya ëAí na Muslim Education Union. Mkutano ule ulikubaliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kuanzisha idara ya elimu chini ya EAMWS. Waislam hawakusubiri serikali itimize ahadi yake ya kurekebisha upogo uliokuwepo wa elimu kati ya Waislam na Wakristo. Waislam walianzisha mipango yao wenyewe ili isaidiane na juhudi ya serikali. Mipango ikatayarishwa ya kujenga shule Tanganyika nzima na mwishowe kujenga Chuo Kikuu cha kwanza kwa Waislam katika Afrika ya Mashariki. Mkutano ukamchagua Tewa Said Tewa waziri wa serikali, mwanasiasa wa TAA na mmoja wa wale wazalendo kumi na saba walioanzisha TANU kuwa mwenyekiti wa EAMWS kwa upande wa Tanganyika.

Huu ndiyo ukawa mwanzo wa uadui kati ya Waislam na serikali ambayo ilikuwa mikononi mwa Wakristo. Uelewano uliodumu wakati wa kudai uhuru ukaanza kutoweka na siasa zikachukua sura mpya ya uhasama, kutoaminiana na kutafutana kati ya jamii hizi mbili. Kisa cha hali hii mpya ikiwa ni sababu ya Waislam kutaka kuondoa hali ya kikoloni iliyowakandamiza kwa miaka mingi. Waislam waliona kuwa hili lilikuwa ni jambo lisilokuwa na pingamizi kufanyika. Uhuru ili uwe na maana ni lazima Waislam wajitoe ndani ya unyonge waliogubikwa na wakoloni. Kwa upande wa Wakristo hali hii ilisababisha hofu kuu nyoyoni mwao.

Mwezi Aprili 1964 ujumbe wa hali ya juu wa EAMWS ndani yake wakiwemo Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Said Omari Abdallah, Tewa Said Tewa, Katibu wa EAMWS Abdul-Aziz Khaki na mzee wa TANU Mzee Mwinjuma Mwinyikambi; Makisi Mbwana, Issa Mtambo, Omari Muhaji na Saleh Masasi waliondoka kwenda ziara ya nchi za Kiislam kutafuta msaada wa kujenga Chuo Kikuu cha Kiislam na kuanzisha uhusiano na nchi za Kiislam. Gamal Abdel Nasser alifurahishwa sana na ujumbe wa Tanganyika kiasi kwamba ingawa alikuwa katika matayarisho ya mapokezi ya Waziri Mkuu wa Urusi Kruschev, na ingawa ujumbe wa EAMWS ulikuwa wa kidini zaidi kuliko wa kiserikali, alikutana na ujumbe ule akaupatia ofisi, huduma za simu, na makatibu muhtasi ili waweze kutayarisha mipango yao kwa serikali ya Misri bila shida. Halikadhalika alimuagiza makamu wake Sharbasy afanye makubaliano na EAMWS kwa niaba yake.

Serikali ya Misri ilikubali kugharamia ujenzi wa chuo hicho. Mkataba wa makubaliano ukatiwa sahihi mjini Cairo kati ya Tewa Said Tewa kwa niaba ya EAMWS na Makamu wa Rais wa Misri, Sharbasy kwa niaba ya serikali yake. Serikali ya Misri iliahidi kujenga Chuo Kikuu cha Kiislam ambacho kitamilikiwa na kuendeshwa na EAMWS. Gharama ya mradi mzima uliuwa pauni milioni hamsini na tano za Ki-Misri. Baada ya kukamilisha kazi ile ujumbe ule uliondoka Cairo kuelekea Makka kufanya ibada ya hija. Baada ya kumaliza hija wajumbe wanne walirudi nyumbani na Tewa, Aziz Khaki, Sayyid Omar Abdallah wakaendelea na safari kwenda Aman, Jordan ambako walifanya mazungumzo na Mufti na Waziri wa Aukaf. Kutokea hapo ujumbe ulikwenda Kuwait ambako walikutana na Sheikh wa Kuwait kisha wakaenda Bhaghdad, Iraq na kukutana na rais wake, Abdisalama Arifek. Kutoka hapo ujumbe ulielekea Beirut, Lebabon ambako ulifanya mazungumzo na viongozi wa harakati za Kiislam. Baada ya kutoka Beirut ujumbe ule ulirudi tena Cairo kwa ajili ya kukamilisha makubaliano ya kujenga Chuo Kikuu. Tarehe 20 Mei, 1964 ujumbe ulirejea Dar es Salaam na kupokelewa na viongozi wa EAMWS na Waislam kwa ujumla. Mkutano wa Halmashauri Kuu ya EAMWS ukaitishwa na Tewa Said Tewa akatoa taarifa yake kuhusu ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Kiislam. Siku ya pili Tewa akaitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutoa habari za kufurahisha za kujengwa kwa Chuo Kikuu Cha Kiislam kwa vyombo vya habari na kwa Waislam kwa ujumla. Kwa mafanikio haya Tewa akawa amejichimbia kaburi. Matokeo haya yalijaza hofu kwa viongozi wa Kanisa. Kampeni za chinichini dhidi ya Tewa binafsi na uongozi mzima wa EAMWS zilianza haukupita muda EAMWS ikavunjwa na miradi yote ya kujenga shule ikafa. Nyerere na Kanisa Katoliki wakapumuwa pumzi ndefu za mafanikio ya kuvunja juhudi za Waislam za kujiendeleza katika elimu.
 
LG. Ahsante kwa mchango wako. Warsha imefanya mengi na hatutomsahau mwalimu wetu Sheikh Malik. Yeye ndiye aliyetusomesha na kutufungulia njia. Alikuwa na msemo akituambia, "Kama watu hawajui wanadhulumiwa basi hiyo dhulma haipo." Akasema tena, "Waelimishe watu kuhusu dhulma kabla hujawadaia haki zao vinginevyo watakupiga vita wewe mkombozi wao." Mengi leo yako wazi hata kwa Waislam wa vijijini. Unazungumza ya Waislam kuwa proactive. Ingekuwa tuko vinginevyo wazee wetu wasingeanzisha African Association na TANU na wala wasingepigana Vita vya Maji Maji. Nyerere alikuwa anatishika na kila kitu chenye sura ya Uislam. Warsha walipoingia BAKWATA na kuanza kuwaletea maendeleo Waislam ni yeye Nyerere ndiye aliyetumia nguvu za dola kuipiga vita Warsha akisaidiana na vibaraka wachache. Soma kisa hiki:


Warsha were accused of being anti-government and perpetrating animosity between Muslims and Christians through their writings. Nyerere ordered Aboud Jumbe to close the Muslim seminaries. A meeting between Aboud Jumbe and BAKWATA was held at Jumbe's official residence at Laibon Road. In attendance were Rashid Mfaume Kawawa, Adam Nasibu, Sheikh Mohamed Ali and Sheikh Abbas Makbul a representative of Darul Iftar. The stand of Sheikh Mohamed Ali was that if those Muslim seminaries have to be closed then the decision to take that step should be laid upon the government. This was a difficult step to be taken by the government as such an act would provoke Muslims. The meeting left the decision to close the seminaries upon BAKWATA. BAKWATA took a unilateral decision and reverse the schools back to its original state. Warsha not agreeing to BAKWATA's decision called a meeting of all Muslims to discuss the problem.

The Christian lobby used its powers and a crisis was fomented. The government issued a directive to reinstate the schools taken over by Warsha to their former secular status, that is, any Tanzania irrespective of faith should have access to them. The Christian lobby through the state- radio issued a warning that the meeting was illegal. Anyone attending that meeting would be arrested. This announcement was read by the Director of Radio Tanzania, David Wakati. The government accused Warsha of trying to divide the society along religious lines. The government saw the two Muslim seminaries which were established less than a year as divisive but turned a blind eye to 19 Christian seminaries which were in existence for almost a hundred years.

Adam Nasibu meanwhile in connive with of the government travelled to Moshi and the reason he told the BAKWATA headquarters was that he was going to Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) for treatment. But that was not the reason. Once in Moshi with the help of Sheikh Senare the BAKWATA chairman in Kilimanjaro and Sheikh Jambeni from Tanga and other few hand picked BAKWATA members he called a secret meeting the agenda which was how to oust Sheikh Mohamed Ali from leadership. It was decided by conspirators that a special meeting should be called in Dar es Salaam immediately to discuss what had transpired in BAKWATA since the banning of Muslim seminaries. The government put at its disposal its manpower and sources to make the meeting a success. Members of the BAKWATA Central Committee were sent invitations through police message. This type of communication is usually used by the government for urgent messages because of its efficiency.

Sheikh Mohamed Ali was accused of flouting the BAKWATA constitution, conducting elections under an invalid constitution and in collaboration with Warsha, for "mixing religion with politics." Sheikh Mohamed Ali was therefore expelled from BAKWATA and Warsha banned. But it was not possible to ban Warsha because the organisation was not in the first registered. It was not therefore possible to ban an entity which does not exist officially exist in government registered organisation. The statement that Warsha is prohibited by the government from indulging in anything which has to do with Muslims of Tanzania did affect its activities in any way.

The government gave the transfer of power in BAKWATA special significance by publishing the changes in its daily paper. Warsha's mentor, Dr. Malik was declared a prohibited immigrant by the government and was required to leave the country within twenty four hours. His students advised him to go to Zanzibar to wait and plan his next move. Dr. Malik was received on Aboud Jumbe's orders while his students sorted out certain issues for him, and packed his belongings. Arrangements were made and Dr. Malik went to Nairobi where he was employed by Islamic Foundation. But before he left Dr. Malik told his students that BAKWATA were late in asking the government to deport him, he had already accomplished his work. Indeed Dr. Malik had accomplished his work. The Muslims were aware of machinations against them and the struggle against Christian hegemony in Tanzania had passed to a different flock of Muslims. In the coming years students of Prof. Malik formed other powerful organisations - Islamic Propagation Centre (IPC), Jamaatu Answar Sunna, MSAUD and DUMT.
 
LG. Ahsante kwa mchango wako. Warsha imefanya mengi na hatutomsahau mwalimu wetu Sheikh Malik. Yeye ndiye aliyetusomesha na kutufungulia njia. Alikuwa na msemo akituambia, "Kama watu hawajui wanadhulumiwa basi hiyo dhulma haipo." Akasema tena, "Waelimishe watu kuhusu dhulma kabla hujawadaia haki zao vinginevyo watakupiga vita wewe mkombozi wao." Mengi leo yako wazi hata kwa Waislam wa vijijini. Unazungumza ya Waislam kuwa proactive. Ingekuwa tuko vinginevyo wazee wetu wasingeanzisha African Association na TANU na wala wasingepigana Vita vya Maji Maji. Nyerere alikuwa anatishika na kila kitu chenye sura ya Uislam. Warsha walipoingia BAKWATA na kuanza kuwaletea maendeleo Waislam ni yeye Nyerere ndiye aliyetumia nguvu za dola kuipiga vita Warsha akisaidiana na vibaraka wachache. Soma kisa hiki:


Warsha were accused of being anti-government and perpetrating animosity between Muslims and Christians through their writings. Nyerere ordered Aboud Jumbe to close the Muslim seminaries. A meeting between Aboud Jumbe and BAKWATA was held at Jumbe’s official residence at Laibon Road. In attendance were Rashid Mfaume Kawawa, Adam Nasibu, Sheikh Mohamed Ali and Sheikh Abbas Makbul a representative of Darul Iftar. The stand of Sheikh Mohamed Ali was that if those Muslim seminaries have to be closed then the decision to take that step should be laid upon the government. This was a difficult step to be taken by the government as such an act would provoke Muslims. The meeting left the decision to close the seminaries upon BAKWATA. BAKWATA took a unilateral decision and reverse the schools back to its original state. Warsha not agreeing to BAKWATA’s decision called a meeting of all Muslims to discuss the problem.

The Christian lobby used its powers and a crisis was fomented. The government issued a directive to reinstate the schools taken over by Warsha to their former secular status, that is, any Tanzania irrespective of faith should have access to them. The Christian lobby through the state- radio issued a warning that the meeting was illegal. Anyone attending that meeting would be arrested. This announcement was read by the Director of Radio Tanzania, David Wakati. The government accused Warsha of trying to divide the society along religious lines. The government saw the two Muslim seminaries which were established less than a year as divisive but turned a blind eye to 19 Christian seminaries which were in existence for almost a hundred years.

Adam Nasibu meanwhile in connive with of the government travelled to Moshi and the reason he told the BAKWATA headquarters was that he was going to Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) for treatment. But that was not the reason. Once in Moshi with the help of Sheikh Senare the BAKWATA chairman in Kilimanjaro and Sheikh Jambeni from Tanga and other few hand picked BAKWATA members he called a secret meeting the agenda which was how to oust Sheikh Mohamed Ali from leadership. It was decided by conspirators that a special meeting should be called in Dar es Salaam immediately to discuss what had transpired in BAKWATA since the banning of Muslim seminaries. The government put at its disposal its manpower and sources to make the meeting a success. Members of the BAKWATA Central Committee were sent invitations through police message. This type of communication is usually used by the government for urgent messages because of its efficiency.

Sheikh Mohamed Ali was accused of flouting the BAKWATA constitution, conducting elections under an invalid constitution and in collaboration with Warsha, for "mixing religion with politics." Sheikh Mohamed Ali was therefore expelled from BAKWATA and Warsha banned. But it was not possible to ban Warsha because the organisation was not in the first place registered. It was not therefore possible to ban an entity which does not officially exist in government registered organisations. The statement that Warsha is prohibited by the government from indulging in anything which has to do with Muslims of Tanzania did not in anyway affect its activities .

The government gave the transfer of power in BAKWATA special significance by publishing the changes in its daily paper. Warsha's mentor, Dr. Malik was declared a prohibited immigrant by the government and was required to leave the country within twenty four hours. His students advised him to go to Zanzibar to wait and plan his next move. Dr. Malik was received on Aboud Jumbe's orders while his students sorted out certain issues for him, and packed his belongings. Arrangements were made and Dr. Malik went to Nairobi where he was employed by Islamic Foundation. But before he left Dr. Malik told his students that BAKWATA were late in asking the government to deport him, he had already accomplished his work. Indeed Dr. Malik had accomplished his work. The Muslims were aware of machinations against them and the struggle against Christian hegemony in Tanzania had passed to a different flock of Muslims. In the coming years students of Prof. Malik formed other powerful organisations - Islamic Propagation Centre (IPC), Jamaatu Answar Sunna, MSAUD and DUMT.
 
LG napigania haki na usawa kwa wote na mshikamano wa kweli wa taifa hili. Hatutoweza kuwa na amani ya kweli ikiwa taifa hili litakuwa na mabwana na watwana.
 
LG napigania haki na usawa kwa wote na mshikamano wa kweli wa taifa hili. Hatutoweza kuwa na amani ya kweli ikiwa taifa hili litakuwa na mabwana na watwana.
Hapa mkuu tunaelekea katika umoja wa kitaifa, dini zetu notwithstanding
 
Mohamed Said,

..mimi niko interested na kitabu ulichosema unaandika kuhusu Prof.Kighoma Ali Malima.

..Prof.Malima anadaiwa kuandika waraka kwenda kwa Mwalimu akiwaita wale waliokuwa wakipigania economic liberalization miaka ya 80 kuwa ni wasaliti. je, unayo makala waraka huo?

..pia unayo makala ya waraka wa Malima kwenda kwa Mzee Mwinyi kuhusu suala la Waislamu kuhujumiwa ktk nafasi za masomo ya sekondari?

..na mwisho, sijui kama unayo makala ya barua ya Malima ikielezea nia yake ya kujiuzulu nafasi ya Waziri wa Fedha, na utetezi wake dhidi ya ripoti[inasemekana ina kurasa 500] ya Mzee Mohamed Aboud.

NB:

..nakutakia mafanikio ktk uandishi wako wa kitabu cha maisha ya Prof.Kighoma Malima.

..you have set the bar so high for yourself in this work, especially after criticising Kawawa's biography by Dr.Magoti.

..I hope utatuletea vitu ambavyo vilikuwa havijulikani ktk maisha na utumishi[mhadhiri udsm, civil servant,politician...] wa Kighoma Malima.
 
Swali moja ambalo wakina Mohamed Said wanashindwa kujibu ni, " ili kurekebisha hali iliyopo ya tofauti ya kielimu kati ya waislamu na wakristu, mngeshauri serikali ifanye nini?"

Amandla.........
 
JK Kitabu cha Malima sijapata ugumu kama hapa.
Ntakujibu Insha Allah wakati ukifika.
Tuvute subra.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom