Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Mkuu Mohammed Said, huu mjadala rapidly unaelekea kukosa tija.
Mimi sikuuweka hapa, you did.
Dont climb on some imaginary higher moral ground here. Mimi sijaleta makuzi yangu na maneno ya Wachungaji wangu hapa, and in actual fact katika suala la kujadili maswala ya utaifa it will be absurd.
Nilikwisha sema tangu hapo awali hatujadili dini hapa bali huo udini wako.
Kutokana na msimamo wako wa udini mbele, utaifa nyuma ,kuelewana hapa hakuna.
So long as your line of argument ni kutetea dini yako kwanza.Usitegemee huruma yoyote toka kwa karibu nusu ya watanzania katika mada zako.
Hiyo ni licha ya uhuru wako wa kuabudu na kuamini kile unachoamini kuwa ndicho kingepaswa kuwa kihistoria, its a free world.
If you ask me , generaly what you are preaching is a farce,pure and simple. from this I will NOT back down.
Hii ni pamoja na ukweli kuwa una uhuru wa kuweka mwazo yako hapa jamvini, but if it doesn't wash utaabiwa hivyo in black and white, makuzi yako notwithstanding.
Mkuu una uhuru vile vile kuwambia watoto wenu juu ya hadithi zako, kama mimi vile vile nilivyo na uhuru wa kuwaambia watoto wangu kuwa careful na watu wa aina yako na si kujiassociate nao in public.
The moral of this rebuttal is, whither Mwalimu, we are slowly drawing the lines on the sand.
Tukiwa na hii scenario religous apartheid is not only possible but a reality to come, the question is when.
Mimi sikuuweka hapa, you did.
Dont climb on some imaginary higher moral ground here. Mimi sijaleta makuzi yangu na maneno ya Wachungaji wangu hapa, and in actual fact katika suala la kujadili maswala ya utaifa it will be absurd.
Nilikwisha sema tangu hapo awali hatujadili dini hapa bali huo udini wako.
Kutokana na msimamo wako wa udini mbele, utaifa nyuma ,kuelewana hapa hakuna.
So long as your line of argument ni kutetea dini yako kwanza.Usitegemee huruma yoyote toka kwa karibu nusu ya watanzania katika mada zako.
Hiyo ni licha ya uhuru wako wa kuabudu na kuamini kile unachoamini kuwa ndicho kingepaswa kuwa kihistoria, its a free world.
If you ask me , generaly what you are preaching is a farce,pure and simple. from this I will NOT back down.
Hii ni pamoja na ukweli kuwa una uhuru wa kuweka mwazo yako hapa jamvini, but if it doesn't wash utaabiwa hivyo in black and white, makuzi yako notwithstanding.
Mkuu una uhuru vile vile kuwambia watoto wenu juu ya hadithi zako, kama mimi vile vile nilivyo na uhuru wa kuwaambia watoto wangu kuwa careful na watu wa aina yako na si kujiassociate nao in public.
The moral of this rebuttal is, whither Mwalimu, we are slowly drawing the lines on the sand.
Tukiwa na hii scenario religous apartheid is not only possible but a reality to come, the question is when.